Sipendi na sitaki ukaribu wala shobo na wanawake wenye vijitabia vya feminism

Sipendi na sitaki ukaribu wala shobo na wanawake wenye vijitabia vya feminism

hahaha haya umeshinda. ila sijajua mumeo ana akili na msimamo kiasi gani Hadi akaweza kuamua kuishi nawewe Mana sizani Kama anaweza kukudanganya kitu ukakubali bila kumhoji(kwasababu sisi tunapenda kudanganya wanawake) sijajua anaishi nawewe vipi.atakua Hana mambo mengi Kama sisi
Wanaume wanaojiamini hawana mambo ya kipuuzi na wala hawaoni shida kukwambia ukweli. Sasa adanganye kwani ananiogopa? Hata akija akisema sitaki hiki ntamfanya nini? Ni mwanaume mwenye heshima na anajielewa. Nyinyi mnawadanganya mnaowaoa kwasababu hawana akili.

Tafuta hata billionaire mmoja alieokota mwanamke asie na shughuli ya kufanya. Ni nyie tu ndo mnavi inferiority vya kijinga. Mkijiamini. Hata Mwanamke awe waziri unamuoa. Uanaume unaanzia kwenye mentality. Kuita watu mafeminist hakukupunguzii ujinga kichwani. Muwe mnaelewa kwamba zama zimebadilika. Saizi tu bibi na babu wanaenda mashambani. Huku mjini majanaume yamefungia wake zao ndani. Ndo maana wanaliwa na madereva bodaboda😂
 
Nilichogundua.. Jamii forums ina misogynists wengi sana. (You’ll need to google the term).

Mwanaume ambae anajiamini hatetereshwi na confidence ya mwanamke. Only inferiors feel intimidated by a woman’s confidence.

Yani unataka ukifika mahali kila msichana ainame kama kaingia mfalme? Ama?

Punguzeni inferiority complex automatically mtaacha kuchukia wanawake wanaojitambua. Hivi haki sawa kwani ni kwenye kuosha vyombo? Si ni fursa za kimaendeleo ama?

Wewe kamata kishoia wako wa ku bow down and stop downgrading women. Jiamini bro.!

Yani mada za humu utakuta ni wanaandamwa wanawake as if ni viumbe ambao hawaja wazaa? Like seriously mna shida kubwa kichwani. Mwanaume mwenye pesa na confidence zake haogopi mwanamke challenging. Ila inaeleweka mkikua mtaacha uoga[emoji28]
[emoji419]
 
Nilichogundua.. Jamii forums ina misogynists wengi sana. (You’ll need to google the term).

Mwanaume ambae anajiamini hatetereshwi na confidence ya mwanamke. Only inferiors feel intimidated by a woman’s confidence.

Yani unataka ukifika mahali kila msichana ainame kama kaingia mfalme? Ama?

Punguzeni inferiority complex automatically mtaacha kuchukia wanawake wanaojitambua. Hivi haki sawa kwani ni kwenye kuosha vyombo? Si ni fursa za kimaendeleo ama?

Wewe kamata kishoia wako wa ku bow down and stop downgrading women. Jiamini bro.!

Yani mada za humu utakuta ni wanaandamwa wanawake as if ni viumbe ambao hawaja wazaa? Like seriously mna shida kubwa kichwani. Mwanaume mwenye pesa na confidence zake haogopi mwanamke challenging. Ila inaeleweka mkikua mtaacha uoga😅
Kula chochote nakuja kulipa
 
Jamii forum inaficha wanaume suruali wanaokuja na matusi ili wajimwambafy. Watu hawana hoja wana kazi ya kutukana tukana tu. Wanateteana ujinga subiri siku ukute unaemtetea kamuua binti yako kwa vipigo. Mna fikra za kizamani maana hata kijijini hawaishi hivyo.

Mmekutana na wanawake ambao hawakubali kuonewa wala kutukanwa. Mkawatukane wake zenu hukooo majumbani mwenu sio sisi.
 
Wanaume wanaojiamini hawana mambo ya kipuuzi na wala hawaoni shida kukwambia ukweli. Sasa adanganye kwani ananiogopa? Hata akija akisema sitaki hiki ntamfanya nini? Ni mwanaume mwenye heshima na anajielewa. Nyinyi mnawadanganya mnaowaoa kwasababu hawana akili.

Tafuta hata billionaire mmoja alieokota mwanamke asie na shughuli ya kufanya. Ni nyie tu ndo mnavi inferiority vya kijinga. Mkijiamini. Hata Mwanamke awe waziri unamuoa. Uanaume unaanzia kwenye mentality. Kuita watu mafeminist hakukupunguzii ujinga kichwani. Muwe mnaelewa kwamba zama zimebadilika. Saizi tu bibi na babu wanaenda mashambani. Huku mjini majanaume yamefungia wake zao ndani. Ndo maana wanaliwa na madereva bodaboda😂
nawewe huko kazini unaangaliwatu? labda unasura Kama yangu lakini Kama asubuhi ukitoka unavaa kimini nawigi nakijipilizia marashi juu ili uvutie watu usije ukatudanganya kwamba hufanywi chochote lazima mabaharia wanaruka nawewe hapohapo kazini
 
Jamii forum inaficha wanaume suruali wanaokuja na matusi ili wajimwambafy. Watu hawana hoja wana kazi ya kutukana tukana tu. Wanateteana ujinga subiri siku ukute unaemtetea kamuua binti yako kwa vipigo. Mna fikra za kizamani maana hata kijijini hawaishi hivyo.

Mmekutana na wanawake ambao hawakubali kuonewa wala kutukanwa. Mkawatukane wake zenu hukooo majumbani mwenu sio sisi.
Mwanaume siku zote anajione ni mbabae sasa wakikutana na mwanamke ambaye kupelekeshwa no basi inakuwa vita ndio maana wengine wana pewa limbwata
 
Wanaume wanaojiamini hawana mambo ya kipuuzi na wala hawaoni shida kukwambia ukweli. Sasa adanganye kwani ananiogopa? Hata akija akisema sitaki hiki ntamfanya nini? Ni mwanaume mwenye heshima na anajielewa. Nyinyi mnawadanganya mnaowaoa kwasababu hawana akili.

Tafuta hata billionaire mmoja alieokota mwanamke asie na shughuli ya kufanya. Ni nyie tu ndo mnavi inferiority vya kijinga. Mkijiamini. Hata Mwanamke awe waziri unamuoa. Uanaume unaanzia kwenye mentality. Kuita watu mafeminist hakukupunguzii ujinga kichwani. Muwe mnaelewa kwamba zama zimebadilika. Saizi tu bibi na babu wanaenda mashambani. Huku mjini majanaume yamefungia wake zao ndani. Ndo maana wanaliwa na madereva bodaboda😂
Eh nimekupenda bure madam wanadhani wanawake wanaowafungia ndani ndo hawafanyi ujinga. Kama una mke mbovu mi mbovu tu ataliwa hata na ndugu zako. Labda umfiche mbinguni huko.
Wanaume wanaojifanya wanataka wake zao wakae ndani hawajielewi. ni waoga. Full stop
 
nawewe huko kazini unaangaliwatu? labda unasura Kama yangu lakini Kama asubuhi ukitoka unavaa kimini nawigi nakijipilizia marashi juu ili uvutie watu usije ukatudanganya kwamba hufanywi chochote lazima mabaharia wanaruka nawewe hapohapo kazini
Huo ndio mtazamo wako?
 
nawewe huko kazini unaangaliwatu? labda unasura Kama yangu lakini Kama asubuhi ukitoka unavaa kimini nawigi nakijipilizia marashi juu ili uvutie watu usije ukatudanganya kwamba hufanywi chochote lazima mabaharia wanaruka nawewe hapohapo kazini
Sasa unadhani kama wa kwako ulimpata kirahisi basi kila mwanamke ni cheap? Ndo hizo fikra tunazosema. Mbona madarasani kuna wanaume wanakuwa wa mwisho na wanawake wanaongoza. Wanashindwa nini kupata kazi na kufanya kazi kiuweledi bila kulala na watu. Usifananishe wanawake wako na wengine wote. Tuko tofauti.
 
huondio ukweli ukiupinga pingatu. lakini Kama ofisi yako niyamchanganyiko utakua naelewa
Mke wako hapo nyumbani kalala nawanaume wa mtaa mzima? Au unapokua na mke mkubwa na mdogo anakua pembeni? Si kila mtu ana kwake. Labda kama unawapigia ramli ya kuona wanayofanya ila kama siyo basi madereva bodaboda wanakula wanakuachia makombo. Usidhani wanawake wote wanapapatika na cheo. Au kwamba tuna mentality za michepuko. Mume ananiridhisha huko nje nikatafte nini. Nyie ndo msiojua ku control
Hisia zenu hata mtu ana sura ya kunguni unachapa ilimradi kiwe kishimo
 
Sasa unadhani kama wa kwako ulimpata kirahisi basi kila mwanamke ni cheap? Ndo hizo fikra tunazosema. Mbona madarasani kuna wanaume wanakuwa wa mwisho na wanawake wanaongoza. Wanashindwa nini kupata kazi na kufanya kazi kiuweledi bila kulala na watu. Usifananishe wanawake wako na wengine wote. Tuko tofauti.
kitakacho kuepusha usichepuke wewe nisura yakotu. Kama niya baba hutaguswa hata ukifanya kazi miaka mia vinginevyo utadanganya tu.
 
sipulizagi hizo vitu. Mimi sio bishoo mkuu
Bas badilisha mtazamo ukihishi kwa kitazamo ufiki mbali ao wanawek unawasema sisi tunaish nao tena kanizid elimu lakini anajua mipaka yake
 
Jamii forum inaficha wanaume suruali wanaokuja na matusi ili wajimwambafy. Watu hawana hoja wana kazi ya kutukana tukana tu. Wanateteana ujinga subiri siku ukute unaemtetea kamuua binti yako kwa vipigo. Mna fikra za kizamani maana hata kijijini hawaishi hivyo.

Mmekutana na wanawake ambao hawakubali kuonewa wala kutukanwa. Mkawatukane wake zenu hukooo majumbani mwenu sio sisi.
Alafu unaweza ukakuta unabishana na mtu aliekua anashika mkia darasani ila kwa sababu ni mwanaume na sauti inakwaruza basi anakuja kufoka foka humu na kutukana wanawake😂😂😂 hee wake zao wanashughuli. Unakuta mwanaume ela yote inaishia kwenye ku bet. Anauza hadi tv ili
Aka bet alafu anakwambia usiniambie kitu mimi ni mwanaume. Mnaweza hata mkalala njaa ila mwenzako anaenda kubet. Na hivi wanaamini wanaoa wanawake kama kuwasaidia tu😂 wake zao wana kazi pevu. Watafika mbinguni wanachechemea
 
Back
Top Bottom