Sipendi ugali kabisa na ninaishi

Sipendi ugali kabisa na ninaishi

Ahaaaa embu kwana nicheke maana nina ka shoga kangu ka marekani kalikuja juma mosi kwangu kameondoka jana ila nimekoma yaani hawa watu vyakula vyao nadhani viko hotel kubwa.

Juma mosi usiku saa 5 kananipigia kanataka kuja kulala kwangu kako bored kwakwe hakajui kiswahili hakana wa kuongea nae kana jua "mambo" tu so kakaj kwangu.

Usiku huo mimi nilipika ndizi ahaaaaa kwani kalikula? Kakanywa chai tukalala.

Asubuhi nawaza nikapikie nini? Nikawaza mayai, kweli kalikula mayai na chai chai yenyewe hata kikombe hakawezi maliza.

Mchana nikakapikia chips, kakadono🤣

Mimi nikajipikia ugali tukala na shoga yangu mwingine, ahaaaa ndo kanauliza " Luckyline what kind of food is this? 😅 kanashangaa kweli kananisimulia marekani wengi hawaopiki wanachukua vyakula ambavyo viko tiyari na wanakula junk foods mara nyingi.

Hapo nilimuita shoga yangu aje nina mgeni basi kila kitu janashangaa na kuuliza kakasema kenyewe kanakula hotelin almost every day.

All in all nimefurahi kuwa nae tumeenjoy ila kumbe ni kazi kiasi hiki kuongea kiingereza siku mbili mfululizo? Yesuuuuuu nyie.🤣

Shoga yangu alivyokuja kukasalimia nikaona ananiangalia mashavu nikamuuliza vip? Ati hujavimba? Unawezaje kuongea na huyu kiunbe ambae hajui kiswahili.

Kuna wakati niliwaacha nikaenda dukani kufata soda mara shoga akanitumia sms " shoga wahi ubaki na mzungu wako mimi hii lugha nakaaga nayo mbali" nyie🤣

Kwa bongo hii tumejizoea kuongea kiswahili na viluga vyetu huko kijiji tukipiga simu lisaa tunaongea kiluga leo mtu anakuongelesha kimarikia siku mbili sio mchezo.

Mkiona mtu siku nzima huko ofisin anaongea kiingereza msimchukulie poa mpeni heshima zake. sio rahis kama mnavyo dhani.

Kuna rafiki yangu ni mbongo yeye halagi ugali anasema ugali ni chakula cha nguruwe. Anakula wali jan-dec
 
Katika vyakula ambavyo huwa sivishobokei ni Ugali mimi siupendi kabisa yaani sina stim nao kabisa.

Sazingine huwa nakula tu ndo wife au beki3 kaandaa lakini kiukweli ugali sio chakula nachokipa thamani japo familia yangu mke na watoto wanaupenda balaa.

Ni mara kibao nikirudi nyumbani nikikuta wamepika ugali nitapitiliza tu chumbani kulala au nitaomba wanitafutie mbadala.

Na mara nyingi wakiwa wanaandaa huwa wanajua kabisa kwahiyo mbadala lazima iwepo.

Sazingine huwa nakula tu ili siku ipite lakini ni chakula cha hovyo kabisa, mimi naweza kukaa hata mwaka nisile ugali na nikaona fresh kabisa.

Ni kawaida kwangu siku hizi kukaa wiki au wiki mbili bila kuutia ugali mdomoni.

Kuna kitu huwa kinanishangaza sana, kuna watu wanakula ugali mchana na usiku tena siku 7 za wiki duuuh tena ugali na yale madagaa ya ziwa victoria!! Sio kwa nia mbaya au nina ego hapana mimi ugali hapana bora nile ndizi mwezi nzima lakini sio ugali.
Kwa mwanaume wa kiafrika kutopenda Kula ugali kidogo inatia shaka, labda wadada naweza kukubali.
Wanaume wote tuliokamilika tunakula na tunapenda Sana ugali. Ukiona hupendi ugali basi jua unatatizo la kuwa na hormones nyingi za kike.
Hivi unaanzaje kuudis ugali nyama Choma???[emoji1][emoji1]
 
Kwa mwanaume wa kiafrika kutopenda Kula ugali kidogo inatia shaka, labda wadada naweza kukubali.
Wanaume wote tuliokamilika tunakula na tunapenda Sana ugali. Ukiona hupendi ugali basi jua unatatizo la kuwa na hormones nyingi za kike.
Hivi unaanzaje kuudis ugali nyama Choma???[emoji1][emoji1]
Ugali unadumaza akili🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣🤣😂😂🤣🤣🤣
 
mbona nimeenda Nigeria nimekula sana ugali wao wanaita Amala na watu wengi wanakula au Nigeria ipi?
Sio ugali wa mahindi wanachanganya vitu vingi...Wanigeria wana mihogo yao hata wakiwa UK wanasafirisha na inapatikana...hawapendi ugali wa Sembe
 
mbona nimeenda Nigeria nimekula sana ugali wao wanaita Amala na watu wengi wanakula au Nigeria ipi?
Wanaokula sana ugali wa Sembe hata mwili umekataa umedumaa tofauti na hiyo Nigeria uliyoenda...watu wa magharibi vyakula vyao na mili yao ni tofauti na watu wa East hasa Wabongo wa Ugali...
 
Sio ugali wa mahindi wanachanganya vitu vingi...Wanigeria wana mihogo yao hata wakiwa UK wanasafirisha na inapatikana...hawapendi ugali wa Sembe
lakini ni ugali
mchango ulioutoa kwenye uzi ulikua unasema hao wa Nigeria hawatumii ugali
 
Halafu huwa nawaambia watu hili jambo wanashindwa kuamini, ugali uliletwa na mabeberu na mahindi yaliletwa na wareno kama sikosei, hata kama ugali ulikua ukiliwa Africa sidhani kama ni huu ugali wa dona

Mtaalam ambao watu weusi wengi wanaomuamini kama mzalendo Dr sebi alishawahi kusema ugali wa dona ni sumu na unadumaza akili
Mtama na mihogo pia ililetwa na mabeberu? Au umekalili ugali ni wa mahindi tu?
 
Katika vyakula ambavyo huwa sivishobokei ni Ugali mimi siupendi kabisa yaani sina stim nao kabisa.

Sazingine huwa nakula tu ndo wife au beki3 kaandaa lakini kiukweli ugali sio chakula nachokipa thamani japo familia yangu mke na watoto wanaupenda balaa.

Ni mara kibao nikirudi nyumbani nikikuta wamepika ugali nitapitiliza tu chumbani kulala au nitaomba wanitafutie mbadala.

Na mara nyingi wakiwa wanaandaa huwa wanajua kabisa kwahiyo mbadala lazima iwepo.

Sazingine huwa nakula tu ili siku ipite lakini ni chakula cha hovyo kabisa, mimi naweza kukaa hata mwaka nisile ugali na nikaona fresh kabisa.

Ni kawaida kwangu siku hizi kukaa wiki au wiki mbili bila kuutia ugali mdomoni.

Kuna kitu huwa kinanishangaza sana, kuna watu wanakula ugali mchana na usiku tena siku 7 za wiki duuuh tena ugali na yale madagaa ya ziwa victoria!! Sio kwa nia mbaya au nina ego hapana mimi ugali hapana bora nile ndizi mwezi nzima lakini sio ugali.
Binafsi ugali bila dgaa wa mwanza waliopikwa vzuri sikuelewi na uzuri ugali haukinai uchawi wake mboga tu
 
W
Katika vyakula ambavyo huwa sivishobokei ni Ugali mimi siupendi kabisa yaani sina stim nao kabisa.

Sazingine huwa nakula tu ndo wife au beki3 kaandaa lakini kiukweli ugali sio chakula nachokipa thamani japo familia yangu mke na watoto wanaupenda balaa.

Ni mara kibao nikirudi nyumbani nikikuta wamepika ugali nitapitiliza tu chumbani kulala au nitaomba wanitafutie mbadala.

Na mara nyingi wakiwa wanaandaa huwa wanajua kabisa kwahiyo mbadala lazima iwepo.

Sazingine huwa nakula tu ili siku ipite lakini ni chakula cha hovyo kabisa, mimi naweza kukaa hata mwaka nisile ugali na nikaona fresh kabisa.

Ni kawaida kwangu siku hizi kukaa wiki au wiki mbili bila kuutia ugali mdomoni.

Kuna kitu huwa kinanishangaza sana, kuna watu wanakula ugali mchana na usiku tena siku 7 za wiki duuuh tena ugali na yale madagaa ya ziwa victoria!! Sio kwa nia mbaya au nina ego hapana mimi ugali hapana bora nile ndizi mwezi nzima lakini sio ugali.
Hujajiuliza kwanini Shemeji anakupikia Ugali kila mara😁?

Jiongeze mkuu, Kula ugali 😁😁😁
 
Back
Top Bottom