Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakuta watu wanadanganyana eti ugali una nguvu😂😂 mafundi ujenzi wanaenda kula ugali dagaa wakiona unakula wali wanashangaa kumbe Ni umasikini wao ..wanasema chips hazina nguvu kumbe Wana compare ugali wa buku na chips za buku hawajui kwamba chips Ni gharama ili upate zenye uzito sawa na ugali wa buku jero inabidi u pay more around 4k ..na pesa hawana wanakazania kusema ugali una nguvu😂😂Hata hivyo Ugali umedumaza sana Ubongo za watu wengi na jinsi ulivyo wengi wanaamini ni chakula ya Mtu mweusi kumbe nayo ilililetwa na Mabeberu zipo Nchi nyingi Afrika Ugali sio kipaumbele chao kama hapa kwetu...
Sema ugali sio chakula cha sisi walaini Magufuli alikuwa masikini kwani? mbona hadi mahindi ya kuchoma alikuwa anakulaUgali Ni chakula Cha masikini ..ugali hauna faida yoyote ,, hata
Na unaonekana kweli hamnazoAah! basi watu tunatofautiana sana
Kiukweli Mimi nisipokuta ugali(nguna) nyumbani siwaelewi kbs, wapike vyakula vyao wanavyotaka lkn ugali wa baba huo lzm uwepo.
Ugali dagaa, ugali samaki, ugali nyama choma hapo hunitoi mzee. Nakula hata mwaka mzima bila kubadili na sioni noma yoyote.
Mashoga kama wewe ndo mnapenda chips chips na lojoNa unaonekana kweli hamnazo
Sema ugali sio chakula cha sisi walaini Magufuli alikuwa masikini kwani? mbona hadi mahindi ya kuchoma alikuwa anakula
Shoga Ni mm au wewe unaeandika lojo ?Mashoga kama wewe ndo mnapenda chips chips na lojo
We unaona kile kichwa cha kisukuma kilikua kinashindia wali[emoji23] au chips.Uliwahi kwenda ikulu ukakuta anachokula[emoji848] ile miradi ya chato ale maindi ile Ni danganya toto
Ugali fulani hv laini, nyama choma nusu kilo, pilipili nyingi sana mixer ndimu, maji ya kunywa lita moja ya baridi. Baada ya hapo nikianza kufungua vizibo sasa naweza nikakata kreti la Kilimanjaro lager aisee.
Msichana sishangai mie kutopenda ugaliWatoto wa kike wengi hampendi ugali
Wewe kama ulizaliwa kilaza utaendelea kuwa kilaza tu sio kwasababu ya kula ugali. Mahindi kihistoria yalilimwa hata katika dola ya misri enzi za nabii yusuf mtoto wa Yakobo.Ugali wa mahindi mswahili yeyote ukisema ugali anajua wa mahindi...ngano na mtama Nchi nyingi wanalima na kutumia hizo nafaka hata kichwani wapo sawa tofauti na wala ugali harafu wanauamini balaa huwezi kuwaambia kitu kwa sababu washadumazwa...
Hakika una nguvu wee ni wale Wala chpisiUgali siyo chakula aisee
Nina mwez wa 3 siujui ugali
Mtu na akili zako timamu unaanzaje kula ugali?Katika vyakula ambavyo huwa sivishobokei ni Ugali mimi siupendi kabisa yaani sina stim nao kabisa.
Sazingine huwa nakula tu ndo wife au beki3 kaandaa lakini kiukweli ugali sio chakula nachokipa thamani japo familia yangu mke na watoto wanaupenda balaa.
Ni mara kibao nikirudi nyumbani nikikuta wamepika ugali nitapitiliza tu chumbani kulala au nitaomba wanitafutie mbadala.
Na mara nyingi wakiwa wanaandaa huwa wanajua kabisa kwahiyo mbadala lazima iwepo.
Sazingine huwa nakula tu ili siku ipite lakini ni chakula cha hovyo kabisa, mimi naweza kukaa hata mwaka nisile ugali na nikaona fresh kabisa.
Ni kawaida kwangu siku hizi kukaa wiki au wiki mbili bila kuutia ugali mdomoni.
Kuna kitu huwa kinanishangaza sana, kuna watu wanakula ugali mchana na usiku tena siku 7 za wiki duuuh tena ugali na yale madagaa ya ziwa victoria!! Sio kwa nia mbaya au nina ego hapana mimi ugali hapana bora nile ndizi mwezi nzima lakini sio ugali.