Sipingi kuwa make-up ni muhimu ila iwe na mipaka jamani

Sipingi kuwa make-up ni muhimu ila iwe na mipaka jamani

We ni noma, sasa gengeni mpaka make up kwani mangi anakua anaandaliwa kukopwa au kuvunjwa goti na mizinga?

Hebu nishike sikio kidogo mkuu
Huwezi jua njiani unakutana na watu wa aina gani.

Sio kwamba make up zinatubeba, bali mwanamke ameumbwa kupendeza.
Na hapo katika kupendeza lazima tutafute kitu cha kutupendezesha.
Make up inanipa ujasiri hata wa kumnyali mwanaume.
Make up inapandisha dau.
Make up inaongeza hamu na ndio maana mnatongoza wanawake na make up zao.
Napaka make up...tena najirundika haswaaaa.
Japo sura zinatubeba ila make up ni kama chumvi kwenye mboga
 
Kwa kuwa kule unaenda kukata gogo ndio unaamua ubaki kama msitu ili ufanane na msitu wenyewe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
Kule unaweza oga kabisa so lazima uende naturally
Ila ukishatoka huko ahhhhh....tunaongea lugha moja tu.
Unajua kuna sehemu zingine make upa lazima.
Sura hatuna...asa hata makeup nayo iwe shida.
Hebuuuuu......
 
Hahaaaa. Nisiwe muongo natumia ila nina Makeup yangu moja inayoendana na rangi yangu na nikipaka naipaka kidogo mnoo ambayo kama hujanicheck vizuri huwezi jua kama nimepaka kitu kwa uso.
Ndio ninapokupendea hapo mamaa,
unajua budget.

Sio unampa baby wako pesa ya matumizi nyumbani halafu unakuta nusu amekandika usoni halafu anakukodolea macho

Mna nini lakini?!
 
Sasa mkuu kwani ulipomuokota huyo mwanamke ulimpa vigezo vyako?kama haukumpa kosa sio lake na wala huna mamlaka ya kumuita shetani. Ungemlipa akasepa maana ilikua hit and run
Hatutongozi wanawake kisa wana mbunye tamu au la,kila mtu ana specifications zake,ambazo obvious zote ni outside specifications ,yaliyomo ndani yana noga na kuthibitika mkiwa kitandani ,yakipambwa na ushirikiano kati yenu.
 
@ukhuty na Madame B hawa watu ni wakupigwa kadi nyekundu tu uwanjani, wanacheza faulo sanaaaaView attachment 867872
Sio faulo.
Mfano mzuri tumeushuhudia hapa jukwaani.
Kuna mtu alileta uzi kusema kuwa kakutana na mdada ana sura mbovu kama gimbi hata makeup ya 1500 imemshinda?
Asa unadhani kwa shombo zenu hizi nani atataka atoke bila makeup....
Msituletee zengwe nyie
 
I see kama ndio mke wangu nakutoa nduki. Sipendi hayo maputi mnapaka usoni.
Wewe haya makitu tunayajua sisi ladha zake.
Tena ndo hivo tu nina kijikalio.
Ila ningekuwa sina.
Juu make up, usoni kope zimenisimama kama fagio la hospital na huku chini najaradia kigodoro changu safi mwendo mdundo
Kila nikipita, mnakata shingo tu mpaka napotelea vichochoroni huko gizani
 
Wewe haya makitu tunayajua sisi ladha zake.
Tena ndo hivo tu nina kijikalio.
Ila ningekuwa sina.
Juu make up, usoni kope zimenisimama kama fagio la hospital na huku chini najaradia kigodoro changu safi mwendo mdundo
Kila nikipita, mnakata shingo tu mpaka napotelea vichochoroni huko gizani
Hilo nakubaliana na wewe. Kuna mmoja kila mara nasema lakini haelewi wala nini. Mimi ndio nimekupenda nataka uwe natural hayo maputi unampakia nani? Ninyi ni shida kwa kweli
 
Back
Top Bottom