Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Huyu ni mtu mmoja?Acheni kutusimanga[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]]View attachment 867785
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni mtu mmoja?Acheni kutusimanga[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]]View attachment 867785
Mwanamke mpe tu pesa ya gengeni sijui ya kununia vyombo au kununulia nguo watoto.Kwamba ya mekapu atajiongeza mwenyewe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
Tuna kazi kubwa sana tukitaka kuzuia hayo yoteMwanamke mpe tu pesa ya gengeni sijui ya kununia vyombo au kununulia nguo watoto.
Ila jua kuwa ya makeup, vikoba, kutunza shughuli zote zinapatikana hukohuko
Kama umenioa na unanipa huduma zote.Hilo nakubaliana na wewe. Kuna mmoja kila mara nasema lakini haelewi wala nini. Mimi ndio nimekupenda nataka uwe natural hayo maputi unampakia nani? Ninyi ni shida kwa kweli
Hahahaa. Lao hiliWanaume wa humu Jf huwa hawapendi kuambiwa ukweli.
Wanataka lao liwaendee.
Wanajikuta akina Mr. Perfect
Wanawake tuna mbinu sana.Tuna kazi kubwa sana tukitaka kuzuia hayo yote
Ndio....mimi hapoHuyu ni mtu mmoja?
And deliveryHahahaa. Lao hili
Msg Sent hii Dada.
Mna vitimbwi hatari sana hatuwezi kushangaa kwa hilo.Wanawake tuna mbinu sana.
Na hamuwezi kutushinda hata siku moja
😂😂😂😂 Wape wape.And delivery
Hivi katika Dunia hii na karne hii kuna mwanaume anaekubali kutoka na mwanamke asiyepaka makeup.
Huu ni uwongo mkubwa sana
Lakini na kuyajua hayo bado mnawafuata.Mwanangu umewachana live...hawatatoa mchango hapa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tuliza mtima madame, mbona povu jingi jamani, halafu sasa mi nshaanza kujipanga nikutafute private kwanza.Ndio maana
Ungekuwa umeoa....akili ingekukaa sawa
Tokea lini nimekuwa kipofu?Ndio....mimi hapo
Kuna wapo ambao hawataki wake zao wawe hivyo ila kwa asiye mke wake anaweza kutoka naye akiwa amejitandika mekapuAnd delivery
Hivi katika Dunia hii na karne hii kuna mwanaume anaekubali kutoka na mwanamke asiyepaka makeup.
Huu ni uwongo mkubwa sana
Wanasemaga upofu upo kwenye mapenziTokea lini nimekuwa kipofu?
Ila sijafikia hatua ya kutokutambuana walau kwa macho....Wanasemaga upofu upo kwenye mapenzi
majibu mezani MwifwaMkuu hapa nafanya tu uhakiki
Atakua na kifua cha kuyapokea hayo majibu? Au tumwakilishe[emoji23] [emoji23] [emoji23]majibu mezani Mwifwa
hamna cha faulu wala nini mlisema hatuwezi kuja kwa huu uzi now tumekuja kwa kasi ya 4G@ukhuty na Madame B hawa watu ni wakupigwa kadi nyekundu tu uwanjani, wanacheza faulo sanaaaaView attachment 867872