Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Alietengeneza makeup Mungu ambariki kuna wanatisha jamani mpaka unajiuliza huyu yupo tu hivi je akiwa katoka kuamka asubuhi inakuwajee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WEWE NI KE AU ME.?HIVI UKIENDA KULA KWA MAMA NTILIE UKAKUTA MCHANGA KWENYE WALI WAKATI UMESHAANZA KULA VIPI UNACHUKUA HATUA GANI?
naona mnakuja kwa kasi sana.[emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka khaaa Numbisa ondoka sitaki
Kwa kuwa kule unaenda kukata gogo ndio unaamua ubaki kama msitu ili ufanane na msitu wenyewe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]Sehemu ninayoenda nikiwa sijapaka makeup ni chooni tu?
Hahahaaaa. Watuwache.[emoji125][emoji125]nasiliba kabisa kopo zima
Afu wanaume hawa hawa wanaoleta ngebe kuhusu makeup.Kuna muda nimejiwazia hapa pia, huenda ikawa sie Ke na hao Me tunazungumza lugha mbili tofauti.
Na wao akili zao zote wanajua mtu kupaka Makeup na ili iwe Makeup basi mpaka afananie na hao wa kwenye hizo picha za mleta uzi. Kumbe ni tofauti.
Majibu ni Negative(-ve) kwa nadharia ya kupima afya(HIV) kabla ya maamuzi[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]haya weka majibu mezani mdogo wangu
Hapo ndipo kwenye tatizo.Kikopo kimoja elf 35, sasa vi4 si mshahara kabisa aise Hajar [emoji120]
AsanteMi huwa nawapa hongera kubwa wanawake ambao hawajihusishi na make up, yaani wapo naturally na bado wapo beautiful enough kupita hao wa makopo ya chamical
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji126] [emoji126] [emoji126]
Hatutongozi wanawake kisa wana mbunye tamu au la,kila mtu ana specifications zake,ambazo obvious zote ni outside specifications ,yaliyomo ndani yana noga na kuthibitika mkiwa kitandani ,yakipambwa na ushirikiano kati yenu.KE
Unamtukana mama ntilie halafu unamtupia hela kwa hasira ee bana watajuaje kama una hela[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa mfano huu sidhan kama kipara cha kichwan kilipunguza utamu wa mbunye
Ndio.😂😂😂😂😂😂 hii ni kubwa kuliko Dada.
😂😂😂😂😂 hivyo tukienda kwetu Tanga ndio twawa kama Misitu. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hatari.
I see kama ndio mke wangu nakutoa nduki. Sipendi hayo maputi mnapaka usoni.Afu wanaume hawa hawa wanaoleta ngebe kuhusu makeup.
Ukute wake zao hawatoki nao mpaka wapake makeup.
Hapa tunaongea lugha 2 tofauti ujue.
Hao wanajua mkorogo nakwambia
Jiandae kisaikolojia mkuuUkishafanya uhakiki na kujisajili, yatakayo jiri naomba uanzishe uzi ilo utipe yaliyo kupata huko mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
PoleniHii ilishawahi kunikuta baada ya kulala na bitch mmoja hivi mwanza,wakati naingia nae chumbani nilipofika tu nilikula kimoja ,akiwa yupo safi kabisa,ila tulipolala nilipoteza kumbu kumbu kwa sababu ya pombe nyingi niliyokuwa nimekunywa,asubuhi ulevi uliponiishia nilishituka ili niguse cha asubuhi ,si ndo kumgeukia mwenzangu ambaye yeye alikuwa bado amepiga usingizi,kumuangalia tu hivi nikakuta hana nywele hata kidogo,yani kichwa kama tako;nilipiga kelele kama nini ,huku mapigo ya moyo yakiwa yameongezeka.Nilitoka ndani nikaenda kaunta kuchukua maji ya kunywa angalau nipoze kiu niikiwa kaunta yule demu nae alikuja pale kaunta,akitaka kujumuika nami nilimwambia akae mbali nami ndipo nilipomuita rafiki yangu mmoja akaja pale na kumwambia,mpatie huyo ibilisi elfu tano tu aondoke maeneo haya.
Mtoa uzi ume ongelea make-up tu lakini vipi kuhusu hips fake,matiti fake,sauti fake,harufu fake yaani ni nonesense tupu ,halafu hawa wapuuzi wa namna hii ndo unakuta wanajifanya wanajua kula na kutaka dau kubwa.
Mungu wetu atusaidie jamani.
Mi sijaoa Madame B, ndo kwanza nimetimiza miaka 25.Hapo ndipo kwenye tatizo.
Huenda unapenda sana mkeo apake makeup sema tatizo huenda ni mfuko..
Tuwekane sawa hapa nyie wanaume.
Ila mwanamke wewe mpe tu pesa za gengeni....ya make up itatoka hukohuko
Umeona Dada. Hizi ni lugha mbili.Afu wanaume hawa hawa wanaoleta ngebe kuhusu makeup.
Ukute wake zao hawatoki nao mpaka wapake makeup.
Hapa tunaongea lugha 2 tofauti ujue.
Hao wanajua mkorogo nakwambia