Sipingi kuwa make-up ni muhimu ila iwe na mipaka jamani

Sipingi kuwa make-up ni muhimu ila iwe na mipaka jamani

Dada na sio vimada pekee hata hao wake zao wanapaka sana tu.

Ila hapa wote team natural. Wanaume nyieee Mungu anawaona aiseee.
Afu hapa unajua wanaume wanachanganya madesa.
Hapa kuna wengine wanaongelea mikorogo.

Wanaume hawajui kutofautisha kati ya make up na mkorogo.
Hapa wanajua ni mkorogo
 
😳😳😳😳😳
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hii ilishawahi kunikuta baada ya kulala na bitch mmoja hivi mwanza,wakati naingia nae chumbani nilipofika tu nilikula kimoja ,akiwa yupo safi kabisa,ila tulipolala nilipoteza kumbu kumbu kwa sababu ya pombe nyingi niliyokuwa nimekunywa,asubuhi ulevi uliponiishia nilishituka ili niguse cha asubuhi ,si ndo kumgeukia mwenzangu ambaye yeye alikuwa bado amepiga usingizi,kumuangalia tu hivi nikakuta hana nywele hata kidogo,yani kichwa kama tako;nilipiga kelele kama nini ,huku mapigo ya moyo yakiwa yameongezeka.Nilitoka ndani nikaenda kaunta kuchukua maji ya kunywa angalau nipoze kiu niikiwa kaunta yule demu nae alikuja pale kaunta,akitaka kujumuika nami nilimwambia akae mbali nami ndipo nilipomuita rafiki yangu mmoja akaja pale na kumwambia,mpatie huyo ibilisi elfu tano tu aondoke maeneo haya.
Mtoa uzi ume ongelea make-up tu lakini vipi kuhusu hips fake,matiti fake,sauti fake,harufu fake yaani ni nonesense tupu ,halafu hawa wapuuzi wa namna hii ndo unakuta wanajifanya wanajua kula na kutaka dau kubwa.

Mungu wetu atusaidie jamani.
 
Afu hapa unajua wanaume wanachanganya madesa.
Hapa kuna wengine wanaongelea mikorogo.

Wanaume hawajui kutofautisha kati ya make up na mkorogo.
Hapa wanajua ni mkorogo
Kuna muda nimejiwazia hapa pia, huenda ikawa sie Ke na hao Me tunazungumza lugha mbili tofauti.

Na wao akili zao zote wanajua mtu kupaka Makeup na ili iwe Makeup basi mpaka afananie na hao wa kwenye hizo picha za mleta uzi. Kumbe ni tofauti.
 
Ndio ilivyo Mkuu. Kama mie ako ninakopaka ni kakopo kadogo ila kanauzwa Tsh 35000/= ila ndio nakapaka zaidi ya miezi mitatu maana napaka kidogo mnooo na haibadili muinekano zaidi ya kung'arisha.

View attachment 867822

Kama ako japo sio aina hiyo. Ni mfano tu wa ako kakopo ukubwa wake.
Kikopo kimoja elf 35, sasa vi4 si mshahara kabisa aise Hajar [emoji120]
 
Mkuu sema haukua na pesa ya kumlipa mpaka ukaomba assist kwa rafiki
Hii ilishawahi kunikuta baada ya kulala na bitch mmoja hivi mwanza,wakati naingia nae chumbani nilipofika tu nilikula kimoja ,akiwa yupo safi kabisa,ila tulipolala nilipoteza kumbu kumbu kwa sababu ya pombe nyingi niliyokuwa nimekunywa,asubuhi ulevi uliponiishia nilishituka ili niguse cha asubuhi ,si ndo kumgeukia mwenzangu ambaye yeye alikuwa bado amepiga usingizi,kumuangalia tu hivi nikakuta hana nywele hata kidogo,yani kichwa kama tako;nilipiga kelele kama nini ,huku mapigo ya moyo yakiwa yameongezeka.Nilitoka ndani nikaenda kaunta kuchukua maji ya kunywa angalau nipoze kiu niikiwa kaunta yule demu nae alikuja pale kaunta,akitaka kujumuika nami nilimwambia akae mbali nami ndipo nilipomuita rafiki yangu mmoja akaja pale na kumwambia,mpatie huyo ibilisi elfu tano tu aondoke maeneo haya.
Mtoa uzi ume ongelea make-up tu lakini vipi kuhusu hips fake,matiti fake,sauti fake,harufu fake yaani ni nonesense tupu ,halafu hawa wapuuzi wa namna hii ndo unakuta wanajifanya wanajua kula na kutaka dau kubwa.

Mungu wetu atusaidie jamani.
 
Nimecheka Dada. Hadi ujasiri kumbe. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mie mwenzako bila makeup hata gengeni siendi.
Sehemu ninayoenda nikiwa sijapaka makeup ni chooni tu?
Ila hata kama nitakaa nje kupiga soga kujimake up muhimu.
Si unajua huwezi jua zali linakuja muda wowote.

Nitakuwa natural nikienda kwetu milimani Lushoto.
Ila Dar....wote tutakutana tukiwa na makeup usoni
 
Mie mwenzako bila makeup hata gengeni siendi.
Sehemu ninayoenda nikiwa sijapaka makeup ni chooni tu?
Ila hata kama nitakaa nje kupiga soga kujimake up muhimu.
Si unajua huwezi jua zali linakuja muda wowote.

Nitakuwa natural nikienda kwetu milimani Lushoto.
Ila Dar....wote tutakutana tukiwa na makeup usoni
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hii ni kubwa kuliko Dada.

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hivyo tukienda kwetu Tanga ndio twawa kama Misitu. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hatari.
 
Mie mwenzako bila makeup hata gengeni siendi.
Sehemu ninayoenda nikiwa sijapaka makeup ni chooni tu?
Ila hata kama nitakaa nje kupiga soga kujimake up muhimu.
Si unajua huwezi jua zali linakuja muda wowote.

Nitakuwa natural nikienda kwetu milimani Lushoto.
Ila Dar....wote tutakutana tukiwa na makeup usoni
We ni noma, sasa gengeni mpaka make up kwani mangi anakua anaandaliwa kukopwa au kuvunjwa goti na mizinga?

Hebu nishike sikio kidogo mkuu
 
Back
Top Bottom