NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,958
- 2,954
Madame.B kwani hizo sura hapo juu Ni mikorogo au make upAfu hapa unajua wanaume wanachanganya madesa.
Hapa kuna wengine wanaongelea mikorogo.
Wanaume hawajui kutofautisha kati ya make up na mkorogo.
Hapa wanajua ni mkorogo