Sipingi kuwa make-up ni muhimu ila iwe na mipaka jamani

Sipingi kuwa make-up ni muhimu ila iwe na mipaka jamani

Hii ilishawahi kunikuta baada ya kulala na bitch mmoja hivi mwanza,wakati naingia nae chumbani nilipofika tu nilikula kimoja ,akiwa yupo safi kabisa,ila tulipolala nilipoteza kumbu kumbu kwa sababu ya pombe nyingi niliyokuwa nimekunywa,asubuhi ulevi uliponiishia nilishituka ili niguse cha asubuhi ,si ndo kumgeukia mwenzangu ambaye yeye alikuwa bado amepiga usingizi,kumuangalia tu hivi nikakuta hana nywele hata kidogo,yani kichwa kama tako;nilipiga kelele kama nini ,huku mapigo ya moyo yakiwa yameongezeka.Nilitoka ndani nikaenda kaunta kuchukua maji ya kunywa angalau nipoze kiu niikiwa kaunta yule demu nae alikuja pale kaunta,akitaka kujumuika nami nilimwambia akae mbali nami ndipo nilipomuita rafiki yangu mmoja akaja pale na kumwambia,mpatie huyo ibilisi elfu tano tu aondoke maeneo haya.
Mtoa uzi ume ongelea make-up tu lakini vipi kuhusu hips fake,matiti fake,sauti fake,harufu fake yaani ni nonesense tupu ,halafu hawa wapuuzi wa namna hii ndo unakuta wanajifanya wanajua kula na kutaka dau kubwa.

Mungu wetu atusaidie jamani.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamaa visingizo tele mtu kamstarehesha usiku kucha eti kisa kipara ndo anamuona shetani
wakati namchukua sikujua kama ana kipara,alikuwa amevaa wigi,na hata wakati ananipa cha kwanza kabla ya kulala hakutoa wigi lake,kumbe sasa nilipokata moto,sasa asubuhi mshituko nilio upata Mungu ndo anajua.
 
Umeonaeeee. Sema na wewe mwaya.

Hapa wote team natural. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Watuache. [emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126] mbaya ikipoteza uhalisia wa ngozi ila hii ya kawaida mie napaka tu jamaani.
Ya kupoteza uhalisia ndo mbaya.
Ila hizi za kuongeza urembo tu kidogo watuache kabisa[emoji16]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]hilo si povu mbona?
Tatizo mmeanza kutusimanga asubuhi asubuhi,sijui kilikukuta nini jana
We unaakili sana, pia una busara na hekima[emoji18]

Najua umeangalia hii nyuzi nimeiposti jana Jumamosi, Saa Saba na Nusu sijui usiku... Ila sababu zilizonifanya nifunguke si nzuri kabisa, naomba niishie hapo tu mkuu
 
Back
Top Bottom