Sipingi kuwa make-up ni muhimu ila iwe na mipaka jamani

Ukija private uje 3000 ya Jf Party
 
U
Nliposti kuna uzi wa faida za mwanamke kua mchepuko, watu walitoa mapovu acha tu mkuu.

Halafu sijui lini ntakoma kuwa testi hawa watu.[emoji120] [emoji120] [emoji120]
Usikomeee bro Hawa viumbe hovyo kabisaaaa.
MUNGUkawapa
NYUSI hawazitaki wananyoa wanabandika MANYUZI,Wakapewa KUCHA hawazitaki Wanabandika MAPLASTIK,Akawapa MAKALIO hwayataki WANAWEKA YA MCHINA
Akawapa NYWELE Wanabandika MAKATANI
Baasi Ni tabu tupu,HAWAJIAMINI KABISAAA.
 
Kwa kuwa mchepuko ni wa muda mfupi kukidhi haja, hiyo kero ni ya muda mfupi pia.

Huwezi kulinganisha na ambaye unaishi naye siku zote.
Tunarudi palepale.
Hupendi mwanamke mpaka makeup....huyo mchepuko wako ni wa kiume?
Mkataze basi na huyo mchepuko wako kupaka makeup.

Afu aliyekwambia mchepuko anakuwa wa muda mfupi ni nani?
Kuna michepuko unakuwa nayo milele.
Ngoma droo kama wife tu
 
Write your reply...hakuna lolote wanaongea kujifurahisha na kufurahisha baraza hao wakezao ndio wanapanga foleni na kumjua kila makeup arts mjin
 
Write your reply...hakuna lolote wanaongea kujifurahisha na kufurahisha baraza hao wakezao ndio wanapanga foleni na kumjua kila makeup arts mjin
Umemaliza kila kitu.

Mie nimesema hapa hao wanaume wanaosema hawataki make up ukute wake zao phone book zao ni majina ya wabandika kope na wapaka make up hapa mjini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…