NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,958
- 2,954
Madame.B kwani hizo sura hapo juu Ni mikorogo au make upAfu hapa unajua wanaume wanachanganya madesa.
Hapa kuna wengine wanaongelea mikorogo.
Wanaume hawajui kutofautisha kati ya make up na mkorogo.
Hapa wanajua ni mkorogo
Nliposti kuna uzi wa faida za mwanamke kua mchepuko, watu walitoa mapovu acha tu mkuu.Yajayo Yana furahisha [emoji106]
It's up to you
Hapo kuna mikirogo na make upMadame.B kwani hizo sura hapo juu Ni mikorogo au make up
Umeona eeeeNakazia hapo madam
Kuna wapo ambao hawataki wake zao wawe hivyo ila kwa asiye mke wake anaweza kutoka naye akiwa amejitandika mekapu
Ukija private uje 3000 ya Jf Party[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tuliza mtima madame, mbona povu jingi jamani, halafu sasa mi nshaanza kujipanga nikutafute private kwanza.
Mi kama wa kufunga nae pingu za maisha itakua wewe au hao waliotoa povu hapo juu tu. Maana sidhani kama ntapata mwanamke mkweli kama wewe au hao waliofunguka juu.
Kwa kuwa mchepuko ni wa muda mfupi kukidhi haja, hiyo kero ni ya muda mfupi pia.Sasa kwanini na huyo mchepuko usimkataze make up?
Usikomeee bro Hawa viumbe hovyo kabisaaaa.Nliposti kuna uzi wa faida za mwanamke kua mchepuko, watu walitoa mapovu acha tu mkuu.
Halafu sijui lini ntakoma kuwa testi hawa watu.[emoji120] [emoji120] [emoji120]
Ngoja kwanza niyatie mekapu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]majibu mezani Mwifwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hamna cha faulu wala nini mlisema hatuwezi kuja kwa huu uzi now tumekuja kwa kasi ya 4G
Mi JF Party mbona ntakuja kama ntakuwepo bongo, ila username yangu iwe siri yako tu...Ukija private uje 3000 ya Jf Party
Tunarudi palepale.Kwa kuwa mchepuko ni wa muda mfupi kukidhi haja, hiyo kero ni ya muda mfupi pia.
Huwezi kulinganisha na ambaye unaishi naye siku zote.
Mkorogo ukilala nao usiku hautoki uamkapo asubuhi.WE UMEKUJA TUU KUWATETEA WA MIKOROGO lakini SI MTUMIAJI!!!Hapo kuna mikirogo na make up
We naweMi JF Party mbona ntakuja kama ntakuwepo bongo, ila username yangu iwe siri yako tu...
Halafu sio 3,000/= ni elf 30,000/= kukuonesha na fatilia kwa ukaribu hio party[emoji6]
Mie mkorogo siutumii na tena siutaki kabisa.Mk
Mkorogo ukilala nao usiku hautoki uamkapo asubuhi.WE UMEKUJA TUU KUWATETEA WA MIKOROGO lakini SI MTUMIAJI!!!
Haaaa haaaa haaaa📢😂😂😂Ngoja kwanza niyatie mekapu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mashavu mapana yenye mafuta.Nini kipimo cha utamu wa mbunye
Umemaliza kila kitu.Write your reply...hakuna lolote wanaongea kujifurahisha na kufurahisha baraza hao wakezao ndio wanapanga foleni na kumjua kila makeup arts mjin