Nini kipimo cha utamu wa mbunye
Ukiona hivyo ujue mchepuko hapaki hizo takataka Ni mwendo wa asili halafu hachujiUmemaliza kila kitu.
Mie nimesema hapa hao wanaume wanaosema hawataki make up ukute wake zao phone book zao ni majina ya wabandika kope na wapaka make up hapa mjini
Ndiyo dabyHuyu ni mtu mmoja?
WatanilogaHongera katoto kazuri, hebu tuone picha na wenzako waone ili waige mfano mwema kwako[emoji4]
Unafikiri nikatoto kazuri bure??Lakini kweli, bora usitume tu.
Maana kuna mmoja hapo amesema ye bila kujibandika make-up sawa sawa siku haiendi [emoji4]
Unafikiri nikatoto kazuri bure??
Sawaaaa basi sibembelezagi mtu jamani mimi nasemaga ukweli napitaKatoto kazuri kanajua kujifagilia! Ukute mambo ni kinyume chake kabisa.
-Kaveli-
Lazima kuna sababu, sio bure bure [emoji23]
Sawaaaa basi sibembelezagi mtu jamani mimi nasemaga ukweli napita
sio kww kichambo hikiTunakuja.
Kwanini tuogope.
Make up zinatupa ujasiri babu weeeeee
Natural tunaiachia misitu.
Huyu mwanamke hafaiNoma kaka, ila umechelewa kuja kuokoa jahazi, nusu lizame [emoji23]
Kila mtu anamaoni yakeYaonekana wewe ni mwanamke mwenye kauli za kishujaa. Basi nami huwa sidanganyiki kwa sifa za empty words.
-Kaveli-
Yako inaitwaje, hili nimnunulie WiFi yakoNdio ilivyo Mkuu. Kama mie ako ninakopaka ni kakopo kadogo ila kanauzwa Tsh 35000/= ila ndio nakapaka zaidi ya miezi mitatu maana napaka kidogo mnooo na haibadili muinekano zaidi ya kung'arisha.
View attachment 867822
Kama ako japo sio aina hiyo. Ni mfano tu wa ako kakopo ukubwa wake.