NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,958
- 2,954
Mkuu HAWAJI,na hata wakija WATAKUWA WANA HAYO MADUDE NAFSI ZITAWASUTA KUKUSHAMBULIA!Sasa wakija mnisaidie, povu watakalo kuja nalo si la kitoto.
sio mniachie mpira niweweseke nao peke yangu humu kwenye huu uzi, hata messi hua anawasaidizi. [emoji120]
Wangesha kujaLabda sio wanawake, wale viumbe wana tabu sana mkuu
Wanawake tumeumbwa kupendeza.Shunie , ukhuty , Mzigua90 , Madame B , Numbisa , Mama Sabrina , Raynavero , maliyamtu , Ulweso , mumu , espy , Heaven Sent, witnessj, Beef Lasagna na wengineo wengi mje jamaani kama na nyie mnatumiaga hii kitu.
Mie jamaani nisiwe mnafki napaka ila kidogo mnoo. Na haiondoi uhalisia wa ngozi yangu.
Lakini kweli, hapo umeua [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mk
Mkuu HAWAJI,na hata wakija WATAKUWA WANA HAYO MADUDE NAFSI ZITAWASUTA KUKUSHAMBULIA!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Iyo picha ya mwanamke jpg2 Wa mwisho kama Doctar Wa hospital ya palestina sinza.
Umeona Dada ake.Wanawake tumeumbwa kupendeza.
Japo muda mwingine make-up inasitiri ila ikizidi kero.
Mie nisiwe mnafiki, napaka ila kwa kiasi.
Na inategemea naenda mahala gani.
Kama harusini napaka mpaka utanisahau, ila kama sehemu za starehe napala kwa kiasi nisije mkimbiza bwana mpya asubuhi.
Hahahhahaha
tumefika aiseeeWnawake sidhani kama watakuja hapa aiseeeee
Asante.Mi huwa nawapa hongera kubwa wanawake ambao hawajihusishi na make up, yaani wapo naturally na bado wapo beautiful enough kupita hao wa makopo ya chamical
Hahahaaa. Haya subiri waje wakusuuze au mdogo wangu hupakagi Makeup? ππππtumefika aiseee
Hahahaaa. Na mie naikazia hiyo Ahsante yako Dada.Asante.
Hongera yako nimeipokea
Halafu we si umeolewa mkuu? Mbona povu limeanza kutoka jamani?Acheni kutusimanga[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]]View attachment 867785
Ila wanaume ni wanafiki watupu.Umeona Dada ake.
Hiyo natural tuiachie misitu kwa kweli. ππππ Na hatukatai maana kila mmoja na akipendacho.
Tupo hapa.Wakijitokeza mniite wakuu
π³π³π³π³π³Kumbe kujenga mwili ni nafuu kuliko na kujenga uzuri.
Ukijenga mwili vizuri, hutohitaji make up tena.
Jitajidini kujenga mwili kwa vyakula bora ili muepuke msaada wa make up
tumefika eeehHAWASOGEI
Dada na sio vimada pekee hata hao wake zao wanapaka sana tu.Ila wanaume ni wanafiki watupu.
Mbona wanawaacha wake zao majumbani wenye sura za naturally na kwenda kwa vimada wanaopaka make up.
Wanaume waambie waache unafiki
Tunakuja.Wnawake sidhani kama watakuja hapa aiseeeee