sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
😂Sikuona DP 😍😋😋😋😘 kwa hilo body ukiwa mjanja humalizi miezi 6 utakuwa kitengo mahala salama. Hakikisha unajisogeza kwa mameneja wa bank mjini na pia jiingize katika shughuli za kichama pia huenda ukapewa ukuu wa wilaya flani.
Kwa hali ilivyo natafuta hati ya tabia njema Wizarani soon nijimixie Uber. Huu mwaka utakaoanza uwe wa Faida kwangu 😁😁😁! Huu mji siuelewi elewiNakumbuka wakati nipo 4th year Chuo nilienda kwa Uncle wangu mmoja huku ninakunywa chupa kubwa ya maji ya Kilimanjaro. Wakati huo chupa ilikuwa inauzwa nadhani TZS. 900/-. Uncle akanicheeeeck then akasema dogo ‘unatupa’ 900 nzima kununua maji ya kunywa tu wakati huku kitaa tunanunua ndoo nzima ya lts. 20 kwa TZs. 200?? Chunga sana!
Anyway, huyu kijana huenda ana vision kubwa na hataki kuchukua just any salary. Ila sometimes ni bora sana kuchukua kazi ili ukapate experience huku ukilipwa hata hiyo kidogo. Experience itakusogeza huko kwenye salary unayoitaka mbele ya safari. Itafika wakati unaweza kujikuta unaomba hata kujitolea bure kabisa mambo yakishakugomea
All the best!
Kumbe wewe ni KE?Mie ni muhitimu wa degree ya kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!
Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.
Hope zinapatikana bila shaka.
Aje ajionee mwenyeweTusafirishe tu [emoji16][emoji16][emoji16]
Mkuu nina muda sijaingia humu,huwa naibiaga tu am glad kuliona hili jina linalotikisa huku jf na comment za front seat 😂😂Tukwambie ukweli au tukuache 🤣🤣
Kwasababu upo kwa mama ako hapo unakula kulala kunya bure!!!Mie ni muhitimu wa degree ya kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!
Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.
Hope zinapatikana bila shaka.
Achana nae huyu anachangamsha genge[emoji1787][emoji23][emoji23]Tukwambie ukweli au tukuache [emoji1787][emoji1787]
Na hiyo laki 8 ashukuru MuumbaHajui ugumu wa mtaani huyu, wahitimu wengi hua na matumaini makubwa sana kuliko uhalisia na ndio maana wanapata msongo wa mawazo,
Kipindi hicho namaliza chuo rafiki yangu mmoja alisema bila 2m take home hafanyi kazi, ajabu zaidi alianza na laki 8 kwa mchina.
Huhitaji kutangazia umma.waandikie uliowatumia barua za maombi ya ajira uwaeleze msimamo wako !!!Mie ni muhitimu wa degree ya kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!
Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.
Hope zinapatikana bila shaka.
Hujawahi kukutana na nja hua unaisikia tu kwa watu ikikupata utafanya ata kwa buku tano per dayMie ni muhitimu wa degree ya kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!
Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.
Hope zinapatikana bila shaka.
We jamaa huwa una nyodo sana, kumbe ni mlinzi?[emoji848][emoji848][emoji849][emoji849][emoji849][emoji134]Kulingana na kazi yangu kama mlinzi wa taasisi moja ya serikali sometimes nakuwa dereva, sometimes nakuwa receptionist and so.
Wahitimu wa shahada ya kwanza wanaokuja kuomba kazi ya usafi kazini ni wengi sana. Sasa sijui ni ugumu wa maisha au wanatafuta connection tu!
Sipingani na mawazo yako ila ngoja nikuambie kitu.
Mimi niliwahi kukataa kazi ya police, jeshi na nilikataa kusomea ualimu.
Maisha yalinitandika mpaka nikanyoosha mikono.
Imagine sasa Mimi ni mlinzi , ningekuwa mjeshi sasa tayari ningekuwa na nyota 3.
Huku niliko nalipwa vizuri tu. Nimejenga, nina gari ya kutembelea lakini naichukia title hii ya "Mlinzi". Hata ujasiri wa kutaja kazi yangu mbele za umma sina
Usalama huyoWe jamaa huwa una nyodo sana, kumbe ni mlinzi?[emoji848][emoji848][emoji849][emoji849][emoji849][emoji134]
Kifuatacho ni kupigwa oombo na kutupwa kuleBaada ya kugundua kwamba we ni mwanamke ndo nikaelewa
Inabidi uitengeneze hio ajira ili uweze kujilipa unavyotaka, ila biashara haingalii elimu, sura, wala kujuana ni number tu.Mie ni muhitimu wa degree ya kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!
Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.
Hope zinapatikana bila shaka.