Sipo tayari kufanya ajira take home chini ya milioni moja

Get off your high horse of GPA ma'aam. Your employee gets nothing off your GPA. The value you add to the business is what matters.

Unaweza kulipwa hata mil 20 kama unastahili.
Anyway nitapenda kusikia maoni yako 2030. Hope utakuwa sober by then!
 
36 months?

Kweli watu Wanakaza[emoji848]
 
Hahaha kwani kuna aliyekulazimisha uchukue pesa yoyote?!

Subiria ukue utoke kwa baba na mama utachukua hata mia mbili.

Haya maisha na degree hata hawana uhusiano wowote.

Bank zenyewe zinafungwa, technologia inashika kasi wewe unaongelea GPA zetu hizi?!
 
Mkuu jiite tu "Security Officer"
 
Muda utafika na utaitamani ya laki 3, so karibu duniani ambako kuna degree za kutosha tena zenye uzoefu na kazi hazina.
But unahitaji kupitia Mateso kwa miaka isiyopungua 3 tu! Baada ya hapo utaitamani ajira ya hiyo laki 3.
 
Kuna mtu alikuitia ajira huku?

We subiri baada ya miezi sita utakua ufuta huu Uzi hapa na kuomba hata kazi ya kufagia kwa mama lishe.
[emoji3][emoji3]
 
Nafikiri tumuacheni kwanza. Kuna muda haya mambo ni kama hayana formula.
 
Tukwambie ukweli au tukuache [emoji1787][emoji1787]
Ngoja tumuache tu [emoji16][emoji16][emoji16] kuna mwenzie juzi kaenda kilingeni kwa Mshana Jr kuroga analalamika kwamba ana mwaka wa 4 tangu amalize chuo hajapata Ajira
 
Attitude is like a price tag. It shows how valuable you are (Anonymous).
**Kwa attitude hii, hutoboi. Endelea kuangalia tamthilia Hapo kwa shemeji.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Over my Dead body Kama huyo wa kwenye Avatar ndio wewe walah hicho kiuno na kalio utapata hata 2M take home, we tembea tembea tu utapata!!!
Daahh ile avatar simchezo [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]

Out of topic kuna bimkubwa katokq kunionyesha picha ya binti yake masaa 2 yaliyopita aisee nusura mate yanitoke mbele yake ... aisee duniani kuna warembo nyie acheni tu
 
Hongera sie wenzio tunaliowa TZS 600,000/= na maisha yanakwenda sasa ww subiri mshahara wa 2mill

Sent from my SM-G5510 using JamiiForums mobile app
 
36 months?

Kweli watu Wanakaza[emoji848]
Ndio mkuu crdb miaka 3 ..tena haya mabank yana graduates wakutosha mpaka basi wanakuja na gia ya training programme malipo ni posho na ahadi ya ajira ukifaulu vizuri

Ukisikia wametangaza ajira, ukisoma tangazo unakuta wanataka relationship manager [emoji23][emoji23] experience miaka 10 ndio atajua hajui

Tena crdb wamekuja na program ya kuwafungulia acc wafanya biashara wadogo mama ntilie, machinga, bodaboda unakuta hao graduates ndio wanazunguka mtaa kwa mtaa wanafanya hizo kazi.

Halafu dada yetu hapo hana hata experience, cpa, hatambuliki na bodi ya wahasibu analete maringo
 
Ndugu, Bora ningepata hio laki nane, fursa nyingi napata microfinance, na wanataka niwe tayari kuanza na shilingi laki tatu na nusu. Sasa nawaza, maisha ndio yatakuaje? Hio Nile, nipange, niende saloon, nitoe sadaka kha
Nyinyi watoto wa shule
Kitu hamjui kampuni nyingi hazitaki kuajiri mtu ambae hajui kazi. Hivyo vi GPA vyako hawaviangalii. Uzoefu kazini.

Nausitegemee kuwa utapata nafasi yajuubila experience
 
Duh !GPA ya ngapi ? Na je? Unadhani waajiri wanaagalia sana GPA kuliko ujuzi wako? n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…