Siri hadharani: Siyo Vyama vya Upinzani ni Vyama Vya Watoa Taarifa

Siri hadharani: Siyo Vyama vya Upinzani ni Vyama Vya Watoa Taarifa

Labda mtoa hoja ame m quote vibaya Mr.Makonda au Mr.Makonda ameanza kwa kuteleza, serikali hii imeundwa na ccm means serikali LAZIMA isikilize ccm not the other way

Serikali ni independent body, serikali inawajibika kwa wananchi si kwa chama.
 
Zitto alikuwa anasomeshwa na Mzee Sitta

Makonda ana hoja!
Kwanza Tanzania in the eyes of the law ni Kingdom country [emoji146],yaani Nyerere alichofanya baada ya Uhuru ni Kuondoa title ya 'Queen' na kuweka 'President' na mifumo mingine akaiacha kama ilivyo hiyo ilikuwa ni kuweka Mazingira ya Chama kushika utamu,na ndiyo maana CCM wanaulinda utamu kwa nguvu zote!
Nchi za Kidemokrasia East Africa ni Kenya tu na penyewe baada ya kina Odinga kukaza kamba lakini Uganda,Tanzania,Burundi,Rwanda nk,hizo ni nchi za Kifalme!
Na ndiyo maana unamuona Mbowe hataki kusikia mtu yoyote anampinga Mama Abdul; kwasababu anaogopa Malkia wa Tanzania Samia atawanyima Majimbo kama alivyofanya jiwe.
Kwanza,kipindi kile Mbowe katoka jela ya mchongo mnajua waliongea nini na Malkia

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Mwenye asili yake haachi.

Sasa safari hii hana mbabe wa kumkingia kifua. Akijifanya kudhalilisha watu wataishia kumchezea ulo msondo wake uliojaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mawaziri wote atawakerembesha isipokuwa

1. Mohamed mchengerwa
2. Januari yusufu makamba
3. Mwigulu nchema na
4. Ridhiwani jakaya

Tena mchengerwa anamuogopa balaaaaaaa.
Na Ridhi1 pia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kaanza kunya mapema hivi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Yaan huyu baba Keegan haachagi tabia yake ya ujivuni na ubabee, khaaah

Mbna mabwakuuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hajahifadhiwa kivipi
Sasa kwa lile furushi la kimba nyuma yake unatarajia nini zaidi ya kuhifadhiwa.

Kuna watu wanagharamika awe kama alivyo hivyo kusema anahifadhiwa ni sahihi.
 
Sasa nsona ana anza kufanya kazi za Katibu mkuu wa chama.. Hizi teuzi nyingine za kubebwa hazina job description. Ni kuropoka tuu.
Huyu ni kirusi. Ataenda kuvuruga kila kitu humo chamani.

Tatizo lake ni kujiona mkubwa kuliko yeyote yule.
 
Ni ajabu sana kuwa na wana propaganda wanaotapika mambo yasiyo na uhalisia- iwe ni kutoa taarifa au upinzania, propaganda ni shida kwa kweli...
 
Serikali ni independent body, serikali inawajibika kwa wananchi si kwa chama.
Hili nalifahamu na unaposema ni independent body huu ni uongo, cc ya ccm hukutania state house na sio Lumumba!!,after all uzuzu, ujinga, uoga na upumbavu ndio mtaji wa ccm
 
Makonda yuko sahihi hakuna vyama vya upinzani.

Ni watoa taarifa na ndiyo vyama vinavyotoa taarifa sahihi kuhusu hali za wananchi.

CCM haijawahi kutoa taarifa sahihi taarifa zao ziwe za kiuchumi, kisiasa, jamii nk taarifa sahihi utazipata upinzani.

Penye chama tawala lazima pana vyama vya upinzani. Kauli zake zinagongana.
 
Hili nalifahamu na unaposema ni independent body huu ni uongo, cc ya ccm hukutania state house na sio Lumumba!!,after all uzuzu, ujinga, uoga na upumbavu ndio mtaji wa ccm

Ofcourse umekuwa ni mtaji wao since uhuru, the worst thing is watanzania hawataki kuamka kutoka kwenye ujinga,upumbav na umaskini
 
Kufikirika wapi vyama vya upinzani Tanzania ni geresha tu.Kama ingekuwa kweli Tanzania ni nchi ya Kidemokrasia basi CCM ingekuwa makumbusho ya taifa ila hao Wanyeviti wenu mnao waamini ndiyo watu wa CCM kindakindaki.
Najua huwezi kuelewa ila watafute Wazee wanaijua siasa ya nchi hii watakwambia ukweli ulivyo na wengi wa Wenyeviti wa huo upinzani uchwara ni watu wa TISS.Mwalimu Nyerere kwa kujua mfumo aliouunda ndiyo maana alisema "upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM",tafakari hiyo statement!
Kazi kuwashangilia wakina Mbowe wakati wenzenu wanakula mema ya nchi taratibu!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Hakuna mtu mwenye wajibu wa pekee kuwa mpinzani au kiongozi wa upinzani Tanzania. Ni juu ya watanzania wote kuamua kama wanataka upinzani au wameridhika na utawala wa CCM pekee.

Kama watanzania wameridhika na utawala wa CCM, so be it! Basi wapuuze upinzani tu. Kama wanahitaji upinzani basi wachukue hatua kuunda na kuendesha upinzani makini. Ni jukumu la kila Mtanzania. Ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu kuwalalamikia watu binafsi ambao hamjawachagua wala sheria za nchi hazijaufunga uwanja wa siasa za upinzani kwa watu fulani tu. Kelele dhidi ya Mbowe, Lissu, Zitto, n.k. kwamba hawatoi upinzani imara ni kielelezo cha ujinga kuhusu demokrasia na siasa za upinzani.

Uwanja uko wazi kwa kila mtu kushiriki siasa, kuchagua viongozi na kuwawajibisha kidemokrasia. Badala ya kuchukua hatua watu kila siku wanalialia mitandaoni eti hakuna upinzani wa kweli! Nani autengeneze? Mbowe & co. waendelee kupigania wajinga?To what end? Who is Mbowe, Lissu, Zitto by the way?
 
Back
Top Bottom