Siri hadharani: Siyo Vyama vya Upinzani ni Vyama Vya Watoa Taarifa

Siri hadharani: Siyo Vyama vya Upinzani ni Vyama Vya Watoa Taarifa

Bahati nzuri tunafahamiana, sitakuwa tayari kuwa Msemaji wa chama ambacho kimepewa dhamana na Wananchi na wanaomsaidia Mwenyikiti, nisimame hadharani kusema uongo, hapana!."
Naombeni namba za simu za wafuatao, Sexless, Lucas Mwashambwa, Choicevariable na genge lote lile linalojifanya ni wana CCM kindakindaki

Au, muwafikishienii ujumbe huu....

'Mme msikiliza Makonda Lakini?'
 
Back
Top Bottom