Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

Unajua maana ya injili wewe?? (injili ni Agano jipya) Hapo ulipo hata Quran hjikubali eti inamakosa....!! wewe tazama maisha yako tuu binafsi hujayaweza wala hujui kesho yake then unahoji ya Mungu eti yanamakosa???

Huu ujuaji mwingi ndio ulioleta maafa na dhambi hapa duniani maana shetani aliwaambia Adam na Hawa wakila tunda watakua sawa na Mungu..... So kua makini na ujuaji wako mwingi yawezekana unatumika na shetani bila kujijua
injili maana yake ni habari njema kwa waislam tunaami ni kitabu alichokuja nacho naabi issa bin mariam bin imran kwa wana wa islael na kitabu hicho hakipo kwa sasa kimepotea.
 
Biblia inajitafsiri yenyewe
Biblia ni ufunuo wa simulizi ya ukombozi upatikanao kwa imani katika Kristo (tazama Luka 24:27, 44-47;
Yoh 5:39). Ingawaje, ufunuo wa Mungu ni jambo la kuendelea—i.e., unajifunua katika Biblia nzima. Kanuni kadhaa hutokana na kweli hii.
1. Maandiko kamwe hayawezi kujipinga.
a. Biblia nzima inakubaliana katika ujumla wake. Kwa hiyo sehemu mbili za maandiko zinazoonekana kupingana zinapochambuliwa vema hugundilika kwamba hazipingani. Sehemu moja ya maandiko inaweza kuboresha nyingine, au kuipa usahihi zaidi lakini haitaipinga.
b. Wakati mwingine kweli mbili au zaidi hufundishwa kwa uwazi katika Biblia, lakini hutokea kukinzana. Kwa mfano Ukuu wa Mungu na wajibu wa mwanadamu ni vigumu kupatana ingawa bado Biblia inafafanua hayo mawili. Katika hali kama hizo kumbuka kwamba Biblia ni mkusanyiko ya kweli za kiungu kwa akili za mwanadamu zenye mipaka. “Wakati kweli mbili au zaidi zinafunazofundishwa kwa uwazi katika Biblia zinakinzana kumbuka kwamba unao ufahamu wenye mipaka. Usiyachukue mafundisho katika hali ya kuzidi kile ambacho Mungu hakusema ile kubaki kuwa sahihi katika ufahamu wako. Mwache Mungu asema alichosema bila kujaribu kumsahihisha au kumfafanua Mungu. Kumbuka yeye ni Mungu na wewe ni mtu. Nyenyekeza moyo wako kirahisi kwa imani na amini alichosema hata kama huwezi kuelewa au hakiendani na ufahamu wako vizuri”.
2. Hatua ya ukombozi kwa pamoja na “shauri zima la Mungu” (Matendo 20:27) ni lazima izingatiwe kwa utaratibu maalumu ili kuelewa kwa usahihi kifungu maalumu cha maneno. Biblia ni kitabu kinachoeleza simulizi moja inayoelezea habari inayokubaliana. Ingawa ukweli wote wa Biblia haujafunuliwa kwa wakati mmoja, lakini ulifunuliwa kwa mwendelezo kwa muda mrefu. AK ni maandalizi ya Injili; Injili zote katika Agano jipya ni udhihirisho wa Injili; Matendo ya Mitume ni upanuzi wa Injili; Nyaraka ni ufafanuzi ya Injili; na Ufunuo ni matumizi ya Injili. Maana kamili ya kifungu chochote cha maneno haiwezi kueleweka vema kama haijazingatia Biblia nzima na hatua ya historia ya ukombozi. “Kusoma Biblia kwa kuzingatia mazingira halisi ya ujumbe kama Neno la Mungu ni lazima kuhusisha maandiko yote yaliyokubaliwa kama mazingira hitimisho ya kifungu husika cha maneno”
Aisee umeandika sana ndugu lakini hujajibu hoja ya huyu jamaa hata kidogo. Jaribu kufikirisha akili kujibu hicho anachouliza huyu jamaa. Kama hujawahi kukisikia tafuta usahihi wake. Swali kubwa na la msingi kwanini baadhi ya vitabu vilitolewa kwenye biblia kwa kigezo cha kukinzana wakati vipo vitabu vinakinzana na havijatolewa?
 
Mkuu nisaidie kupata hizo hizo old version na hivyo vya akina Yuda, Enoch nawengine walau nikipata hats copy tatu tu zinatosha mkuu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Aiseeeeeeee
we acha tu Mkuu .. wanasema muhhamad ilikuwa haiwezekani kumpiga picture ukimpiga picture inaungua " wanaosema hivi hata hawajui tech ya camera imegunduliwa mwaka gani "... Imani mbaya sana hizi
 
Well and good basi tukiamini biblia ni kwa ajili ya waumini na sio akina sisi "makafiri" je Roho mtakatifu aliwaongoza hao watafsiri/waandishi wa biblia kwanini zikinzane??

Mfano niliuliza Yakobo alizikwa wapi?? Stephano na Musa wanaeleza tofauti kabisa

Mwanzo 50
13 kwa kuwa wanawe wakamchukuwa mpaka nchi ya Kanaani, nao wakamzika katika pango ya shamba la Makpela, iliyo mbele ya Mamre, aliyoinunua Ibrahimu pamoja na shamba kwa Efroni Mhiti, pawe milki yake pa kuzikia

Matendo 7
15 Basi Yakobo akashuka mpaka Misri; akafa yeye na baba zetu;
16 wakachukuliwa mpaka Shekemu wakazikwa katika kaburi lile, ambalo Ibrahimu alilinunua kwa kima cha fedha kwa wana wa Hamori, huko Shekemu.

Je ikiwa ni Roho mtakatifu kweli aliwaongoza kwanini wakinzane alipozikwa yakobo??

2. Niliuliza tena na bado sijapata jibu mpaka sasa.... Ni biblia gani halali kutumika kwa nyie wafuasi...je ni NIV au KJV yaani KJV imekuwepo kwa miaka kama 400 sasa ila mwaka 1970 NIV ikasema KJV ilichakachuliwa hivyo wakaja na biblia mpya ambayo imefuta maneno 64,000 kutoka KJV pia imefuta mistari mingi zaidi ya 30 na sura kibao zimepunguzwa je ipi ndio biblia sahihi ?? Na kama ni NIV ndio sahihi ina maana kwa miaka 400 tulikuwa tunafundishwa kwa biblia feki?? Na kama KJV ndio sahihi kwanini mmeruhusu NIV kuchapishwa

View attachment 855373

Ntashukuru ukinisaidia hapa
MKUU NIPO KUSAIDIA,UNAWEZA KUNIAMBIA TOFAUTI KATI YA AYA HIZO MBILI(MWANZO 50 NA MATENDO 7)WEWE UNAONA NI NINI?.
 
Ushahidi mkuu unaongea bila ushahidi
Habari za jioni wana JF mada ya leo pia ni sensitive kidogo maana inagusa imani za watu ila kutokana na kuwepo hitaji la kuweka rekodi sawa nimeona nilete uzi huu ili tujifunze zaidi. Na sababu kubwa ya kuleta uzi huu ni kutokana na mada nazoleta humu nyingi zinatumia pia vitabu nje ya biblia kama source ya taarifa na kumekuwa na wengi wanaokuja na hoja kwamba chochote kilicho nje ya biblia sio kweli yaani quran,midrash,tanakh/torah,zohar,apocrypha,Pseudipigrapha zote ni batili sasa ni kutokana na hoja hiyo imenipelekea kuandaa uzi huu hivyo tuusome kwa makini na tuujadili kwa ustaarabu tu yote kwa yote kujifunza. Nitaugawa uzi huu kwa sehemu mbili ili iwe rahisi kuusoma na ningependa kabla ya kuchangia uusome wote na kuuelewa. Karibuni
View attachment 830330

UTANGULIZI
1. Biblia ni mjumuiko wa vitabu vya manabii walivyoandika kuhifadhi matukio katika historia ya imani yao kwa Mungu na ilikusanywa katika karne ya 3 baada ya Yesu baada ya kuonekana vitabu vya kiimani viko vingi vinakinzana hivyo wakaamua wawe na kitabu kimoja cha kutumika na wote na ilikuwa katika kigiriki na kiebrania. Baada ya karne zaidi ya 10 kupita biblia ya mapema kabisa kutafsiriwa kuingia kwenye kilatin iliyokuwa lugha ya Roma, ilikuwa ''vulgate'' iliyotoholewa kutoka kiebrania na kigiriki kwenda kilatin na padre Jerome karne ya 14 ila tafsiri ya kiingereza ilikuwa king james version karne ya 15 ambayo hata biblia za kiswahili na lugha zingine maelfu zimetoholewa hapo na ambacho wengi hatujui ni kwamba vitabu ambavyo leo tunaviita apocrypha vilikuwepo kwenye KJV ya kwanza ila mataifa mengi yalipotafsiri hayakuvijumuisha hivyo vitabu 14!!! Na leo hii ukivitumia humu JF kujenga hoja utaambiwa ni vya kishetani wakati biblia ya kwanza ya english iliviweka??

Miaka mingi ikapita ndipo yakaja matoleo mengine tofauti ila kwa karne hii biblia inayotambulika kutumika dunia nzima ni NIV yaani New International Version ya 1973, ambayo ilikuja kufanya utafiti na kutumia vyanzo mbalimbali vya nyuma zaidi na kutengeneza tafsiri yake na muhimu hapa tufahamu NIV iligundua makosa kwenye KJV na ikafuta mistari hiyo kwa kigezo kwamba mistari hiyo haikuwepo kwenye vyanzo vya mwanzo ikimaanisha viliongezwa baadae sana. Baadhi ya mistari ilioongezwa na ambayo NIV imeifuta ama kutoitambua Ni Marko 11:26, 15:28,9:44,9:46 Mathayo 23:14,18:11,17:21, Luka 17:36 Yohana 5:3-4, Matendo 8:37 n.k kwa uchache wake ila mingi zaidi iligundulika haikuepo kwenye vyanzo vya mwanzoni kabisa na kwamba vimeongezwa kinyemela.

Simply ikimaanisha biblia ya kiswahili tunayotumia hii ya chama cha biblia iliyotokana na KJV tumepotoshwa?? Je wakristo tumeambiwa haya kanisani?

Je nani mkweli kati ya KJV na NIV??
View attachment 830331
VITABU VILIVYOPUNGUZWA
Baada ya biblia ya nwanzoni kabisa ya kilatin kuwa na vitabu zaidi ya 76 na version zingine hadi 84 kuna vitabu vilitolewa na kina Jerome kwa sababu mbalimbali ikiwemo kughushiwa majina, kutovuviwa na Roho mtakatifu, kukinzana na vitabu vingine vya Biblia,kuandikwa na manabii wa uongo,utata wa maandiko n.k na vitabu hivyo ni kama 4 Maccabees, Assumption of Moses, Ethiopic Book of Enoch (1 Enoch), Slavonic Second Book of Enoch,Book of Jubilees,3 Baruch, Letter of Aristeas,Life of Adam and Eve, Ascension of Isaiah, Psalms of Solomon, Sibylline Oracles, 2 Baruch,Testaments of the Twelve Patriarchs na vinginevyo na hii ndio kitovu cha uzi huu embu basi tuchambue kwa pamoja.
View attachment 830333

TATIZO LA UANDISHI
Kuna hoja zilitolewa kwamba hivi vitabu vilivyoachwa kwenye biblia yaani Pseudipigrapha na Apocrypha mfano book of enoch, Book of Adam & Eve n.k kwamba vilitolewa kwenye biblia sababu kuna utata juu ya waandishi na kwamba kurasa zingine ziliongezwa baadae.... Ila leo hii wanatheolojia wote duniani wanakubali kuwa biblia bado ina pseudipigraphi nyingi mfano Isaya iliandikwa karne 8 kabla ya kristo yaani sura 1-39, ila kipande kuanzia sura 40-55 iliandikwa na mtu ambaye hajatambuliwa mpaka leo huko babeli na sura 56 mpaka 66 imegundulika na wanatheolojia dunia nzima kuwa ziliongezwa baadae yaani miaka mia kadhaa tokea isaya akiandike!!!

Hata jeremia kuanzia sura ya 26 iliongezwa miaka mamia baadae!! Hivyo swali la kujiuliza kwanini basi vitabu vingine vilitolewa kwa hoja hii ilihali biblia bado ina vitabu vyenye kasoro zilezile?? Mfano mingine ni waebrania, Wimbo ulio bora vyote vina utata wa uandishi na mikono zaidi ya miwili imehusika kwa gap la miaka zaidi ya 100!! Je sababu ya kupunguza vitabu vingine kwa kisingizio hiki ni halali au kuna mengine tunafichwa???
 
Habari za jioni wana JF mada ya leo pia ni sensitive kidogo maana inagusa imani za watu ila kutokana na kuwepo hitaji la kuweka rekodi sawa nimeona nilete uzi huu ili tujifunze zaidi. Na sababu kubwa ya kuleta uzi huu ni kutokana na mada nazoleta humu nyingi zinatumia pia vitabu nje ya biblia kama source ya taarifa na kumekuwa na wengi wanaokuja na hoja kwamba chochote kilicho nje ya biblia sio kweli yaani quran,midrash,tanakh/torah,zohar,apocrypha,Pseudipigrapha zote ni batili sasa ni kutokana na hoja hiyo imenipelekea kuandaa uzi huu hivyo tuusome kwa makini na tuujadili kwa ustaarabu tu yote kwa yote kujifunza. Nitaugawa uzi huu kwa sehemu mbili ili iwe rahisi kuusoma na ningependa kabla ya kuchangia uusome wote na kuuelewa. Karibuni
View attachment 830330

UTANGULIZI
1. Biblia ni mjumuiko wa vitabu vya manabii walivyoandika kuhifadhi matukio katika historia ya imani yao kwa Mungu na ilikusanywa katika karne ya 3 baada ya Yesu baada ya kuonekana vitabu vya kiimani viko vingi vinakinzana hivyo wakaamua wawe na kitabu kimoja cha kutumika na wote na ilikuwa katika kigiriki na kiebrania. Baada ya karne zaidi ya 10 kupita biblia ya mapema kabisa kutafsiriwa kuingia kwenye kilatin iliyokuwa lugha ya Roma, ilikuwa ''vulgate'' iliyotoholewa kutoka kiebrania na kigiriki kwenda kilatin na padre Jerome karne ya 14 ila tafsiri ya kiingereza ilikuwa king james version karne ya 15 ambayo hata biblia za kiswahili na lugha zingine maelfu zimetoholewa hapo na ambacho wengi hatujui ni kwamba vitabu ambavyo leo tunaviita apocrypha vilikuwepo kwenye KJV ya kwanza ila mataifa mengi yalipotafsiri hayakuvijumuisha hivyo vitabu 14!!! Na leo hii ukivitumia humu JF kujenga hoja utaambiwa ni vya kishetani wakati biblia ya kwanza ya english iliviweka??

Miaka mingi ikapita ndipo yakaja matoleo mengine tofauti ila kwa karne hii biblia inayotambulika kutumika dunia nzima ni NIV yaani New International Version ya 1973, ambayo ilikuja kufanya utafiti na kutumia vyanzo mbalimbali vya nyuma zaidi na kutengeneza tafsiri yake na muhimu hapa tufahamu NIV iligundua makosa kwenye KJV na ikafuta mistari hiyo kwa kigezo kwamba mistari hiyo haikuwepo kwenye vyanzo vya mwanzo ikimaanisha viliongezwa baadae sana. Baadhi ya mistari ilioongezwa na ambayo NIV imeifuta ama kutoitambua Ni Marko 11:26, 15:28,9:44,9:46 Mathayo 23:14,18:11,17:21, Luka 17:36 Yohana 5:3-4, Matendo 8:37 n.k kwa uchache wake ila mingi zaidi iligundulika haikuepo kwenye vyanzo vya mwanzoni kabisa na kwamba vimeongezwa kinyemela.

Simply ikimaanisha biblia ya kiswahili tunayotumia hii ya chama cha biblia iliyotokana na KJV tumepotoshwa?? Je wakristo tumeambiwa haya kanisani?

Je nani mkweli kati ya KJV na NIV??
View attachment 830331
VITABU VILIVYOPUNGUZWA
Baada ya biblia ya nwanzoni kabisa ya kilatin kuwa na vitabu zaidi ya 76 na version zingine hadi 84 kuna vitabu vilitolewa na kina Jerome kwa sababu mbalimbali ikiwemo kughushiwa majina, kutovuviwa na Roho mtakatifu, kukinzana na vitabu vingine vya Biblia,kuandikwa na manabii wa uongo,utata wa maandiko n.k na vitabu hivyo ni kama 4 Maccabees, Assumption of Moses, Ethiopic Book of Enoch (1 Enoch), Slavonic Second Book of Enoch,Book of Jubilees,3 Baruch, Letter of Aristeas,Life of Adam and Eve, Ascension of Isaiah, Psalms of Solomon, Sibylline Oracles, 2 Baruch,Testaments of the Twelve Patriarchs na vinginevyo na hii ndio kitovu cha uzi huu embu basi tuchambue kwa pamoja.
View attachment 830333

TATIZO LA UANDISHI
Kuna hoja zilitolewa kwamba hivi vitabu vilivyoachwa kwenye biblia yaani Pseudipigrapha na Apocrypha mfano book of enoch, Book of Adam & Eve n.k kwamba vilitolewa kwenye biblia sababu kuna utata juu ya waandishi na kwamba kurasa zingine ziliongezwa baadae.... Ila leo hii wanatheolojia wote duniani wanakubali kuwa biblia bado ina pseudipigraphi nyingi mfano Isaya iliandikwa karne 8 kabla ya kristo yaani sura 1-39, ila kipande kuanzia sura 40-55 iliandikwa na mtu ambaye hajatambuliwa mpaka leo huko babeli na sura 56 mpaka 66 imegundulika na wanatheolojia dunia nzima kuwa ziliongezwa baadae yaani miaka mia kadhaa tokea isaya akiandike!!!

Hata jeremia kuanzia sura ya 26 iliongezwa miaka mamia baadae!! Hivyo swali la kujiuliza kwanini basi vitabu vingine vilitolewa kwa hoja hii ilihali biblia bado ina vitabu vyenye kasoro zilezile?? Mfano mingine ni waebrania, Wimbo ulio bora vyote vina utata wa uandishi na mikono zaidi ya miwili imehusika kwa gap la miaka zaidi ya 100!! Je sababu ya kupunguza vitabu vingine kwa kisingizio hiki ni halali au kuna mengine tunafichwa???
Ni nini kinachokuonesha kwamba mistari mingine ilifutwa na mingine kuongezwa mkuu
 
MKUU NIPO KUSAIDIA,UNAWEZA KUNIAMBIA TOFAUTI KATI YA AYA HIZO MBILI(MWANZO 50 NA MATENDO 7)WEWE UNAONA NI NINI?.
Tofauti ni kwamba mwanzo 50 na matendo saba zinakinzana wapi Yakobo alizikwa maana shechem na macpelah ni kama Kibaha na Geita alafu kabila liliowauzia hayo makaburi yanakinzana mmoja anasema ni kabila la Wahiti mwingine kabila la Hamron ambao yote ni makabila tofauti kabisa kama wasukuma na wachagga ndio maana nikasema kama walikinzana Je kivp wawe wameongozwa na roho takatifu alafu wakinzane ndio hoja yangu imejikita hapo.....
 
Ni nini kinachokuonesha kwamba mistari mingine ilifutwa na mingine kuongezwa mkuu
Si nimeweka mistari ambayo ilikuwepo Kwenye KJV ila imefutwa na NIV?? Au ulitaka ushahidi gani zaidi
images (44).jpg
images (45).jpg
 
Ushahidi mkuu unaongea bila ushahidi
Ushahidi gani unataka?? Si ufungue Biblia ya King james alafu linganisha na NIV alafu uone kama hii mistari niliyoweka humu haijafutwa!! Kwani kipi kigumu
 
Nachohisi ni kwamba kuna baadhi ya mambo tunafichwa na kikundi cha watu wachache maana kuna vitabu vilitolewa kwa sababu A na vingine vyenye kasoro hiyo hiyo viliachwa. Nahisi ni cover up, uzi ujao ntaongelea Injili ya Yuda Iskariot na Barua ya paulo kwa laodecia nafikiri utapata picha nachodai tunafichwa ni kipi.
Mkuu huu uzi tayari umeuandika au tuendelee kusubiri?
 
Tofauti ni kwamba mwanzo 50 na matendo saba zinakinzana wapi Yakobo alizikwa maana shechem na macpelah ni kama Kibaha na Geita alafu kabila liliowauzia hayo makaburi yanakinzana mmoja anasema ni kabila la Wahiti mwingine kabila la Hamron ambao yote ni makabila tofauti kabisa kama wasukuma na wachagga ndio maana nikasema kama walikinzana Je kivp wawe wameongozwa na roho takatifu alafu wakinzane ndio hoja yangu imejikita hapo.....
Sawa Mkuu nimeelewa hoja zako!!.

MAJIBU YA MASWALI YAKO NI KAMA IFUATAVYO:

WAANDISHI WOTE WAWILI WAKO SAHIHI KWA ASILIMIA MIA KABISA,UNACHOPASWA KUFAHAMU NI KUWA MWANDISHI WA MATENDO AMEONGEZA HABARI NYINGINE/MPYA.

"HAELEZI HABARI YA KIFO CHA YAKOBO NA MAHALI PA MAZIKO YAKE PEKEE,BALI ANAELEZA PIA KUHUSU VIFO VYA PATRIARCHS(WAZEE) NA MAHALI WALIPOZIKWA"

1:UTOFAUTI WA MAENEO.(MAKPELA NA SHEKEM)

Katika kitabu cha Mwanzo 50: 13 Biblia inaeleza,

"Kwa kuwa wanawe wakamchukua mpaka NCHI YA KANAANI,nao WAKAMZIKA katika PANGO ya shamba la MAKPELA,iliyo mbele ya Mamre,aliyoinunua Ibrahim pamoja na shamba kwa Efron MHITI,pawe milki ya kuzikia"

FAFANUZI: Katika aya hiyo hapo juu sehemu/eneo ambalo Nabii Musa analotaja kuwa mahali alipozikwa YAKOBO ni NCHI YA KANAANI,anaongezea habari kuwa alizikwa katika PANGO la shamba ya MAKPELA

FAHAMU : MAKPELA(Kiebrania: Me'arat ha - makhpela - The cave of double)
Sio jina la mji/kijiji au jiji kama BETHEL,YAFA,KAPERNAUM,GAZA ni jina la PANGO - Lilikokuwa katika shamba ambalo Ibrahim alilinunua pamoja na shamba ili afanye kuwa mahali pa kuzikia Watu wake - JINA LA MAHALI HAPO NI KIRIATH - ARBA/HEBRON.
Rejea,Mwanzo 23: 1 - 9
....."9" ili kwamba anipe PANGO YA MAKPELA iliyo katikati ya shamba lake ...."

-Kisha anamalizia kutaja jina la MTU aliyemuuzia Ibrahim SHAMBA pamoja na PANGO lililo ndani yake kuwa ni Efroni,kutoka Katika kabila yake ni MHITI.

TUKIREJEA:Katika kitabu cha MATENDO : 7:15 - 16,Biblia inaeleza,

"Basi YAKOBO akashuka mpaka Misri;AKAFA YEYE (NA) BABA ZETU;wakachukuliwa mpaka SHEKEM,wakazikwa katika kaburi lile,ambalo Ibrahim alilinunua kwa kima cha fedha kwa wana wa hamori huko SHEKEM"

FAFANUZI:Mkuu Mwandishi wa MATENDO anaelezea habari mbili kwa wakati mmoja( TWO NEWS IN ONE/A SINGLE CONTENT),habari hizo ni;

"Basi YAKOBO akashuka mpaka Misri;AKAFA YEYE........"

1 :KIFO CHA YAKOBO NA MAHALI ALIPOZIKWA - KIRIATH - ARBA/HEBRON/MAKPELA(.Mwandishi anasema;"Katika kaburi lile,ambalo Ibrahim....")

"......NA BABA ZETU..."

2:KIFO CHA BABA ZAKE NA MAHALI WALIPOZIKWA - SHEKEMU
(HAPA SHEKEMU WAMEZIKWA NABII YUSUPH NA WANAWE,NA BAADHI YA WANA WA NABII YAKOBO.HADI LEO PANAITWA;

*QEVER YOSEF(Hebrew)/QABL YUSUF(Arabic). - "Kaburi la Yusuph"

HIVI LEO NI SEHEMU ILIYO KATIKATI YA MLIMA GEZARIMU NA EBEL,UMBALI WA MITA 300 KASKAZINI MWA SHEKEMU/SYKAR.

NOTE/KUMBUKA: KIRIATH - ARBA/ILIPO MAKPELA NA SHEKEMU ZIKO KATIKA WILAYA MOJA - INAYOITWA SAMARIA.

PILI: UMBALI KUTOKA MIJI HII MIWILI SIO KAMA ULIYOELEZA KUWA NI SAWA NA KUTOKA *KIBAHA - GEITA* AMBAPO NI KILOMETRES 850.

BALI NI MILE 50/KM 75 SAWA NA KUTOKA BUNDA - MUSOMA/AU DAR - BAGAMOYO/MVOMERO
((AMBAO NI UMBALI WA KAWAIDA KABISA,IKIWA MIJI IMO NDANI YA WILAYA TU)

MWISHO:Mwandishi wa MATENDO HATAJI KABILA anaposema HAMORI bali anataja JINA LA UBINI/SONS OF HAMORI.

..."16" Ambalo Ibrahim alilinunua kwa kima cha fedha kwa WANA WA HAMORI...."


MLINGANISHO.

-Waandishi wote wanataja YAKOBO alikufa.
-Wote wanakubaliana kuwa alifia MISRI
-Wote wanakubaliana kuwa alizikwa katika kaburi la Ibrahim katika PANGO/MAKPELA
-Mmoja anataja kabila la waliomuuzia Ibrahim shamba kuwa ni MHITI,mwingine anataja jina la ubini(sons of).
-Wote wanakubaliana kuwa watu wa ukoo wa Ibrahim walizikwa mahali/eneo/wilaya/mkoa mmoja kama Ibrahim aliyotaka.
- Mmoja analezea habari za baba zake wengine WALIOZIKWA SHEKEMU(Sio YAKOBO),mwingine hawaelezei.

REJEA;MWANZO 12:6

"ABRAM akapita katikati ya nchi mpaka mahali PATAKATIFU PA SHEKEMU,mpaka mwaloni wa More.Na WAKANAANI siku zile walikaa katika NCHI HIYO.

Natanguliza shukrani Mkuu.
 
Mkuu Dukeson nimekuelewa sana tu na ningependa JF iwe hivi yaani mtu anapoleta hoja inapingwa kwa hoja nzito kama hii sio mipasho au matusi!! Nina maswali nitarudi ila nimependa ulivyojenga hoja mkuu ubarikiwe sana.
 
Mkuu Dukeson nimekuelewa sana tu na ningependa JF iwe hivi yaani mtu anapoleta hoja inapingwa kwa hoja nzito kama hii sio mipasho au matusi!! Nina maswali nitarudi ila nimependa ulivyojenga hoja mkuu ubarikiwe sana.
Amina sana Mkuu;
wewe ni mmoja wa watu unaoniongezea vitu vipya maishani mwangu,mengi nimejifunza kupitia wewe ubarikiwe sana,lengo letu ni moja tu KUJIFUNZA na LEARNING IS THE LIFETIME PROCESS.
Shukrani Kiongozi.
 
Neno Bilia linamaanisha ni mkusanyiko wa vitabu -collection of books.Ninavyojua Biblia ina Maudhui yake -Yaani kuna taarifa juu ya anguko la mwanadamu,NA Ukombozi wa wa mwanadamu.

Ni Vitabu vya dini vilivyokusanywa na kuwekwa pamoja.Vitabu ambavyo maudhui yake hayakuwa sawa na vingine (kupingana)viliachwa.Siri ya biblia huwa haipingani. Kama kuna sehemu ipo wazi inasema usinywe kilevi ,haiwezekani biblia hiyo hiyo iseme tunywe pombe au usile nguruwe na pengine iseme kula nguruwe.

Sisi Wakristo tunaamini biblia iliandikwa na waandishi waliovuviwa uwezo kwa roho mtakatifu. Hivyo kuielewa unahitaji uwe na uwezo ndani yako wa roho mtakatifu,la sivyo utachanganya na kuiona haipo sawa.
 
Back
Top Bottom