The celebrity
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 1,972
- 559
Yes ni sahihi kwamba elimu ya gravity inaweza kuwa applied kwenye engineering & Industrial activities na ikaleta matokeo chanya...but the issue is,..gravity kuwa applied kwenye hizo sectors haimaanishi kwamba dunia na yenyewe ina work in the same manner.
Yap,.Mimi sio wa Kwanza wala wa mwisho,... nenda kwenye page ya NASA utaona jinsi wanavyokua criticised Kwa ajili ya hizo CGI's.1. Hivi unadhani ww ndo wa kwanza kuhoji hivyo? Ingekuwa Photoshop wangeweka tu, ungeamini? But they stand still coz ndo uhalisia.
2. Hujaelewa nn hapo, earth is a sphere but slightly flattened at its poles which means Kuna tofaut ndogo sana. Picha imepigwa mbali so itakuwa sio rahisi kutofautisha
Inasemekana around 3 to 5 kilometers (1.9 to 3.1 miles) ndiyo Dunia inaanza Ku curve kufuata umbo la tufe 🌍.Umeelewa nilisema lakini au? 👇👇
Kwa umbali Gani unacinsider curvature ukiwa unafanya survey?
Yaani Kwa survey yenye umbali Gani kiasi hicho in real practical.
Lakin pia kuna Geodetic survey ina consider earth shapeUmeelewa nilisema lakini au? 👇👇
Kwa umbali Gani unacinsider curvature ukiwa unafanya survey?
Yaani Kwa survey yenye umbali Gani kiasi hicho in real practical.
Mara ngapi wanatuma videos still Wana criticize?Yap,.Mimi sio wa Kwanza wala wa mwisho,... nenda kwenye page ya NASA utaona jinsi wanavyokua criticised Kwa ajili ya hizo CGI's.
Nadhani ili kuwatoa watu wasiwasi watume picha na videos ambazo ni real bila kufanya editing yoyote.
Sio kweli, Geodetic survey ina consider,Inasemekana around 3 to 5 kilometers (1.9 to 3.1 miles) ndiyo Dunia inaanza Ku curve kufuata umbo la tufe 🌍.
So, kuanzia hapo land surveying ilitakiwa ianze Ku consider curvature lakini haiwi hivyo.
Gravity Kwa mantiki kwamba ndiyo inapelekea Viatu kuanguka hiyo haipo....Kwahy unakiri gravity ipo? Tuanzie hapo maana hatuwezi kutumia kitu kana kwamba kipo na kilete matokeo chanya then kumbe hakipo.
haimaanishi kwamba dunia na yenyewe ina work in the same manner.
Kumbuka tunai apply Kwa maana hiyo hiyo tunayoiongelea sisi.
Wao wenyewe huwa wanaweka kwenye description/caption jinsi video au picha ilivyokua generated,...so nadhani watu wapo sahihi kupinga Kwa namna moja au nyingine.Mara ngapi wanatuma videos still Wana criticize?
Kila kitu kinakuwa criticized haimaniishi sio sahihi, kama dini zinakuwa criticized sembuse NASA?
Tunaweza sio??😄 hata huna uhakika na unachosema.Gravity Kwa mantiki kwamba ndiyo inapelekea Viatu kuanguka hiyo haipo....
Lakini ukielezea gravity kama kani ya mvutano kwenye objects ambazo ni magnetic 🧲 .... Tunaweza tukasema ni sawa hiyo gravity tukaiita magnetism so ina exist Kwa style hiyo na sio kama inavyokua exaggerated.
Fuatilia NASA TV live wanaoneshaWao wenyewe huwa wanaweka kwenye description/caption jinsi video au picha ilivyokua generated,...so nadhani watu wapo sahihi kupinga Kwa namna moja au nyingine.
Sio kweli kwamba hizo Kilometres nimetunga au,..jaribu kwenda kupitia basi kisha useme curvature of the earth inatakiwa kuwa considered kuanzia miles ngapi...Sio kweli, Geodetic survey ina consider,
Lakin Kwa survey nyingne za kawaida tu hazifikii umbali huwa Kwa one sighting lazima kuwe short distance sighting Moja ifikie hiyo distance.
Na nimekuuliza swali ila haujibu, unaamini Kuna satellite? Kama ndio unajua how they works?
Yaan unaonekana upo impassive sana na neno gravity😄 upo radhi ulipe jina lingne ila same effect😄😄Gravity Kwa mantiki kwamba ndiyo inapelekea Viatu kuanguka hiyo haipo....
Lakini ukielezea gravity kama kani ya mvutano kwenye objects ambazo ni magnetic 🧲 .... Tunaweza tukasema ni sawa hiyo gravity tukaiita magnetism so ina exist Kwa style hiyo na sio kama inavyokua exaggerated.
Hahh, sasa ulitaka nikuhakikishie kabisa?Tunaweza sio??😄 hata huna uhakika na unachosema.
😄😄😄 Okay ni magnetism ndio inafanya vitu vidondoke Aya how?
Sio kweli kwamba hizo Kilometres nimetunga au,..jaribu kwenda kupitia basi kisha useme curvature of the earth inatakiwa kuwa considered kuanzia miles ngapi...
Kuhusu satellites sina details zaidi kuhusu uwepo wake,..so Sipo kwenye right position ya kukujibu.
Tatizo linaanza pale mnapotaka kuficha kila kitu kwenye kivuli cha gravity...Mtu akiulizwa how Maji yanastick kwenye round-ball without being contained anakujibu gravity...Yaan unaonekana upo impassive sana na neno gravity😄 upo radhi ulipe jina lingne ila same effect😄😄
Geodetic surveying ina consider curvature kuanzia miles ngapi?Me sijasema umetunga Bali nimekanusha ulivyosema land surveying haihusishi curvature nikakwambia Kuna Geodetic Surveying inaconsider curvature.
Labda haya maelezo yamekuchanganya👇
Lakin Kwa survey nyingne za kawaida tu hazifikii umbali huwa Kwa one sighting lazima kuwe short distance sighting Moja ifikie hiyo distance.
Nilimaanisha Kwa survey za kawaida unaposet kifaa kwa maana ya kwamba distance kati sighting device na reciever itakuwa ndogo. Kwahy Kwa hizo Km itabidi tufanye mara kazaa.
Tumeshakwambia kama hujui kitu Bora useme sio kujitungia ndo maana unatoa majibu hayana uhakika.Hahh, sasa ulitaka nikuhakikishie kabisa?
Theory kwako, lakin umeshakiri Ina apply na inaleta majibu chanya katika field tofaut tofaut, unadhani inatokea by chance tu au coincidence??Hahh, sasa ulitaka nikuhakikishie kabisa?
Hao unaowaaamini wenyewe hawana uhakika,.that's why wanaziita theories na sio actual facts 100%.
Kinachofanya udondoke nilishasema kwamba ni kukosa mechanism ya kukufanya uweze kugenerate lift na kuitumia air pressure kama ngazi.....so Kwa kuwa huna mechanism hiyo lazima uanguke tu.,.
Hata hao unaowaaamini pia majibu yao hayana uhakika..Tumeshakwambia kama hujui kitu Bora useme sio kujitungia ndo maana unatoa majibu hayana uhakika.
Tatizo linaanza pale mnapotaka kuficha kila kitu kwenye kivuli cha gravity...Mtu akiulizwa how Maji yanastick kwenye round-ball without being contained anakujibu gravity...
Ukimuomba athibitishe hawezi.