Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Gravity is just a theory,. Ukishalitambua hilo akili yako inapaswa ifanye kazi vizuri sasa..

Cha kukushauri andaa peni na karatasi., baadae nitatoa Shule hapa....Hahh
 
Gravity is just a theory,. Ukishalitambua hilo akili yako inapaswa ifanye kazi vizuri sasa..

Cha kukushauri andaa peni na karatasi., baadae nitatoa Shule hapa....Hahh
sasa shule utamfundisha nani wakati wewe pia hukuelewa๐Ÿ˜๐Ÿ˜.

kwamba ni theory tu kwa maana haiwezi kuwa proved!!!kiuhalisia ama kimahesabu???
 
Kuna simulizi moja inasema hivi,
Fisi na punda walikua wanabishana kuhusu rangi ya majani,
Fisi anasema majani ni ya blue, punda anasema majani ni ya kijani,

Baada ya kubishana sana bila kufikia muafaka ikabidi waende kwa mfalme simba ili kupata jibu la uhakika,
Kufika kwa simba Fisi akasema Mfalme namuambia punda kua majani ni ya blue lakini yeye anabisha anasema ni ya kijani.

Simba akasema ni kweli majani ni ya blue akaamuru punda apigwe viboko,
Fisi akaondoka akishangilia ameshinda,
Baada ya punda kupigwa viboko akamuuliza simba inakuaje napigwa viboko wakati ni kweli majani ni ya kijani.
Simba akamuambia punda, sijaamuru upigwe viboko kwasababu majani sio ya kijani, ni kwasababu badala ya kufanya vitu vya maana unapoteza muda kubishana na mpumbavu kwasababu ya kitu kinachoonekana kabisa kwa macho ya kawaida.

Kwaiyo nawashangaa sana wanaoendelea kubishana na huyu jamaa ambae huenda hajawahi hata kutoka nje ya Tanzania.
 
sasa shule utamfundisha nani wakati wewe pia hukuelewa๐Ÿ˜๐Ÿ˜.

kwamba ni theory tu kwa maana haiwezi kuwa proved!!!kiuhalisia ama kimahesabu???
Kwahiyo wewe ukiona Peni imeanguka unajua sababu ni gravity?


Unahitaji Shule mkuu..,
 
Kwahiyo wewe ukiona Peni imeanguka unajua sababu ni gravity?


Unahitaji Shule mkuu..,
ndio maana nikakwambia useme nini maana ya gravity maana labda unajua gravity ni kama tetemeko la ardhi kwamba linatokea mwaka hadi mwaka.

useme nini unajua kuhusu gravity???
 
ndio maana nikakwambia useme nini maana ya gravity maana labda unajua gravity ni kama tetemeko la ardhi kwamba linatokea mwaka hadi mwaka.

useme nini unajua kuhusu gravity???
Jamii forum ingekua na option ya voice note ningekuelezea vizuri hapa...ila kukusaidia Kwa ufupi ni kwamba:-

Kitu chochote chenye uzito,.kitadondoka chini as long as kitu hicho kina uzito kuliko kitu itakachokutana nacho kwenye njia yake...

Kwa mfano, tukiangusha manyoya na jiwe kwa wakati mmoja, jiwe litafika chini kwa kasi zaidi kwa sababu lina uzito mkubwa zaidi kuliko manyoya with reference to hewa.


Simple logic hiyo kama una akili utaelewa...
 
Jamii forum ingekua na option ya voice note ningekuelezea vizuri hapa...ila kukusaidia Kwa ufupi ni kwamba:-

Kitu chochote chenye uzito,.kitadondoka chini as long as kitu hicho kina uzito kuliko kitu itakachokutana nacho kwenye njia yake...
haya maelezo hayako clear kuhusu gravity.
Kwa mfano, tukiangusha manyoya na jiwe kwa wakati mmoja, jiwe litafika chini kwa kasi zaidi kwa sababu lina uzito mkubwa zaidi kuliko manyoya with reference to hewa.
hapa ni maswala ya density,hii pull of gravity inatofautiana baina kitu na kitu kutokana na density ya kitu na kitu.
kwa kanuni hiyo hiyo ndio maana maji ya bahari yamenata yalipo ktk uso wa dunia sababu yameshikiriwa jumla na nguvu hiyo,ni mazito kuliko hewa.

nguvu hii ni ya asili haipungui ila tu kama ni ktk body nyingine mfano katika jupiter uzito wa nyoya lako unawezafikia uzito wa kitana,maana yenyewe ina nguvu kubwa ya usumaku kuliko dunia.

lakini ktk mwezi nyoya litakuwa jepesi zaidi na halitatua chini kabisa maana force yake ni ndogo zaidi kutokana na udogo wa mwezi.
Simple logic hiyo kama una akili utaelewa...
hivyo basi, gravity ni nguvu ya asili inayovuta vitu vyote kutua katika uso wa dunia na katika nyuso za magimba mengine yaliyoko nje ya dunia.
 
Ila tukikwambia uelezee mechanism inavyofanyika hadi pen inadondoka hauwezi.
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜yeye atakwambia ni uongo. peni haiangushwi na gravity inaangushwa na kilichoisukuma.
 
Sasa kama maji ni mazito kuliko hewa kama unavyosema ,...kikanuni hayawezi kuzuiwa na hewa yatadondoka chini...ili hewa iweze kuyazuia maji inatakiwa hewa iwe nzito zaidi ya Maji.


Inaonekana hujui kuhusu hivi vitu., ndiyo maana unajichanganya.
 
Sasa kama maji ni mazito kuliko hewa kama unavyosema ,...kikanuni hayawezi kuzuiwa na hewa yatadondoka chini...ili hewa iweze kuyazuia maji inatakiwa hewa iwe nzito zaidi ya Maji.
hewa haishikilii maji,kinachoshikilia maji katika uso wa dunia(ardhi) ni gravity.hewa ni free sababu morecules zake ni nyepesi sana.

na kuhusu kudondoka chini,tayari hapa nazungumzia gravity ambayo chini ndipo point yake yaani katika uso wa dunia,sasa yatamwagika kuelekea wapi tena kama tayari yako chini!!!
Inaonekana hujui kuhusu hivi vitu., ndiyo maana unajichanganya.
mkuu.kama vitu huvielewi unasema tu,hii ubishi isiyo na tija haikusaidii.
 
Jibu la msingi ni kwamba,. unarudi chini kwa kuwa huna mechanism ya kukufanya uende juu.

Kinachokuzuia kuelewa hii ni Kwasababu ushakariri kwamba unarudi chini kisa gravity...kitu ambacho sio kweli.
Kwahiyo ina maana ndege hawavutwi chini na gravity?
 
Sasa kama unaamini hata Dunia ikiwa upside down maji yanakuwa yameshikiliwa na gravity,...... kwanini unasema Maji ni mazito kuliko hewa?

Huna sababu ya kusema either maji ni mepesi/mazito with reference to hewa,..kama tayari unaamini maji yameshikiliwa na gravity.
 
Sasa kama unaamini hata Dunia ikiwa upside down maji yanakuwa yameshikiliwa na gravity,...... kwanini unasema Maji ni mazito kuliko hewa?
upside down kwa reference gani??kwani hewa katika surface iko upande mmoja ambao wewe unadhani ni juu??

neno earth surface ni kama coat la mviringo kuizunguka dunia lenye hewa zote na mawingu,so kila point ni juu na kila point ni chini,inategemea unaitizama dunia ukiwa umesimama wapi.
Huna sababu ya kusema either maji ni mepesi/mazito with reference to hewa,..kama tayari unaamini maji yameshikiliwa na gravity.
is not about kusema,is about fact kwamba maji ni mazito kuliko hewa.

hata uyarushe juu kutoka kwenye jagi ili yakapambane na hewa,haraka sana yatarudi chini na kuiacha hewa peke yake.
 
Kwahiyo ina maana ndege hawavutwi chini na gravity?
ndege anavunja nguvu ya gravity kwa kutumia mabawa yake,kama ujuavyo manyoya ni mepesi kwenge hewa.

ili unielewa mnyonyoe huyo kinega uone kama atajaribu hata kupaa.
 
Ukishasema maji yanashikiliwa na gravity,... Huna haja tena ya kusema maji ni mazito kuliko hewa.


Au unasema ili iweje?
 
ndege anavunja nguvu ya gravity kwa kutumia mabawa yake,kama ujuavyo manyoya ni mepesi kwenge hewa.

ili unielewa mnyonyoe huyo kinega uone kama atajaribu hata kupaa.
Ndege anajitengenezea ngazi(lift) kwenye hewa Kwa kutumia mbawa zake.., na sio kwamba anavunja nguvu ya gravity.

Ukimnyonyoa hatoweza tena kuruka kwasababu umemuondolea mechanism ya kutengeneza lift....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ