Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Ndege anajitengenezea ngazi(lift) kwenye hewa Kwa kutumia mbawa zake.., na sio kwamba anavunja nguvu ya gravity.

Ukimnyonyoa hatoweza tena kuruka kwasababu umemuondolea mechanism ya kutengeneza lift....
Bro ili uweze ili uweze kuelea au kuruka lazima u-apply force ambayo kinzana na force ya Gravity.
....
Hata unaporuka una apply Kinetic energy yenye force kubwa kuliko force of Gravity....

By definition ya form two:Force is simply as push or pull....
 
Una uhakika gani kakariri umetumia njia gani kubaini hayo ?
Hana theory yoyote ambayo yeye ameiletea Dunia na kuinufaisha,... instead ana rely 100% Kwa nadharia zilizotungwa miaka ya 40's.

Hapo huwezi kuitwa Mwanasayansi,..tutasema umekariri vizuri.
 
😂😂😂🤣🤣🤣🤣 So huwa ni mwezi una block mwezi,,,
Mimi ndiyo Nimekuuliza kwanza na hauja nijibu.
Hapo nakuruhusu omba hata msaada wa wenzio...
Kwenye Lunar eclipse, kile kivuli cha kwenye mwezi huwa ni nini.?
Kuna sehemu nimesema Mwezi una block Mwezi?

Wewe ndiyo umesema hivyo mkuu,.
 
Jamii forum ingekua na option ya voice note ningekuelezea vizuri hapa...ila kukusaidia Kwa ufupi ni kwamba:-

Kitu chochote chenye uzito,.kitadondoka chini as long as kitu hicho kina uzito kuliko kitu itakachokutana nacho kwenye njia yake...

Kwa mfano, tukiangusha manyoya na jiwe kwa wakati mmoja, jiwe litafika chini kwa kasi zaidi kwa sababu lina uzito mkubwa zaidi kuliko manyoya with reference to hewa.


Simple logic hiyo kama una akili utaelewa...
And hiyo experiment ilifanywa na Da Vinci at Pisa tower, ko-prove effect of Gravity mkuu.
Sasa kinafochanya hivo vianguke chini badala ya juu ndiyo huitwa force gravity...

Sasa unakaa unabisha...
Na kila celestial body ina gravity yake, Jua,Nyota na sayari nyingine...
 
Aya
Kuna sehemu nimesema Mwezi una block Mwezi?

Wewe ndiyo umesema hivyo mkuu,.
Nipe jibu, kwenye Lunar eclipse, kile kivule kinachotokea kwenye mwezi ni cha kitu gani....
Toa jibu hapa, hamna kukimbia leo...
😂😂😂😂😇
 
Hana theory yoyote ambayo yeye ameiletea Dunia na kuinufaisha,... instead ana rely 100% Kwa nadharia zilizotungwa miaka ya 40's.

Hapo huwezi kuitwa Mwanasayansi,..tutasema umekariri vizuri.
Kuna maswali nlikuuliza muda tu hujajibu,

Mimi najua ni kwanini hujajibu!

Hauna data, Haujafanya tafiti zaidi ya kukariri hadithi za youtube.


Pengine ungefanya hata research ya hizo imani zako, ungebaini kuwa sio sahihi,

Baada ya hapo ungekuja upande wa Dunia tufe nna uhakika ungefuata method zote za kufanya research mpaka muda huu ungekua umeshakuwa na uelewa kuhusu umbo la Dunia yetu kuwa ni tufe.
 
Hana theory yoyote ambayo yeye ameiletea Dunia na kuinufaisha,... instead ana rely 100% Kwa nadharia zilizotungwa miaka ya 40's.

Hapo huwezi kuitwa Mwanasayansi,..tutasema umekariri vizuri.
Sasa mkuu,Unachukia tuliosoma Sayansi na kufanya kazi za Sayansi kuitwa wanasayansi kweli....
🤣😂😂😂
Wakati hapa twakutoa upepo.
Halafu uwe unajibu maswali, yaan mi ntakurudisha Darasani hapa 🤣🤣🤣😂
 
Hiyo ni logic tu sio kanuni ya Physics....

Kwamba:-
1. Ukishasema maji yanashikiliwa na gravity,... Ndiyo maana hayaanguki.

2. Huna haja tena ya kusema maji ni mazito kuliko hewa.... ndiyo maana hayaanguki.

One statement automatically excludes the other!
🤣🤣🤣🤣
You people maji ni mazito = maji yana weight,,ambapo by definition, weight ni force, na Gravity pia ni force...
Sasa unakataa nini na unakubali nini
 
Sasa mkuu,Unachukia tuliosoma Sayansi na kufanya kazi za Sayansi kuitwa wanasayansi kweli....
🤣😂😂😂
Wakati hapa twakutoa upepo.
Halafu uwe unajibu maswali, yaan mi ntakurudisha Darasani hapa 🤣🤣🤣😂
Kwanini nichukie sasa...Mimi sio Mtu wa aina hiyo.
 
🤣🤣🤣🤣
You people maji ni mazito = maji yana weight,,ambapo by definition, weight ni force, na Gravity pia ni force...
Sasa unakataa nini na unakubali nini
Kwahiyo uzito wa Maji ndiyo gravity?

Unaona unavyojichanganya sasa...
 
Kuna maswali nlikuuliza muda tu hujajibu,

Mimi najua ni kwanini hujajibu!

Hauna data, Haujafanya tafiti zaidi ya kukariri hadithi za youtube.


Pengine ungefanya hata research ya hizo imani zako, ungebaini kuwa sio sahihi,

Baada ya hapo ungekuja upande wa Dunia tufe nna uhakika ungefuata method zote za kufanya research mpaka muda huu ungekua umeshakuwa na uelewa kuhusu umbo la Dunia yetu kuwa ni tufe.
Dunia ushaambiwa sio tufe na huo mjadala tuliumaliza Jana hapa.

NASA wanasema Dunia sio tufe Bali ina uflatness, sasa Tufe na flat wapi na wapi,...so badilisha kabisa narrative yako hiyo.
 
Aya

Nipe jibu, kwenye Lunar eclipse, kile kivule kinachotokea kwenye mwezi ni cha kitu gani....
Toa jibu hapa, hamna kukimbia leo...
😂😂😂😂😇
Mimi sijui,..wewe ulipofanya research uligundua ni kivuli cha nini?


Au hujafanya research umeamua kuamini Tu?
 
Dunia ushaambiwa sio tufe na huo mjadala tuliumaliza Jana hapa.

NASA wanasema Dunia sio tufe Bali ina uflatness, sasa Tufe na flat wapi na wapi,...so badilisha kabisa narrative yako hiyo.
Kwasababu wewe ni mgumu kuelewa na ukielewa unaelewa kwa maana yako...Hakuna aliyekubaliana na wewe kuwa Dunia ni flat.
 
Dunia ushaambiwa sio tufe na huo mjadala tuliumaliza Jana hapa.

NASA wanasema Dunia sio tufe Bali ina uflatness, sasa Tufe na flat wapi na wapi,...so badilisha kabisa narrative yako hiyo.
Nijibu haya maswali yangu mawili;

Kwa madai ya watu wa flat Earth wanasema
Nyota, Jua pamoja na Mwezi vipo ndani ya Dunia na vinazunguka Dunia.

Swali 1;

Kwa elimu uliyonayo Nyota zipo wapi ? Na je zinazunguka Dunia kama ambavyo wenzako wa Flat Earth wanavyodai ?

Swali 2;

Je unafahamu/tambua kuhusu sayari zingine ?
 
Kwasababu wewe ni mgumu kuelewa na ukielewa unaelewa kwa maana yako...Hakuna aliyekubaliana na wewe kuwa Dunia ni flat.
Lakini si unakubaliana na NASA...kwamba Dunia is not 100% TUFE??!


Au NASA pia hukubaliani nao?
 
Jaribio la kwanza
(Hoja ya kusema kipenyo cha mwezi,hakifanani na kipenyo cha kivuli cha mwezi).

1.Vifaa
Simu ya tochi, Chungwa, Uzi/kamba ya mita 2 au 3,tape ya fundi cherehani,Msaidizi.

2.Njia
Chukua Chungwa Pima mzingo wake kwa kutumia tape ya fundi cherehani au pima kwa kama halafu linganisha katika Rula.

Tumia kanuni ya 3.14×d =mzingo ili upate kipenyo chake. Halafu majibu yaandike kwenye karatasi.

Lifunge hilo chungwa kwa kamba ,Ingia ndani ya chumba, lining'inize hilo kamba kwa kufunga kamba juu. Funga karibu na ukuta
Zima taa
Chukua simu ya tochi kaa umbali wa mita moja, mulika hilo chungwa, mwambie msaidizi apime kipenyo cha kivuli cha chungwa.

Sasa kaa umbali wa mita mbili,pimeni tena kipenyo cha kivuli...

Halafu kaa umbali wa mita 3,pima kipenyo cha kivuli...

Je,Kipenyo cha chungwa kitafanana na kipenyo cha kivuli cha chungwa...
Je,kama kipecho cha kivuli cha kwanza na cha pili na cha tatu kipi ni kidogo
Je,hivyo vitatofautiana kwa mfumo gani?


Jaribio jepesi tu....
 
Nijibu haya maswali yangu mawili;

Kwa madai ya watu wa flat Earth wanasema
Nyota, Jua pamoja na Mwezi vipo ndani ya Dunia na vinazunguka Dunia.

Swali 1;

Kwa elimu uliyonayo Nyota zipo wapi ? Na je zinazunguka Dunia kama ambavyo wenzako wa Flat Earth wanavyodai ?

Swali 2;

Je unafahamu/tambua kuhusu sayari zingine ?
1. Nyota zipo kwenye anga la Dunia,...Yes,. Ni kweli kwamba Jua,Nyota na Mwezi zinazunguka Dunia.

2. Hili swali ni subjective,..siwezi kukupa majibu ya moja kwa moja.
 
Kama unataka kujua kwanini kitu hudondoka chini,..pitia hapo juu 👆🏼naamini utapata kitu...


Chosen Rich
U dont know why mpira unaelea kwenye maji, ,halafu wachukia why mi Mwanasayansi,,,😂😂😂🤣🤣
Nani alikwambia ukimbie Physics,,,
Hebu nimekupa jaribio moja la kuelewa kuhusu kipenyo cha mwezi...
Mi sina falsafa mkuu,hapa ni experiments na Calculations....
Fanya hilo jaribio fasta, halafu uje na majibu, kama utashindwa sema nikupe lingine.
 
Back
Top Bottom