Kwenye Jibu lako la Kwanza,nakuomba pitia Video ya aliyesoma hiyo thread, utaona anazungumzia ishu ya kufichwa tusijue kama kuna Aliens .wengine mnasema tusijue kama mungu yupo, hapo ndipo mnapo jichanganya. (Angalia video kabla ya kubisha)
Pili kuhusu baridi,Marekani na Ulaya hakuna sehemu ambapo watu hawaiishi,,na sehemu zenye baridi kuliko zote duniani.
Google "Oymyakon" ipo Urusi (upande wa asia)...
Nje ya atmosphere baridi ni kali kuliko duniani lakini binadamu wameweza kufika,
Google na hilo kabla haujabisha...
Mkuu ,utafiti juu ya Solar SYSTEM ndiyo imesaidia katika.
-Uvumbuzi wa satelite na kujua katika umbali gani vikae, kwa kasi ipi vizunguke jua. Na matilio ipi inafaa kutengenezea vifaa vyake.
-Imesaidia kwenye uvumbuzi wa saa,na kuiweka iwe katika accuracy.
-Imesaidia katika ugunduzi wa kalenda tunayotumia. Maana hesabu ya Tarehe imezingatiwa kwenye mzunguko wa dunia.
Google uelewe why mwezi wa pili una siku 28 au 29.
Naomba unijibu swali langu huko mwisho wa dunia Gravity inafanyaje kazi.
Tumia hata reference za Sayansi (Usijetete kwa falsafa)