Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
bado sjaona unachotetea hapo,,,,,kwanza just to be clear hamna mtu alie wahi kutoka nje ya dunia ndo maana nataka mtu akibishana na mimi awe na base knoledge yah haya mambo nimefanya research sana,,,,kasome kwanza vizuri ujue kuhusu van allen belts alafu urudi turekebishane
 
tatizo la wabongo ni lack of knowledge we unanambia tuchukulie nna ndege alaf niende straight na ikweta ,,hii haiwezekani nlisema sema route zote za ndege duniani zina julikana kwahiyo unaweza kwenda flighttracker.com utaona route zote za ndege duniani alafu unambie kuna rout gani inazunguka dunia zote ni short cut so uwezi kunambia tuchukulie haiwezekani we nambie kwa facts labda nipe route flani ya ndege inayo zunguka dunia au inayopita north pole ......please naomba uresearch kwanza vitu vingine mnajifunga wenyewe kimawazo.....
aloafu haya mambo yote nmeeleezea kwenye maelezo yangu pitia tena vizuri ujifunze
 
Umefanya research gani zaidi ya kusoma documents zilizo andikwa na watu.
Wanasayansi daily wanaenda kwenyw space station kufanya research mbalimbali hadi tumbili wamepelekwa wanafanya majaribio mbalimbali juu ya matokeo yatakuwaje iwapo kitu kitafanyika ambapo gravity ni ndogo.
Kama huamini wamarekani basi uwe unatazama hata channel za wengine mfano NHK ya wajapan ni channel ambayo iko kwa kingereza na kuna muda wanaongelea mambo yao ya space na sayansi.
Eti umefanya research umefanya research gani wewe zaidi ya kusoma docs za hao earth flat society wanaosema kwenye kingo ya dunia kuna ukuta wa barafu mrefu una ft 15 nasa wanaulinda mtu asiuvukue akaanguka.
Yani wanachekesha kweli
 
Route za ndege commercial airliners what about private jets?
Halafu unasisitiza eti ndege haizipiti North.
Kama huja ya kutopita north ni kwamba kuna boundary kwa mchoro wako hata ikinyoosha Eastward itakutana na boundary au ikielekea West ward itakutana na boundary.
Lakini haiwezekani ndege ikitaka toka USA kwenda china irudi tena kupita afrika ndo ielekee china itanyoosha huko huko west itafka china. Same applied iktaka toka china kuja africa hairudi kupita usa itaendelea west ije afrika.
Kwa mchoro wako na mfano wa routes za ndege hakuna maelezo uliyotoa kwanini ndege hazizuiwi kuelekea westward na eastward to whatever distance kama kweli dunia ni flat
 
Nna mashaka hata kama allen van belts unajua maana yake kweli.
Pili nimekuuliza routes za private aircrafts ambazo siyo commercial hujanijibu.
Nikakuuliza kama dunia ni tambalale ukifika mwisho wa circumferwnce ya dunia ambapo mchoro wako unaonyesha kuna barafu ukaivuka utadondoka?
Au na wewe unaungana na wenzako kuwa kuna ukuta wa barafu una sijui mita 15 unalidwa na nasa usiuvuke.
Nijibu siyo unakimbia maswali eti si unadai umesoma haya jibu sasa
 
tatizo lako unaendelea kuongelea vitu ulivyo karirishwa shuleni zamani ....
kusafiri na ndege it only proves that the earth is flat kwasababu kama wewe ni msomi unatambua kua dunia ina two movements ....the question is ndege inwezaje kuset speed yake iendane na speed ya dunia au kama unamda Tafuta kitu inaitwa gyroscope airplane experiment,,,,,najua unauwezo mdogo wakufikiria ndo maana huwezi kufatilia vitu kiundani zaidi......do ur research kusafiri na ndege ina prove dunia ni flat na haitembei wala kuzunguka ....
tatizo hata uwezi kusoma hili swali nlilijibu vizuri tu,,,,, kama hujui mirage ni nini huwezi kuelewa haya mambo embu rudia kusoma ulicho andika alafu soma maelezo yangu nliojibu kuhusu circum navigation ...fanya utafiti unadhani me nlilala nkaoteshwa kwamba dunia ni flat ....
acha kukurupuka wewe unamwambia mwenzako anauelewa mdogo kumbe we ndo hujui lolote kabisa ..kama ungekua na maarifa usingeuliza maswali ya kipuuzi ivo wakati yapo kwenye maelezo ..
Mkuu watu wengine akili zao sijui zikoje ama wanafikiri Dunia ni Tanzania tu?

Mtu anakurupuka analeta hoja eti Dunia tambarale lakini muulize
watanzania ni maskini wa kutafakari na kudadisi mambo,,,,,,,,,na wanafurahi kwelikweli kukaa gizani,,,,,,, shallow minds always runaway from tought thoughts.....
mbona meli hapa kisiju ukiinalia kwa mbali ni kama inapandisha mlima?
tatizo lugha inakufunga ,,,,,unaona kama inapanda mlima ....kwahiyo unachotaka kusema bahari inamilima na mabonde,,,,,,,haha water finds its own level ,,,
Hapa umemaliza kila kitu kwa maelezo na mfano mdogo na unaoeleweka kabisa!
Ume-crash "kitabu" chote alichokiandika hapo juu kionekane hamna kitu.
tatizo lenu mnajifunga fikra wenyewe ...mnajaribu kutumia knowledge yenu ya primary na secondary ,,,alaf nadhani mtakua wavivu wa kusoma pia maana nmeelezea mambo mengi hapo na ni facts sio kwamba nmetunga mimi ....im just spreading the word thats all
mjinga ni wewe mwenyewe usitumie imagination zako kujudge kwamba waafrika wote ni wajinga mjinga ni wewe ulie ukubali ujinga,,,,kwa hujui maana ya ujinga unajua ujinga nni au unongeaongea tu ,,,badilisha kauli zako
wewe ujielewi please read my thread again ican answer stupid questions .....im dealing with people who can think deep if u can understand this kuna thread nyingi sana hapa jf ,,,
yani wewe ndo mbumbu kabisa kwahiyo albert pike ndo unamwamini 100% kwamba yeye ni nani hasa wapo phylosophers wengi
bado upo gizani sana first unajitengenezea scenereo mwenyewe kwa imagination zako alafu unaziita logic umeandika mambo mengi nkadhani itakua ni kitu cha maana kumbe ni walewale wavivu wa kufikiri,,,,,fanya research me sio kichaa tu nkakurupuka kuandika mambo yote hayo ,,,,,bado akili yako ni ndogo kuelewa ili jambo vyema
Mkuu uko sahihi ila hakuna kitu kama juu, chini au pembeni ya dunia. Sema tu hiyo picha ramani ya UN imechorwa kwa kuiangalia dunia kutoka Canada na Urusi zilipo kisha ikafanywa kuwa tambarare.
acha kutudanganya wewe nani kakwambia,,,,kwanini ssa imechorwa kutokea canada na sio marekani au uk ,,,,acha fikra mgando na usidanganye watu
bora uwaelimishe wenye mawazo mgando
Leo nikwambie!!! macho ni maongo kuliko unavyojua
kwa taarifa yako hamna kifaa chochote duniani chenye vision kama ya macho yako ..kwa kifupi macho yako ndio kipimo cha vifaaa vingine vyote ,,kamwe usije kuyadharau macho yako kwa lusema yanakudanganya ...
siku utakayotambua kwamba dunia ni tamvb
embu usome uzi wote uelewe vizuri kwanza maana maswali yako yamejibiwa humo
nawaskitikia sana wale mnaoona fanya research google tu na kusoma website moja na kuridhika,,,,,fatilieni mambo msijiridhishe kwa kukwepa kufatilia deep zaidi
Mkuu usipoteze mda , we nenda airpot kata ticket panda ndege , ukiruka juu utajionea mwenyewe kwamba dunia siyo tambarale.. ukitua naamini utafuta huu Uzi mara moja .. Unahitaji kupanda ndege tu , easy
hujawai kupanda ndege i bet ,,,maana kama umepanda ndege amna ata mara moja utaona curveture ata kama ukiwa umbali gani ,,,acha kuongea vitu usivo vijua
kwahiyo wewe unaamini kila ulichofundishwa darasani.....wewe tatizo lako utaki kufikiria kwa kina hata sisis tunatambua kwamba tulifundishwa kama wewe kuanzia shule ya msingi.,.,.,.,.fatilia mambo kwa kina huu sio ubishani ni elimu
Ndugu yangu hivi unajua kwamba unaweza kusafiri toka Dar mpaka Sydney halafu ukaenda San Fransisco kisha ukafika New York na ukaendelea mpaka Accra na kurudi tena Dar? Hapo bado dunia itakuwa tambarare kweli?
acha uongo na kupotosha watu route zote za ndege duniani zinafahamika na hakujna route ya kuizunguka dunia na pia hakuna ndege inayo kwenda from dar to sydney direct hakuna kabisa na haiwezekani
acha kufanya gues work tupe facts ,,,hiyo unayofanya hapo ni guesing ,,,.,.,.,.fanya research
sasa nimekuelewa kumbe tatizo lako ni ufikiriaji wako 2 route za ndege zipo fixed hata kama una private jet lazima ndege yako ijulikane kama ipo hewani wewe huwezi kufikiri hili kwa sababu unadhani angani ni kama sokoni ndege zinajipitia tu,,,fanya utafiti usibishe tu ilimradi kurefusha uzi
siwezi kukuolazimisha uelewe ukweli kwasababu naona ufikiriaji wako umefikia mwisho kwa kweli,,,,,,
 



jifunzeni
 
umemaliza asee!! kama na hapa atakuja kubisha basii haina budii kumuacha
 

Kaka wala hujui unachokitetea, we umekazania commercial flight, kuna ndege za private, research nk. Sasa hapo napokwambia tuchukulie (lets assume)
Kuna vitu vichache naomba unijibu
1: unaamini uwepo wa Latutude na Longitude?
2: kama unaamini, imani yako inasemaje kuhusu hizo line

3: kuna hili la kupatwa kwa jua na mwezi, kuaptwa kwa Jua tunaona mwezi unakuwa katikati ya Dunia na Jua na tunaona Duara la Mwezi linaloziba jua
Kupatwa kwa Mwezi tunaona DUARA LA DUNIA LINAUZIBA MWEZI, sasa hapa utasemaje Dunia Iko flat, maana yake tunheona shape ya Box ndio linaziba Mwezi

Unapomezesha vitu uwe unatumia na akili yako
 

Kaka unajua huyu moudytunechi anaingia kwenye mitandao na kujaribu kutafuta vitu vilivyo kwenye Iman yake anashindwa kujua kuwa Vitabu vya Iman yake vilikosea kwenye hili, wako wengi wanaobishana na fact za round earth kwa sababu za kidini zisizokuwa na mashiko

Nilimuuliza swali hapo awali akashindwa kulijibu, nilimuuliza anakubali kuwa Sayari zingine zote ( Mercury, Venus, Mars nk.) na pia nyota kama Jua na mwezi kuwa vyote ni Sphere/round au kuna kimoja kati ya hivyo kiko flat? ATUELEZE HAPA KUWA SAYARI FULANI IKO TAMBARARE

Kama vyote viko na shape ya sphere iweje Dunia pekee ndio ina flat shape? Sayari ya Mars huwa inaonekana angani ikiwa na Shape ya Sphere/round lakini wakituma vyombo kwenye hiyo sayari, vyombo hivyo vinatua kwenye mazingira kama haya ya Dunia, kwa hiyo Kaka moudytunechi angetua na chombo chake Mars angesema Mars iko flat
Kaka Moudy elewa kuwa Dunia ni kubwa sana kwa wewe kuliona Duara lake, ni kama umchukue Sisimizi na umuweke kwenye Mpira wa Basket, hataweza kamwe kuona Duara la mpira zaidi ya kuona flatness

Baba wa space ni Russia wao ndio waliokuwa watu wa kwanza kupeleka vyombo space (unmaned), kisha wakapeleka chombo na Mbwa (Laika) na ndio kisha NASA wakaanza na wao kupeleka vyombo space wakifuatiwa na mataifa mengine, KwA NINI WOTE WAKUBALIANE NA SPHERE EARTH? Ili weje na kwa faida ya nani? NA PIA KUMBUKA WANAPOPELEKA VITU SPACE AU KWENYE SAYARI ZINGINE HUWA WANAANGALIA MZUNGUKO WA HIZO SAYARI (shortest distances) NA PIA WANA CONSIDER SHAPE YA DUNIA

Kupatwa kwa Mwezi ndiko kunako prove kuwa Earth ni sphere kama Moon na Jua, kwani kivuli cha sphere earth kinaonekana kikiuziba moon na wala sio kivuli cha flat earth
 
Hii ndio jf tuliyoizoea...ngoja nigonge kahawa na kashata wakati kijana akisafisha viatu afu nitarudi kwa kishindo maana hii mada imenigusa kifani
 
We unaongelea vitu gani si ulivyosoma mtandaoni na ambavyo hata unashindwa kuvitetea maana hakuna unachoongea ulichokiwaza mwenyewe vyote umekaririshwa na hao earth flat society pia.
Eti umefanya research sasa hivi unashindwa hata tetea hoja zako mwenyewe unabaki tu ooh kasome oooh unaonge vitu ulivyo karirishwa.
Na nilichogundua hakuna unalojua maana umeanza kupinga hoja nyingine hsiku wakati uliulizwa asubuhi ya jana ukakosa majibu ikakubidi urudi kugoogle udonoe donoe kwenye sources mbalimbali still bado umeshindwa kujibu hoja
 
We jamaa kweli hata hujui unaongea nini. Dunia ina rotate na kurevolve pamoja na kole kilichomo plus its atmosphere.
So ndege ikiwa angani dunia haiwezi kuiacha ina rotate na kuivolve nayo so speed inayoset ndege ni plus ya speed on top of thw speed inayo rotate dunia.
Ndiyo maana hata ndege ikiganda angani dunia haiwezi kuiacha na wala haiwezi kujikuta kisa iliganda ikiwa tanzania ikajikuta iko panama ni kwakuwa earth rotates and revolves with everything in it plus its atmosphere.
Acha kusoma vitu nusu nusu pasipo kuvoelewa na ukajifanya umefanya research.
 
Ukiona watu hawakubariani na wewe ina maana una hoja dhaifu ambazo umeshindwa kuzitetea unataka watu wakubari tu kibwege bwege.
Hata waliokuwa wanaamini dunia ni flat na waliokuwa ndiyo wengi kama wewe na hiyo society watu waliwapa facts and proves ndipo wakabadirika so acha kukurupuka.
 
Wewe tatizo lako unataka kuskia fikra mpya hata kama ni za kipuuzi pasipo kutafakari ya unachosoma.
Internet imejaa mambo mengi na mengi ni crap watu wanapenda conspiracy theories.
Inabidi uchambue ipi pumba ipi mchele.
Kutumia elimu mtu aliyopata kwa kusoma shuleni kuchambua pumba na mchele sio kosa na ndiyo maana watu wanasoma na kwa hiyo elimu na hoja zenu dhaifu tunadiriki kusema hoja zenu ni pumba na mmeshindwa kuzitetea.
Hayo ma docs yako hata mimi nimeyasoma na nimeona ni pumba tu.
 
Mtu uwa akishindwa hoja anaanza kimbia kujibu maswali anaanza kudai wenye fikra tofauti na zake hawana uwezo wa kumhoji ana deal na wenye akili kama yeye.
Umeshindwa kutetea hoja yako braza
 
Hata watu wengi kukubari kiwa dunia ni flat sio vichaa tena kipindi hiki cha modern science sio hujima.
Hivi hujishangai kubisha kwamba binadamu hajaenda anga za juu kipindi hiki ambacho unatumia so sosphicated devices hata kusoma na kupost habari zako dhaifu kwa kutumia technology inayotegemea satelites katika kushare information.
Halafu umetune akili yako kuamini vonsporacy theories kiasi kwamba hujaset mond yako kuwa huru ushaamua kuamini unadanganywa hata ukiulizwa maswali sasa homa hoja unabaki kusema fanya research olh mimi siyo kichaa
 
Nianze kwa kutoa pole kwa mleta mada, Pili sasa sio imani kama dini mkuu science ni majaribio hata ww ukiweza kuja na evidence full za flat earth na ukaprove basi theory ya sphere earth itakuwa outdated, umesoma physcis kwa kiwango gani? Hvi kama dunia ni flat umewah kujiuliza sattelite zina orbit vipi flat thing kwanini zisende mbali? mana orbital spidi kwa zilizo karibu na dunia ni 8km per second...je kwanini huku ni usiku na huku ni mchana? kama unasema dunia iko stationary je imeshikiliwa na nini? katika ulimwengu kila kitu kinatembea ili kuepukwa kuvutwa na gravity ya kitu kingine, mwisho elimu ya wazungu imetusaidia sana yapo wanayotuficha machache wao ndio wamefanya uko na simu yako hapo umekula donna na kushiba na kuja kupost huku naona unawapondea science huku ukileta reference za dini ambazo walikuandikia wao pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…