greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
Eti,subjective,,,sema umenibana na sina jibu...1. Nyota zipo kwenye anga la Dunia,...Yes,. Ni kweli kwamba Jua,Nyota na Mwezi zinazunguka Dunia.
2. Hili swali ni subjective,..siwezi kukupa majibu ya moja kwa moja.
Wewe unadhani ni nini kinafanya mpira uelee kwenye maji?U dont know why mpira unaelea kwenye maji, ,halafu wachukia why mi Mwanasayansi,,,😂😂😂🤣🤣
Nani alikwambia ukimbie Physics,,,
Hebu nimekupa jaribio moja la kuelewa kuhusu kipenyo cha mwezi...
Mi sina falsafa mkuu,hapa ni experiments na Calculations....
Fanya hilo jaribio fasta, halafu uje na majibu, kama utashindwa sema nikupe lingine.
Oya fanya Jaribio hilo fasta fasta,,,,1. Nyota zipo kwenye anga la Dunia,...Yes,. Ni kweli kwamba Jua,Nyota na Mwezi zinazunguka Dunia.
2. Hili swali ni subjective,..siwezi kukupa majibu ya moja kwa moja.
Fanya jaribio bhana, acha kukimbia hapa,,,Wewe unadhani ni nini kinafanya mpira uelee kwenye maji?
Mimi nimeweka majibu yenye tafiti nzito, Kwa upande wako mpaka sasa umeweka emoji Tu.
Mimi sio Mtu wa kufuata mkumbo mzee,...wewe ni kuulize tu,.. kwanini Dunia na Mercury ziwe grouped pamoja as Planets?Eti,subjective,,,sema umenibana na sina jibu...
Acha ingilia dani za watu, utaumia...🤣😂🤣🤣🤣🤣
Eti Tafiti nzito,,nzito my foot 😂😂Wewe unadhani ni nini kinafanya mpira uelee kwenye maji?
Mimi nimeweka majibu yenye tafiti nzito, Kwa upande wako mpaka sasa umeweka emoji Tu.
Hahh sasa Kwanini hizo law huzitaki unaanza kuingizia gravity kiujanja ujanja🙌🏼Eti Tafiti nzito,,nzito my foot 😂😂
Yani Ishu Za Law of flotation ndiyo tafiti nzito....
Yani equations za F=M×Ga ndiyo tafiti nzito...
Bro , 🤣🤣🤣🤣🤣
Swali la 3;1. Nyota zipo kwenye anga la Dunia,...Yes,. Ni kweli kwamba Jua,Nyota na Mwezi zinazunguka Dunia.
2. Hili swali ni subjective,..siwezi kukupa majibu ya moja kwa moja.
ww umegundua ipi ndugu maana wanasema african continent contribute to about 1.4% of the global scientific knowledgeEti Tafiti nzito,,nzito my foot 😂😂
Yani Ishu Za Law of flotation ndiyo tafiti nzito....
Yani equations za F=M×Ga ndiyo tafiti nzito...
Bro , 🤣🤣🤣🤣🤣
3. Mpaka hivi tunavyozungumza teknolojia haijaruhusu bado kujua exactly Nyota zina move Kwa mtindo upi.....zilizopo ni assumptions na nadharia.Swali la 3;
Katika hizo nyota kuzunguka Dunia, Zina move kwa mtindo upi ?
Yani zinamove zote kwa pamoja zikiwa sambamba ? Au kila moja ina move kwa style yake ?
Yeye kajikita kwenye Sayansi BRANCH YA KUKARIRI...,ww umegundua ipi ndugu maana wanasema african continent contribute 1.4% to the global scientific knowledge
Nimekwambia fanya jaribio hilo nililokupa,Hahh sasa Kwanini hizo law huzitaki unaanza kuingizia gravity kiujanja ujanja🙌🏼
Hata hili swala unasubiri hadi teknolojia ndio ikupe majibu ? tena teknolojia ya watu ambao wanatambua Dunia ni tufe.3. Mpaka hivi tunavyozungumza teknolojia haijaruhusu bado kujua exactly Nyota zina move Kwa mtindo upi.....zilizopo ni assumptions na nadharia.
Kuna nyota zinaitwa Orions unazifahamu ?3. Mpaka hivi tunavyozungumza teknolojia haijaruhusu bado kujua exactly Nyota zina move Kwa mtindo upi.....zilizopo ni assumptions na nadharia.
Kwanza siamini katika kitu kinaitwa GRAVITY... Hiyo ni fix nyingine! Kumbuka macalculations yamebuniwa na mwanadamu kwahiyo kuweza kuthibitika Kihisabati siyo ishu kwanguKwenye Jibu lako la Kwanza,nakuomba pitia Video ya aliyesoma hiyo thread, utaona anazungumzia ishu ya kufichwa tusijue kama kuna Aliens .wengine mnasema tusijue kama mungu yupo, hapo ndipo mnapo jichanganya. (Angalia video kabla ya kubisha)
Pili kuhusu baridi,Marekani na Ulaya hakuna sehemu ambapo watu hawaiishi,,na sehemu zenye baridi kuliko zote duniani.
Google "Oymyakon" ipo Urusi (upande wa asia)...
Nje ya atmosphere baridi ni kali kuliko duniani lakini binadamu wameweza kufika,
Google na hilo kabla haujabisha...
Mkuu ,utafiti juu ya Solar SYSTEM ndiyo imesaidia katika.
-Uvumbuzi wa satelite na kujua katika umbali gani vikae, kwa kasi ipi vizunguke jua. Na matilio ipi inafaa kutengenezea vifaa vyake.
-Imesaidia kwenye uvumbuzi wa saa,na kuiweka iwe katika accuracy.
-Imesaidia katika ugunduzi wa kalenda tunayotumia. Maana hesabu ya Tarehe imezingatiwa kwenye mzunguko wa dunia.
Google uelewe why mwezi wa pili una siku 28 au 29.
Naomba unijibu swali langu huko mwisho wa dunia Gravity inafanyaje kazi.
Tumia hata reference za Sayansi (Usijetete kwa falsafa)
Hivi unajua hata ugunduzi wa Einstein ulihusu nini....?Mimi sio Mtu wa kufuata mkumbo mzee,...wewe ni kuulize tu,.. kwanini Dunia na Mercury ziwe grouped pamoja as Planets?
Wakati Dunia na Mercury hazifanani hata chembe....
Kama ubongo wako hauwezi Ku question chochote basi,.basi unapaswa kukariri hivyo hivyo.
Kama vizazi vya zamani vingekua vinakariri kama nyie,.. basi gravitational theory isingekua criticised na Wanasayansi wa kale,..lakini pia Einstein asingekuja na nadharia ya Relativity!
Hilo jaribio lako halina mantiki kwasababu it's scientifically proved that "The shadow can never be smaller than the actual object"Nimekwambia fanya jaribio hilo nililokupa,
Kama umeshindwa sema...
Siyo kujidai kuruka unapobanwa...
Sayansi ni mwendo wa majaribio tu ,siyo kuleta falsafa...
Na siyo lazima Chungwa,chukua hata kikombe, tupo twakusubiri...
halafu uje na majibu...
Kama umeshindwa sema....
Hilo jaribio lako halina mantiki kwasababu it's scientifically proved that "The shadow can never be smaller than the actual object"
__________
This is because a shadow is formed when an object blocks light from a source, creating an area of darkness behind the object. The size of the shadow is determined by the angle at which the light rays hit the object and the distance between the object and the surface where the shadow is cast. If the shadow appears smaller than the object, it may be due to optical illusions or other factors, but scientifically, a shadow cannot be smaller than the object casting it under normal circumstances.
Yes,.Orions nazifahamuKuna nyota zinaitwa Orions unazifahamu ?
Maana nataka ufanye research wewe mwenyewe angalau uanze kupata mwanga maana upo kwenye kiza kinene