Narudia,. natural laws zinafanya kazi hata kama Dunia nzima hatutokaa na kuunda formular yoyote,..Nimeziundia formula wapi??
Unabishana na vitu ambavyo vimeshakuwa tested na vikaleta majibu sawia?
Nimekwambia gravity ni name given to a natural phenomenal. Kwahy wewe unaweza kuita jina lako lakin haitabadirisha kitu.
Narudia,. natural laws zinafanya kazi hata kama Dunia nzima hatutokaa na kuunda formular yoyote,..
Mtu aliyekariri gravity,..hata akitema mate yakidondoka chini atasema gravity ndiyo imesababisha.Si amekuacha tu na kiburi chako๐.
Kama wewe unajiweza nipe formula ya bouyant force๐๐
Mtu aliyekariri gravity,..hata akitema mate yakidondoka chini atasema gravity ndiyo imesababisha.
This is insane.
Yap, zinaweza kuundiwa formula lakini hizo formula zinaweza kuwa na misconceptions ndani yake.Nani kakataa?
Ila unakubali zinaweza kuundiwa formula? Na formula zikawa tested na accepted until itokee test ambayo itafail?
Yap, zinaweza kuundiwa formula lakini hizo formula zinaweza kuwa na misconceptions ndani yake.
Kwa mfano gravity ni misconception Tu., kiuhalisia haipo.
Yap, zinaweza kuundiwa formula lakini hizo formula zinaweza kuwa na misconceptions ndani yake.
Kwa mfano gravity ni misconception Tu., kiuhalisia haipo.
Hahh,sasa nimenasa na nini hapo?Kivipi?
Lete formula ya bouyant force uliyoitaja kama kweli wewe hujakariri.
Unakimbilia vitu usivyoviweza, na nilikuwekea mtego mpaka umenasa๐๐
Hahh,sasa nimenasa na nini hapo?
Naweza nikakuwekea hiyo formular na isimaanishe kwamba Mimi nimekubali gravity kuwa included ndani yake.
Fb= ฯรVรg
Formula hiyo hapo sasa,.. kwahiyo ndiyo mtego ulioweka,umetiki?
Ni nini kimesababisha according to you??Mtu aliyekariri gravity,..hata akitema mate yakidondoka chini atasema gravity ndiyo imesababisha.
This is insane.
๐๐ Si bouyancy anasema.Ni nini kimesababisha according to you??
Duu boyake ndio nini tena๐๐ Si bouyancy anasema.
Hii hapa Fb= ฯรVรgDuu boyake ndio nini tena
๐Hii hapa Fb= ฯรVรg
Anasahau hapo pia Kuna gravity๐
wewe usiwe kama nguruwe bana,nisiediti nilipokosea kuandika gravity nikaedit huu utumbo wako!!!!!Acha kukurupuka,..ame edit huyo baada ya kuona kujichanganya.
Watu wa Impossi-ball ๐ mna matatizo...
Si utakuwa unatumia makalio kufikiri,Hahh,sasa nimenasa na nini hapo?
Naweza nikakuwekea hiyo formular na isimaanishe kwamba Mimi nimekubali gravity kuwa included ndani yake.
Fb= ฯรVรg
Formula hiyo hapo sasa,.. kwahiyo ndiyo mtego ulioweka,umetiki?
mkuu wewe una ugomvi wa uke wenza na sayansi,hakuna hoja kabisa katika maandishi yako.Hahh,sasa nimenasa na nini hapo?
Naweza nikakuwekea hiyo formular na isimaanishe kwamba Mimi nimekubali gravity kuwa included ndani yake.
Fb= ฯรVรg
Formula hiyo hapo sasa,.. kwahiyo ndiyo mtego ulioweka,umetiki?
๐๐mwenzetu yeye tu hataki kusikia neno gravity.Si utakuwa unatumia makalio kufikiri,
Sasa ulete formula ambayo Ina include gravity mwenyewe, alafu tena useme gravity haihusiki๐๐. Imbecile ignoramus.
๐๐mwenzetu yeye tu hataki kusikia neno gravity.
kinachotuuma kaanzia mbali ,anaumiza zaidi sababu inahitajika gharama kubwa kumfundisha.
anakwambia ndege anatengeza ngazi kwa mabawa ili apae,ila kasahau kwamba akiacha kutengeza ngazi anarudi chini akizipita hizo ngazi kama mshale๐๐๐