Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Nimeziundia formula wapi??

Unabishana na vitu ambavyo vimeshakuwa tested na vikaleta majibu sawia?

Nimekwambia gravity ni name given to a natural phenomenal. Kwahy wewe unaweza kuita jina lako lakin haitabadirisha kitu.
Narudia,. natural laws zinafanya kazi hata kama Dunia nzima hatutokaa na kuunda formular yoyote,..
 
Narudia,. natural laws zinafanya kazi hata kama Dunia nzima hatutokaa na kuunda formular yoyote,..

Nani kakataa?
Ila unakubali zinaweza kuundiwa formula? Na formula zikawa tested na accepted until itokee test ambayo itafail?
 
Si amekuacha tu na kiburi chako😄.

Kama wewe unajiweza nipe formula ya bouyant force😄😄
Mtu aliyekariri gravity,..hata akitema mate yakidondoka chini atasema gravity ndiyo imesababisha.

This is insane.
 
Mtu aliyekariri gravity,..hata akitema mate yakidondoka chini atasema gravity ndiyo imesababisha.

This is insane.

Jibu swali acha kejeli, nilisema nilete kejeli humu sidhani kama utashinda.

Lete hiyo formula ya bouyant force uliyoitaja hapo kama ww hujakariri.
 
Nani kakataa?
Ila unakubali zinaweza kuundiwa formula? Na formula zikawa tested na accepted until itokee test ambayo itafail?
Yap, zinaweza kuundiwa formula lakini hizo formula zinaweza kuwa na misconceptions ndani yake.

Kwa mfano gravity ni misconception Tu., kiuhalisia haipo.
 
Yap, zinaweza kuundiwa formula lakini hizo formula zinaweza kuwa na misconceptions ndani yake.

Kwa mfano gravity ni misconception Tu., kiuhalisia haipo.

Kivipi?
Lete formula ya bouyant force uliyoitaja kama kweli wewe hujakariri.

Unakimbilia vitu usivyoviweza, na nilikuwekea mtego mpaka umenasa😄😄
 
Yap, zinaweza kuundiwa formula lakini hizo formula zinaweza kuwa na misconceptions ndani yake.

Kwa mfano gravity ni misconception Tu., kiuhalisia haipo.

Unatakiwa ujue principle za sayansi.

Observed phenomenon zinatengenezewa hypothesis, zinafanyiwa experiment, zinakuwa test again and again Ili kuzi disproof Wala sio kuziproof na Wala hatutumii the same way aliyotumia aliyefanya experiment. if results zitaendana na majibu ya awali zinakuwa accepted.
 
Kivipi?
Lete formula ya bouyant force uliyoitaja kama kweli wewe hujakariri.

Unakimbilia vitu usivyoviweza, na nilikuwekea mtego mpaka umenasa😄😄
Hahh,sasa nimenasa na nini hapo?

Naweza nikakuwekea hiyo formular na isimaanishe kwamba Mimi nimekubali gravity kuwa included ndani yake.

Fb= ρ×V×g

Formula hiyo hapo sasa,.. kwahiyo ndiyo mtego ulioweka,umetiki?
 
Acha kukurupuka,..ame edit huyo baada ya kuona kujichanganya.


Watu wa Impossi-ball 🌍 mna matatizo...
wewe usiwe kama nguruwe bana,nisiediti nilipokosea kuandika gravity nikaedit huu utumbo wako!!!!!

mbona unatumia akili vibaya sana mkuu??
 
Hahh,sasa nimenasa na nini hapo?

Naweza nikakuwekea hiyo formular na isimaanishe kwamba Mimi nimekubali gravity kuwa included ndani yake.

Fb= ρ×V×g

Formula hiyo hapo sasa,.. kwahiyo ndiyo mtego ulioweka,umetiki?
Si utakuwa unatumia makalio kufikiri,
Sasa ulete formula ambayo Ina include gravity mwenyewe, alafu tena useme gravity haihusiki😄😄. Imbecile ignoramus.
 
Hahh,sasa nimenasa na nini hapo?

Naweza nikakuwekea hiyo formular na isimaanishe kwamba Mimi nimekubali gravity kuwa included ndani yake.

Fb= ρ×V×g

Formula hiyo hapo sasa,.. kwahiyo ndiyo mtego ulioweka,umetiki?
mkuu wewe una ugomvi wa uke wenza na sayansi,hakuna hoja kabisa katika maandishi yako.

sasa hapa unabisha nini au umeamua kuwa kipofu???
 
Si utakuwa unatumia makalio kufikiri,
Sasa ulete formula ambayo Ina include gravity mwenyewe, alafu tena useme gravity haihusiki😄😄. Imbecile ignoramus.
😁😁mwenzetu yeye tu hataki kusikia neno gravity.

kinachotuuma kaanzia mbali ,anaumiza zaidi sababu inahitajika gharama kubwa kumfundisha.

anakwambia ndege anatengeza ngazi kwa mabawa ili apae,ila kasahau kwamba akiacha kutengeza ngazi anarudi chini akizipita hizo ngazi kama mshale😂😂😂
 
😁😁mwenzetu yeye tu hataki kusikia neno gravity.

kinachotuuma kaanzia mbali ,anaumiza zaidi sababu inahitajika gharama kubwa kumfundisha.

anakwambia ndege anatengeza ngazi kwa mabawa ili apae,ila kasahau kwamba akiacha kutengeza ngazi anarudi chini akizipita hizo ngazi kama mshale😂😂😂

Ameshakubali mara kadhaa hapa,
Maana alisema gravity is invisible force which is true😄
Akasema gravity huenda ipo.

Kwahy mpka hapo ameshakubali ila hataki kusema. Nadhani ulishawah kutongoza Shy girls,😄 hawasemagi nimekubali Ila vitendo tu utajua.
 
Back
Top Bottom