Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Tatizo lako husomi Bali unaleta ubishi tu hapo ulisoma na ukaelewa kweli?
hateeb10
 
Wao research zao ni kwa macho🀣
Tatizo wanafunga akili zao na conspiracy theories. Mtu hawezi kuelezea vitu karibu 10 ambavyo kimsingi vinaelezeka lkn Bado anakaza fuvu.

Unampa maelezo ya kutosha Bado anakaza kichwaπŸ˜€πŸ˜€
 
Reactions: Lax
Sasa imagine kama hii picha. Mtu unamwambia angalia orientation ya clouds hasa kivuli. Lakin Bado mbishi anakwambia ni illusionπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
hateeb10
Ukifungua akili yako utajifunza mengi.



View attachment 2934191
Kama hii ukiwaambia wachukue ndege wapige experiment hawataki, wasema kwa akili za kawaida tu, sasa za kawaida zipi 🀣. Mimi waje na experiment zao ntawasikiliza, ila waanze kuja na hizo tafiti, kitu nachojiuliza mimi kwanini hawataki tafiti hawa flat earthers hateeb10 emu toa majibu mkuu kwanini hamtaki tafiti?
 
Safi,. Kipindi Mpira unashuka chini Air resistance ipo kwenye downward direction ili kukamilisha kanuni yake ya Ku oppose motion of the object ambayo ilikua inaenda juu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3]jiheshimu we jamaa
 
Tusiende mbali,..hoja iliyopo ni kwamba:-

Nchi zote zipo above flat surfaced-plane(UNAKUBALIANA NA HILI?........hii ndiyo inasababisha Ndege zisizingatie kabisa the so called curvature of the earth,. Kwasababu it's just imaginary thing.


Nilishasema kwamba kwenye Piloting kuna assumptions mbili muhimu huwa zinafanywa:-
a. Non-rotating earth
b. Assumption that The Earth is flat.


Ungekua mwerevu ungejiuliza ni kwanini assumptions hizo zinawekwa?
 
Horizontally Gani unaongelea ww? Nimekwambia zina maintain altitude kwahy automatically zinafata curvature ya dunia. Sijui huwa unaangalia ndege inavyopita mpka Inapotea kweli?
Ndege hazifuati curvature Kwa kuwa haipo,...ingekua zinafuata curvature,basi kwenye elimu ya Piloting kusingekua na assumption ya kwamba dunia ni "Flat"

Nchi zote zinaishi juu ya uso wa Dunia,..hata hili unashindwa kuelewa?,.tena unaweza ukatafiti na kuthibitisha mwenyewe..


Why do you fail to grasp this simple logic?πŸ™ŒπŸΌ
 
Okay,. unakubali kwamba Ndege ziki maintain altitude yake zitashindwa kutua nchi ambazo zipo below the imaginary curve?

By maintaining it's altitude,.Ndege haitoweza kamwe kutua Madagascar ikiwa inatokea kwenye Nchi zilizo North mfano Canada,.πŸ‘‰πŸΌπŸŒ


Ukija hapa anthony_art utuambie....ikiwa Ndege inatokea Canada kisha ika maintain altitude itaweza kutua nchi zilizo Kusini mwa Tufe linalozunguka kama Madagascar???!
 
Tafiti zinafanyika na ndiyo zinawapa watu ujasiri wa Ku question uongo ulioenea kwenye vichwa vya watu.
 
Unajua maana ya altitude kwanza?
 
Reactions: Lax
Kwahy unamajibu yako?πŸ˜€πŸ˜„ Na umeshindwa kujibu hoja zaidi ya sabaπŸ˜€πŸ˜€.

Fungua fuvu lako utaelewa. Ndo maana unalazimisha mass iwe force,
 
Kama Dunia ingekuwa flat ndege zisingekuwa zinatumia altimeter kuadjust altitude, sidhan kama unajua maana ya altitude
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…