Chini ni earth's surface juu ni earth's sky.Na sehemu ya chini inaitwaje??
Maama inaonekana jua huenda juu angali kisha huingia chini ili kuibuka tena kesho asubuhi.
Mirage ina namna yake kaka,huwezi kurupuka tu umeshiba viazi unaita chochote tu ni mirage.Wala sio theory yangu ni vile tu huna exposure,...Nenda kasome kitu kinaitwa "Mirage" ukirudi hapa utakua umeelimika.
Wala sio theory yangu ni vile tu huna exposure,...Nenda kasome kitu kinaitwa "Mirage" ukirudi hapa utakua umeelimika.
Ahaaaa.Chini ni earth's surface juu ni earth's sky.
Ndio maana nikakuomba animation ya kunielewesha movement ya jua kuizunguka dunia,umegoma.NB:- Jua huwa haliendi chini wala juu...ni ujinga(sorry sana🙏🏼) kusema Jua linaenda juu na chini, wakati hapo hapo unakubali NASA wanaposema lipo umbali wa 93 Million from earth.....sasa hujiulizi kama object iliyo umbali huo kwenda juu na chini ya Dunia ni impossi-ball??!
Ndio usome kwa umakini uone kama kuna neno "hakuna taasidi wala mtu anayesema hajui nyota zinajongeaje"
Ok. Hili rufu ni flat kama dunia?Yap,. sahihi.
Sasa mbona unasema NASA wamesema 93Milliom from Earth halafu kwenye kujiuliza unasema kwenda juu? Kwani NASA walisema ni 93Mill from Earth North?Chini ni earth's surface juu ni earth's sky.
NB:- Jua huwa haliendi chini wala juu...ni ujinga(sorry sana🙏🏼) kusema Jua linaenda juu na chini, wakati hapo hapo unakubali NASA wanaposema lipo umbali wa 93 Million from earth.....sasa hujiulizi kama object iliyo umbali huo kwenda juu na chini ya Dunia ni impossi-ball??!
Anga hatuwezi kusema specifically ina umbo gani since yenyewe as we know ipo intangible. We cannot hold or touch the sky in a solid way.Ok. Hili rufu ni flat kama dunia?
Labda nikuulize wewe NASA waliposema Jua lipo umbali wa Miles 93 Million,...walimaanisha from East, North,. South au West?Sasa mbona unasema NASA wamesema 93Milliom from Earth halafu kwenye kujiuliza unasema kwenda juu? Kwani NASA walisema ni 93Mill from Earth North?
Huwa mnasema nyota, Jua vipo karibu tu na ni ndani ya Dunia... kweli au si kweli ?Sasa Mimi na wewe nani mpumbavu hapo?
Anaekiri kwamba elimu hiyo haipo anakuaje mpumbavu, wakati elimu hiyo ni kweli kabisa haipo?
Sasa nani asiejua kama Nyota zipo mbali,..au unamaanisha nini hapa?
Hamtumii ufikiri,Kuruhusu wengine wafikirie on your behalf ndiyo imepelekea uione Dunia ni ndogo......kumbe ungeruhusu akili yako ifikirie on it's own ungejua kama Dunia ni kubwa kiasi ambacho hata Jua ni sehemu ya Dunia,...yaani Jua, Mwezi na Nyota nyingine ni lighting objects ambazo zipo ndani ya Anga la Dunia!
But,.Hii ni mpaka ufikirie kwa kutumia akili yako..
Kwa hiyo hujui shape ya Anga? Okey, Anga ni sehemu ya dunia? Au dunia ni sehemu ya anga? Wakati unajibu usisahau kuwa umeshaniambia ni roof na hujui shape yake.Anga hatuwezi kusema specifically ina umbo gani since yenyewe as we know ipo intangible. We cannot hold or touch the sky in a solid way.
Kwenye space hakuna juu na chini. Kuna direction towards an object. Mfano, ukienda 93Mill Miles towards Sun utalifikia.Labda nikuulize wewe NASA waliposema Jua lipo umbali wa Miles 93 Million,...walimaanisha from East, North,. South au West?
NB:- Niliyemuuliza ndiyo alisema Jua linaenda juu na chini,. ndiyo nikasema hiyo haiwezekani Kwa Jua lililopo umbali wa 93 million miles kutoka Duniani.
Yes,Mimi sifahamu....wewe unavyofahamu anga ina shape gani?... Wakati unajibu kumbuka sio tangible object.Kwa hiyo hujui shape ya Anga? Okey, Anga ni sehemu ya dunia? Au dunia ni sehemu ya anga? Wakati unajibu usisahau kuwa umeshaniambia ni roof na hujui shape yake.
Kwa mfano kuanzia saa 2:30 usiku nikiwa Tanzania,...ili niende towards sun natakiwa nielekee direction ipi?Kwenye space hakuna juu na chini. Kuna direction towards an object. Mfano, ukienda 93Mill Miles towards Sun utalifikia.
Mm ndo sijui sasa nataka kuelewa logic yako hivyo nakuuliza.Yes,Mimi sifahamu....wewe unavyofahamu anga ina shape gani?... Wakati unajibu kumbuka sio tangible object.
Anga ni sehemu ya Dunia...
Ndiyo Dunia ni flat,...anga haina shape as it's intangible object,. Au hujui maana ya intangible ndugu yangu?Mm ndo sijui sasa nataka kuelewa logic yako hivyo nakuuliza.
Ok, Dunia ni flat, Anga ni sehemu ya dunia, hujui shape ya anga, sahihi?
Direction ya Jua lilipo, the fact kwamba hulioni inamaana halipo? Ukitumia hesabu za flat earth theory, unalifikiaje jua iwapo una vifaa vya kulifikia? Unasubiri mchana ukiwa unaliona?Kwa mfano kuanzia saa 2:30 usiku nikiwa Tanzania,...ili niende towards sun natakiwa nielekee direction ipi?
Jua ni sehemu ya anga au anga ni sehemu ya jua? Usisahau kwa anga kwako ni sehemu ya dunia na si dunia sehemu ya anga.Na, Je unajua kwamba Always Jua lipo above the earth's surface, and not otherwise? Yaani kimsingi Jua lipo juu ya uso wa Dunia.