Sawa,. Wamethibitisha vipiWalioandika wamethibitisha ndio wakaandika hayo hayajashushwa kutoka mbinguni. Kwahy hata ww kama unaweza kufanya Fanya.
Nadhani ukitaka maelezo yangu nijibu swali langu la awali kuwa je umesoma kuhusu Dunia duara au hujasoma? Kama umesoma why unaniuliza tena? Unanimock au? Kama umesoma sema wapi Kuna shida.Sawa,. Wamethibitisha vipi
shida ya akiki,...?PICHA PICHA PICHA ! mbona unakuwa na shida ya akiki mzee, ukiachana tu na kutumia scientific facts na laws of nature (ambayo pia ni uthibitisho tosha) picha zipo
Hizi ni katuni au Ndiyo Dunia?
Halafu tuendelee pale pale kwenye observation research yako uliyofanya nambie baada ya kuobserve na kutengeneza hypothesis what next ulifanya?Sawa,. Wamethibitisha vipi
Uthibitishiwe mara ngapi? Wewe unaepinga lete hoja za madai yako.shida ya akiki,...?
Ukiwa unaandika tuliza akili,......kama kweli una haraka thibitisha Dunia inazunguka chap tusipoteze muda,..au huwezi kuthibitisha?
Ni Dunia, unasemaje?Hizi ni katuni au Ndiyo Dunia?
Nimekupa uthibitisho wa kutosha kwenye comments zilizopita, nataka wewe apo ueleze flat earth imekaa vipi? Ni kwa jinsi gani dunia, mwezi na jua vimekaa, kipi kinamzunguka mwenzake or vyote viko stationary?shida ya akiki,...?
Ukiwa unaandika tuliza akili,......kama kweli una haraka thibitisha Dunia inazunguka chap tusipoteze muda,..au huwezi kuthibitisha?
Nilikuuliza ushawahi kufanya Observation?Kwani aliesema kafanya experiment Kwa observation ni Mimi ama niww?
umethibitisha kwamba Dunia inazunguka?Nimekupa uthibitisho wa kutosha kwenye comments zilizopita, nataka wewe apo ueleze flat earth imekaa vipi? Ni kwa jinsi gani dunia, mwezi na jua vimekaa, kipi kinamzunguka mwenzake or vyote viko stationary?
Nataka umodel jinsi flat earth ilivyo!
Naona unaruka njoo hapa π,, wewe uliefanya na umekiri hapa kuwa umefanya tuambie sio unanikwepaNilikuuliza ushawahi kufanya Observation?
Kama hujawahi kufanya observation yoyote ile kuhusu hiki unachozungumzia basi nadhani hustahili kuendelea na mjadala huu.
Karibu.
Acha kurudia maswali au unatatizo la kusahau? Pitia Uzi uone alivyokwambia.umethibitisha kwamba Dunia inazunguka?
Umethibitishaje?
Hahhh kwanini hutaki kujibu swali la observation uliyofanya wewe,...au unaogopa majibu ya tafiti yako yataenda kinyume na ulivyofundishwa?Napata vipi mimi majibu wakati experiment umefanya wwππ yaani kula ule ww halafu nishibe mm??
Jibu swali,....Ushawahi kufanya observation?Naona unaruka njoo hapa π,, wewe uliefanya na umekiri hapa kuwa umefanya tuambie sio unanikwepa
Usikwepe, kabla sijarudia maelezo. Toa hiyo model ya flat earth hapa kila mtu asikie mawazo yako. Tuambie mfumo wako umekaaje na uelezee hizo phenomenon kama kupatwa kwa mwezi kile kimvuli ni cha nini na kinatengenezwa vipi, tuelezee usiku na mchana, tuelezee kipi kinazunguka na kipi hakizunguki kwenye jua, dunia na mwezi kisha utuelezee kwa vioi dunia, jua na mwezi havianguki vinabaki kwenye position zake kwa model yako ya flat earth. Wacha kuruka rukaumethibitisha kwamba Dunia inazunguka?
Umethibitishaje?
Mimi nimekwambia nimefanya observation? Au ww ndo umesema? Me sijafanya tafiti wewe ndo umesema umefanya tafiti kwahy tupe majibu ulivyomaliza kuobserve unafanya nn next,Hahhh kwanini hutaki kujibu swali la observation uliyofanya wewe,...au unaogopa majibu ya tafiti yako yataenda kinyume na ulivyofundishwa?
Hajawahi kuthibitisha kwamba dunia inazunguka,...hawezi kuthibitisha anaogopa, hawezi kabisa kuthibitisha.Acha kurudia maswali au unatatizo la kusahau? Pitia Uzi uone alivyokwambia.
Kuobserve naobserve hata sasa, ila kufanyia utafiti Mimi Bado ila ww umeshafanyia utafiti kwahy tuendelee utuambie ulivyofanya utafiti mbn unaogopa utafiti wako?Jibu swali,....Ushawahi kufanya observation?
Kama hujawahi sitoona hoja ya kuendeleza mjadala,..maana itakua umekiuka misingi ya utafiti.
Karibu.
Wakati huo ww hujathibitisha kuwa Dunia haizinguki na ni tambarare?Hajawahi kuthibitisha kwamba dunia inazunguka,...hawezi kuthibitisha anaogopa, hawezi kabisa kuthibitisha.
abdulrahman Said Eti unaweza kuthibitisha pasina shaka yoyote kwamba dunia inazunguka?