Havivutwi chini,..bali vinaanguka chini kuvutwa na kuanguka ni vitu viwili tofauti.Hahahaπππππ tuseme upo sawa,
kwahy tukirudi kwenye kauli yako ambayo ulitaka uikatae πππ na saivi umekubali.
Kwahy unakubaliana namm vitu vyenye uzito vinatutwa chini?
Then,. tuambie wewe kwenye uhalisia ukinyanyua mguu mmoja juu unahisi mguu kuvutwa chini na kitu chochote, as compared na hiyo scenario ya kuvaa kiatu chenye soli ya chuma, then chini kuwe na sumaku? The celebrityHavivutwi chini,..bali vinaanguka chini kuvutwa na kuanguka ni vitu viwili tofauti.
Ngoja nikuulize swali,. Ukishika object yenye chuma ukaelekeza sehemu yenye sumaku,.. Utahisi kuvutwa si Ndiyo?
Au ukivaa kiatu chenye soli ya chuma, Ukinyanyua mguu mmoja then uweke sumaku chini yake, Utahisi kuvutwa si ndiyo?
Huko ndio kuvutwa sasa,..
Kuna kitu hakina uzito?? Kama hakipo hakiweZi kuvutwa, haibadirishi kuwa gravity(uvuto) ipoNilikuuliza uzito usipokuwepo gravity itakuwepo,?.............ukisema gravity itakuepo.
Itakuwepo hapa Duniani, uthibitisho ni jinsi ww unavyovutwa
Mbona unajichanganya ww?? Mwanzo umesema unavutia chini, saiv unakataaππHavivutwi chini,..bali vinaanguka chini kuvutwa na kuanguka ni vitu viwili tofauti.
Ndio,Ngoja nikuulize swali,. Ukishika object yenye chuma ukaelekeza sehemu yenye sumaku,.. Utahisi kuvutwa si Ndiyo?
Ndio,Au ukivaa kiatu chenye soli ya chuma, Ukinyanyua mguu mmoja then uweke sumaku chini yake, Utahisi kuvutwa si ndiyo?
Na ndio hivyo hivyo unavutwa na gravity,Huko ndio kuvutwa sasa,..
Nilisema uzito wa mzigo uliobeba ndiyo unakuvutia chini,.. sasa najichanganya wapi hapoMbona unajichanganya ww?? Mwanzo umesema unavutia chini, saiv unakataaππ
Sio kosa lako,.. kosa ni elimu uliyopatiwa.Na ndio hivyo hivyo unavutwa na gravity,
Force ya gravity inategemea uzito wa kitu, mass Kubwa nguvu Kubwa ya uvuto and vice versa.Then,. tuambie wewe kwenye uhalisia ukinyanyua mguu mmoja juu unahisi mguu kuvutwa chini na kitu chochote, as compared na hiyo scenario ya kuvaa kiatu chenye soli ya chuma, then chini kuwe na sumaku? The celebrity
Sasa hicho kitu kinawezaje kukuvuta ww? Na umesema uzito no internal force, na hapa unaonesha jinsi ilivyoathiri external environment???ππNilisema uzito wa mzigo uliobeba ndiyo unakuvutia chini,.. sasa najichanganya wapi hapo
ππππ Umeishiwa hoja Sasa naona!!Sio kosa lako,.. kosa ni elimu uliyopatiwa.
Hujajibu swali,..Force ya gravity inategemea uzito wa kitu, mass Kubwa nguvu Kubwa ya uvuto and vice versa.
Sasa wewe hauhisi huo mvuto kama wa sumaku Kwa sabab uzito wako ni mdogo kulinganisha na uzito wa Dunia.
Unlike sumaku, hapo unaongelea sumaku ambayo inakaribiana ukubwa na hiyo chuma hapo nguvu ya uvuto lazima iwe Kubwa.
Imagine Dunia iwe sumaku, halafu ww uwe chuma unadhani utavutwa Kwa Kasi kiasi hicho mpk uhisi??
hateeb10 hujasema mpk sasa hapa hatupo pamoja sehemu Gani, nakusubiriHatupo pamoja wapi kwenye hayo maelezo yangu
Sasa hujui kama internal force inaweza kuathiri external environment,.Sasa hicho kitu kinawezaje kukuvuta ww? Na umesema uzito no internal force, na hapa unaonesha jinsi ilivyoathiri external environment???ππ
ππHujajibu swali,..
Unataka jibu la aina Gani tena?? Na maelezo ni haya hapaππSasa wewe hauhisi huo mvuto kama wa sumaku Kwa sabab uzito wako ni mdogo kulinganisha na uzito wa Dunia.
Force ya gravity inategemea uzito wa kitu, mass Kubwa nguvu Kubwa ya uvuto and vice versa.
Imagine Dunia iwe sumaku, halafu ww uwe chuma unadhani utavutwa Kwa Kasi kiasi hicho mpk uhisi??
Mammamamaaaa!! Ndo maana nikakuuliza ni nini maana ya internal force??? Hujajibu.Sasa hujui kama internal force inaweza kuathiri external environment,.
Au hawajakufundisha kuhusu hilo?
Ni kweli sio kosa lako,.. bali uliyofundishwa ndiyo yamekuathiri.ππππ Umeishiwa hoja Sasa naona!!
Nimekuuliza unahisi gravity ikikuvuta? au Hauhisi?ππ
Unataka jibu la aina Gani tena?? Na maelezo ni haya hapaππ
Ukiona mtu anaishia Kwa maneno haya ujue Hana hoja tena!!Ni kweli sio kosa lako,.. bali uliyofundishwa ndiyo yamekuathiri.
Hauhisi!!Nimekuuliza unahisi gravity ikikuvuta? au Hauhisi?
Jibu,. direct ili nikuulize swali la msingi