Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Video yako ni computer generated haimaanishi kwamba uhalisia upo hivyo,....


NB:- Hata wewe ukiamua unaweza ukatengeneza video kama hiyo....
Ni mgumu sana kuelewa wewe, ( That's why nasema uelewa wako ni mdogo)

Kwani kuna sehemu nlikwambia hii ni video halisi ?
 
Ni mgumu sana kuelewa wewe, ( That's why nasema uelewa wako ni mdogo)

Kwani kuna sehemu nlikwambia hii ni video halisi ?
Hivi
1. Kati ya mtu anaetafuta ukweli juu ya maji kustick kwenye round-ball linalozunguka,... Na
2. Mtu ambae ameamini kuwa maji yanaweza kustick kwenye round-ball linalozunguka, simply Kwa kuwa ameambiwa hivyo na hawezi kuthibitisha.

Nani ana uelewa mdogo hapo?

Kwa mfano gravity wenzako wanaichukulia kama theory,..ila wewe una force kabisa, kila utakapokosa jibu unasingizia gravity (why usiseme Tu sijui currently?)

Nyie ndiyo wale mkiambiwa Mtu anatokana na kizazi cha Ape ancestors unakubali tu bila Ku reason Kwa kina,....

Ungekua mjanja labda ungesema Dunia ni 50/50 Tufe,...kuliko kuhitimisha moja kwa moja bila uthibitisho wowote.
 
Nyinyi ndio ambao mkiwa kwenye magari ikiwa kwenye speed kali mnaona miti ndio inakimbia πŸ˜… ( Jokes )
Okay. Lakini nyinyi ndio wale ambao meli ikiwa umbali fulani mnasema inaenda kwa kutumbukia kwenye curve! Jokes!
 
At some point humans were brainwashed into thinking "direct observation of our world via our senses" as being the stuff of illiterate peasants; whereas unprovable scientific dogma based on complex math was the Truth & the stuff of sophisticated, clever, educated intellectuals...
 
Kina nani huwa wanasema Gravity ni theory ?
 
Mkuu umetoa somo zuri, ila kwemye INTRO umenichanganya! Umewaponda wazungu na elimu waliyotuletea na wanavyoendelea kutudanganya na kutuficha mambo, wakati huo huo unatuelimisha kwa kutumia lugha, vyombo na elimu hiyo hiyo ya hao jamaa..!!
Me nadhani yuko sahihi. Coz hiyo lugha ndo inayo tumika sana
 
Kina nani huwa wanasema Gravity ni theory ?
Walio propose ndiyo wanasema hivyo, hata wewe naamini unafahamu kwamba gravity ni theory ila unataka kubisha tu,....

Ngoja nikuwekee ujikumbushe hapa...⬇️
Sir Isaac Newton proposed the theory of gravity in the late 17th century. His theory, outlined in his work "Philosophiæ Naturalis Principia Mathematica" (Mathematical Principles of Natural Philosophy), stated that every particle of matter in the universe attracts every other particle with a force directly proportional to the product of their masses and inversely proportional to the square of the distance between their centers.

Many scientists, including Edmond Halley and Robert Hooke, supported Newton's theory. However, there were critics, such as Gottfried Wilhelm Leibniz and some Cartesian philosophers, who questioned aspects of Newton's ideas, leading to debates and discussions within the scientific community during that time.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

mkuu nafurahi udadisi wako ila nikuombe kitu,iache huru akili huru yako usiifunge katika box lolote la ubishi ama ujuaji.hapa unataka kuibua ngazi nyingine ya darasa ambayo ni ngumu zaidi kwako kuielewa kama ya awali imekushinda(relativity),camera zilizoko space zinakimbia pamoja na dunia ktk miliki yake uelekeo mmoja kama ambavyo mimi nawewe hatuwezi kuona kama dunia inakimbia speed kubwa sana maana tuko ndani yake.

ushahidi kwamba dunia ni tufe ni dhahiri,tena sio mmoja lakini umeamua kuukataa makusudi,bila kutupa ushahidi wa dunia yako ya meza unayodai ndiyo halisi.

leo hii tukikuuliza antarctica na greenland ni upande upi wa eneo katika dunia yako ya meza sijui una majibu gani,embu jaribu kutuelezea.
 
Kuna wakati nilibahatika kwenda ng’ambo, nikiwa huko nyakati za jioni giza linaanza kutamalaki nikipiga simu Bongo naambiwa ni asubuhi jua linaanza kuchomoza
Nikipiga simu mchana naambiwa bongo ni usiku wa manane......... hii inawezekanaje kwenye dunia tambarare mkuu

Nipe elimu kidogo
 
Mkuu, akili yangu ipo huru na sijaifunga kwenye box la ubishi wala ujuaji,..kuna vitu jaribu kufanya observation wewe kama wewe achana na vyote ulivyofundishwa kisha tumia akili yako tu na utazame Dunia yetu hii,.....jiulize Kwa mfano ukitumia usafiri wa majini kuzunguka Dunia nzima,...Je utaweza kugundua any bend of water towards the curve of the earth? Kumbuka Inasemekana maji yanachukua karibia 71% ya earth's surface,...na kanuni ya maji haya bend na huwa yanatafuta horizontal level kama tuonavyo Kwa macho yetu,..Sasa, Je unaona horizontal level yoyote kwenye Tufe la aina hii➑️🌍?



Unasema camera zilizopo kwenye space zinakimbia pamoja na Dunia...... jiulize "Are there any unedited pictures & videos of Earth from space that show it as a Tufe"
kama zipo nionyeshe tuone jinsi Dunia Tufe linavyokimbia kwenye njia yake.


Dunia ukichunguza wewe mwenyewe utagundua kama haizunguki,....Kwa mfano watu wa Dunia Tufe wanasema mawingu yapo Attached na Dunia, hivyo Dunia na mawingu yanazunguka pamoja same direction,......Sasa wewe kama unapenda kudadisi chukua hata wiki dadisi mwenendo wa mawingu,..kisha njoo ulete majibu hapa kwamba Je, mawingu movements zake zinaendana na movement ya Dunia kama inavyoelezewa???!
 
Anhaa sawa,...Kwa observation ya macho yako utaona dhahiri kwamba Jua kwenye distance yake iliyopo haliwezi kuangazia Dunia nzima at once Kwa kuwa Dunia with reference to sun Kwa distance zao Dunia ni kubwa., observation hiyo ya macho yako pia inakuonyesha kwamba Jua linazunguka dunia na ndiyo maana Jua likiwa kwenye uso wa eneo fulani la Dunia,....eneo hilo lina experience Mchana and vice versa is true,.. Naamini umeelewa kwanini usiku na mchana hutokea kwenye dunia tambarare inayoshuhudiwa na macho yako kila siku unapoamka.

Kwa mfano,. Simama sehemu yenye Giza kisha chukua simu yako washa tochi(assume ndiyo Jua),...Then fanya kama unamulika eneo la chini(assume ndiyo earth's surface),,.......ukishafanya hivyo njoo utuambie umegundua nini? Kisha compare majibu yako na scenario ya Usiku na Mchana kwenye dunia tambarare.
 
Point yangu ni kwamba kama dunia ipo kama meza au sahani or whatever ila ipo tambarare

Kwanini haitokei wakati ambao jua likiwa chini ya dunia basi dunia yote isiwe giza hadi jua litakapo anza kuchomoza juu ya uso wa dunia?

Kwanini wakati wote lazima kuna sehemu katika dunia kunakua na jua la utosi?

Nipe darasa mkuu [emoji120]
 
Sawa,.. Kwanza nikuweke sawa kwamba hakuna wakati ambao Jua linakua chini ya Dunia..

Swali lako kwamba kwanini Dunia nzima haiwi Giza, Jibu ni kwamba,...Jua ndiyo linaizunguka Dunia hivyo eneo au upande fulani wa Dunia unapokua mchana (means, unaangaziwa na Jua) upande mwingine kwenye wakati huo uta experience Giza(yaani Usiku).

Na hiyo inatokana na ukweli kwamba Jua haliwezi kuangazia Dunia nzima at once,. kwakuwa Dunia with reference to sun Kwa distance zao Dunia ni kubwa sana.,





ili uelewe hivi vitu,...inakupaswa uweke pembeni kwanza yale ambayo tayari umefundishwa,.ili uruhusu akili yako ipokee kile ambacho macho yako yanaona!
 
Mfano anaokuelezea hateeb10 huu hapa, atakuja kuendelea kama una maswali zaidi mkuu.
 


Hii inaleta maswali mengi zaidi mkuu
 
View attachment 2891247
Hii inaleta maswali mengi zaidi mkuu
Yap kuwa na maswali mengi ni kitu kizuri,...lakini ushauri wangu usiwe distracted na hizo videos sana Kwasababu hiyo ni model tu imetengenezwa ili kuelezea possible movements of sun kwenye flat earth,......Nasema hivyo Kwasababu kwenye uhalisia huenda Jua halifanyi movement ambayo ipo the same Kwa 100% kama ilivyokua displayed hapo kwenye hiyo video........

Kitu cha uhakika ambacho Unaweza Ku observe Kwa macho yako ni kwamba:-
1. Jua linafanya movement(sio lazima movement hiyo iwe kama ilivyokua displayed kwenye hiyo video hapo juu)

2. Dunia ipo fixed imetulizana,.....unaweza ukachukulia mawingu kama reference point yako ili uthibitishe hili,... Kwa mfano movement ya mawingu Kwa kuwa yapo attached na Dunia kama wanavyosema theorist wa dunia tufe,.tunaweza tukajua movement ya Dunia kwa kuangalia movement ya mawingu...(Sasa fanya research hapo,.. utapata majibu).

3. Hamna curve yoyote inayothibitisha kwamba Dunia ni tufe,... Jiulize Tu Kwa level ya technology iliyopo tunashindwaje kujua exactly nchi au specific location ambayo kutokea hapo Dunia inaanza Ku curve?

4. Maji hayawezi kustick kwenye ball....na yapo level( chukulia ukubwa wa bahari na jinsi ilivyochukua eneo kubwa la Dunia lakini maji hayo yote yapo level kabisa...) Water never curves 🚫!!


NB:- Dunia Tufe 🌍 hata Mimi nilisoma kuihusu,.... Lakini kadri ninavyojaribu kufikiria akili inakataa kwa sasa until further notice.
 
Tarehe 9
sehemu
Tarehe 9 sehemu ya milky way galaxy ( hii yetu ) itaonekana kwa uzuri upande wa mashariki bila kutumia darubini.

Usikose kukaa nje siku hiyo ujifunze mambo mengi alafu tutakuja kuulizana maswali hapa.
 

Mkuu nimejaribu sana kuvaa viatu vya waamini dunia tambarare sijashawishika bado

Labda kabla hatujaanza kudadafua zaidi naomba kujua kwanini NASA wadanganye dunia? Nadharia ya dunia duara haikuanza na NASA ilianza na wagiriki kama sijakosea

Leo hii maasimu na maadui wakubwa kabisa wa USA kama Iran Korea ya Kim, Russia nk wote wanapeleka vyombo vya anga mbali na dunia, kwanini waendelee kuushikilia uongo wa NASA? Kwa maslahi gani
Kwasababu kimsingi hakuna kitu rahisi kama kuthibitisha dunia ni tambarare ina ukingo kuliko kuthibitisha dunia ni duara

Why akina China Iran Russia india Korea nk waangukie kuendelea kuidanganya dunia?

Tukitoka hapa ndio tuanze kujadili sasa
[emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…