Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Kwahiyo akili zako zinakwambia ratio yako na gari ni sawa na ile ha sisimizi na baloon🤣🤣🤣???

Hata chawa akiwa kichwani kwako hawezi kujua kama unatembea sababu ratio yenu na ukubwa na uzito imepishana mbali sana.
Kwahiyo kama Chawa hajui kama wewe unatembea ndiyo ajitungie tu kwamba unatembea? Bila kipimo chochote

Then,... una uhakika gani kama Chawa hawezi kuhisi mwendo wako...have you ever been within its senses, to come up with that conclusion?
 
Kwahiyo huo ulioweka hapo juu ndiyo uthibitisho usio na shaka kwamba Dunia inazunguka?
100%
Ukikubali kutumia akili yako ndiyo utajua kwamba kila nchi kuwa na hali yake ya hewa ni uthibitisho tosha kwamba Dunia ipo stationary,.. ingekua inazunguka kama ulivyodanganywa basi kusingekuwa na kitu kama climatic conditions .....hiyo pia ni ngumu kuelewa?
😁😁😁,wewe jamaa ni kiazi kikuu.
Hivi unafikiria unachokiandika kweli?....kwani huo mfano wa Sisimizi aliuleta nani kama si wewe?
hakuna mfano unauelewa wala picha au video,kila kitu unakataa.
Narudia tena,... Sisimizi (binadamu) Kwa kuwa hawezi kuona wala kuhisi mwendo wa Dunia basi hatakiwi tu kuwaambia Sisimizi wengine kwamba Dunia inazunguka,..
swala sio kuwaambia wenzie,swala ni kwamba ni kweli baloon linazunguka,aseme ama ake kimya bado litaendelea kuzunguka.
..Bali anatakiwa kuonyesha methodology na measurements alizotumia ili na Sisimizi(binadamu) wengine waweze kuthibitisha madai yake.
Wewe inabidi useme unataka zipi maana zote tumekuletea bado unakataa.
Wewe ukiambiwa zanzibar kuna punda halafu unabisha sababu hawawezi kuvuka maji,badala ya kwenda kutembelea uone kama wapo hayo ni matatizo yako,unabishia mazoea.

Tumeomba uthibitisho wa flat eath hakuna zaidi ya sarakasi.
 
Kwahiyo kama Chawa hajui kama wewe unatembea ndiyo ajitungie tu kwamba unatembea? Bila kipimo chochote
Chawa ndio wewe sasa,kwa sababu yeye hajui anakataa kama inatembea😁😁
Then,... una uhakika gani kama Chawa hawezi kuhisi mwendo wako...have you ever been within its senses, to come up with that conclusion?
Si ni hii ya mimi na dunia!!!

Umeshawahi kupanda ndege ikiwa angani ukaambiwa iko 1000k/h speed utakataa mpaka ujiue,sababu una reasoning kama ya chawa.
 
100%

😁😁😁,wewe jamaa ni kiazi kikuu.

hakuna mfano unauelewa wala picha au video,kila kitu unakataa.

swala sio kuwaambia wenzie,swala ni kwamba ni kweli baloon linazunguka,aseme ama ake kimya bado litaendelea kuzunguka.
Sasa ushasema Sisimizi hawezi kuona wala kuhisi mwendo wa Dunia,...hilo hitimisho kama Dunia inazunguka ametolea wapi?

Hili ni swali la msingi sana.. unless ujitoe akili au uwe hufikirii vizuri.



Wewe ukiambiwa zanzibar kuna punda halafu unabisha sababu hawawezi kuvuka maji,badala ya kwenda kutembelea uone kama wapo hayo ni matatizo yako,unabishia mazoea.

Tumeomba uthibitisho wa flat eath hakuna zaidi ya sarakasi.
Sasa Kwa mfano ulioweka hapo,..
Tuambie wewe ni kipimo gani umetumia kujua kama Dunia inazunguka? Kama ili kuhakikisha kwamba Zanzibar kuna Punda ni mpaka tuvuke maji twende,...basi pia ili kuhakikisha kwamba Dunia inazunguka ni mpaka tuwe na methodology ya kujua hivyo....la sivyo itakua kudanganyana tu hapa.

NB:- Wewe kukosa uthibitisho wa Dunia Tufe linalozunguka,. inaonyesha wazi kwamba Imani yako hiyo imetokana na kufuata mkumbo na sio akili yako binafsi.
 
Chawa ndio wewe sasa,kwa sababu yeye hajui anakataa kama inatembea😁😁

Si ni hii ya mimi na dunia!!!

Umeshawahi kupanda ndege ikiwa angani ukaambiwa iko 1000k/h speed utakataa mpaka ujiue,sababu una reasoning kama ya chawa.
Kwahiyo wewe ukipanda Ndege utakua hujui kama ina move wala huhisi chochote? Kama ni hivyo muone daktari.

Akili za wapi hizo?

Nimekuambia uthibitisho wa Dunia Kuzunguka,.umehamia kwenye Ndege and still it doesn't make sense.
 
Sasa ushasema Sisimizi hawezi kuona wala kuhisi mwendo wa Dunia,...hilo hitimisho kama Dunia inazunguka ametolea wapi?
Nimekwambia yeye kutohisi hakufanyi dunia kusimama,ndio maana nikakufananisha na chawa pale juu,kwamba sababu chawa hahisi chochote basi msimamo wake uwe wewe huwa umekaa sehemu moja.
Hili ni swali la msingi sana.. unless ujitoe akili au uwe hufikirii vizuri.
Wewe ndiye unajizima data makusudi kabisa.
Sasa Kwa mfano ulioweka hapo,..
Tuambie wewe ni kipimo gani umetumia kujua kama Dunia inazunguka? Kama ili kuhakikisha kwamba Zanzibar kuna Punda ni mpaka tuvuke maji twende,...basi pia ili kuhakikisha kwamba Dunia inazunguka ni mpaka tuwe na methodology ya kujua hivyo....la sivyo itakua kudanganyana tu hapa.
mfano wa punda umelenga wewe kutoka katika box la mtizamo wa mazoea,punda anaweza kubebwa,punda anawezakuwa aliumbwa hapo hapo zenji nk.
vipimo vya dunia kuzunguka nimekupa,sijui huoni??au unataka thermometre.
NB:- Wewe kukosa uthibitisho wa Dunia Tufe linalozunguka,. inaonyesha wazi kwamba Imani yako hiyo imetokana na kufuata mkumbo na sio akili yako binafsi.
Mimi nimekosa uthibitisho au wewe huutaki???
 
Kwahiyo wewe ukipanda Ndege utakua hujui kama ina move wala huhisi chochote? Kama ni hivyo muone daktari.
Ndio maana nikahoji kama umewahi,maana nilijua tu utakuja mzima mzima.

ukiwa ndani ya ndege ikiwa juu unakua unajua kwamba inakwenda ila huhisi kama inakwenda.
Akili za wapi hizo?

Nimekuambia uthibitisho wa Dunia Kuzunguka,.umehamia kwenye Ndege and still it doesn't make sense.
😁😁common sense is not common.
 
Inakuaje ukianza kutembea kutoka point A kwa mstari mnyoofu bila kurudi nyuma, utajikuta umeirua point A tena

Au

Ukianza kutembea kwa mstari nyioofu kutoka point A bila kurudi nyuma utakutana na point B ambayo ndio mwisho wa dunia ( edge of surface)
FB_IMG_17117224180714033.jpg
 
vipimo vya dunia kuzunguka nimekupa,sijui huoni??au unataka thermometre.

Mimi nimekosa uthibitisho au wewe huutaki???
Hakuna methodology wala kipimo chochote ulichoweka...unaleta hadithi tu ambazo hazina ukweli ndani yake na hatuwezi kuzitumia kama uthibitisho.
 
Kwahiyo kama Chawa hajui kama wewe unatembea ndiyo ajitungie tu kwamba unatembea? Bila kipimo chochote

Then,... una uhakika gani kama Chawa hawezi kuhisi mwendo wako...have you ever been within its senses, to come up with that conclusion?
Hivi chawa anajua dunia ni flat kama wewe?
 
Inakuaje ukianza kutembea kutoka point A kwa mstari mnyoofu bila kurudi nyuma, utajikuta umeirua point A tena

Au

Ukianza kutembea kwa mstari nyioofu kutoka point A bila kurudi nyuma utakutana na point B ambayo ndio mwisho wa dunia ( edge of surface) View attachment 2948879
Huo ni uongo😁😁 hakuna aliyewahi kufanya hivyo.
 
Nimejibu ujinga wake hauhusiani kabisa na movement ya dunia.
Vizuri.., kwanini awadanganye wenzake sasa kina mkorinto kwamba Dunia ina move wakati yeye Sisimizi hana kipimo na njia yoyote Ile ya kujua kama Dunia ina move?


Wenzake watamuamini vipi kwa maneno matupu,?
 
Vizuri.., kwanini awadanganye wenzake sasa kina mkorinto kwamba Dunia ina move wakati yeye Sisimizi hana kipimo na njia yoyote Ile ya kujua kama Dunia ina move?


Wenzake watamuamini vipi kwa maneno matupu,?
Hawatakiwi kumwamini wanatakiwa wakubali na wajue kwa kujiridhisha alichowaambia,swala la kumwamini ni kama wewe unalolitaka tufanye kuhusu madai ya dunia flat.

Yaani tukuamini tu sababu unabisha.
 
Back
Top Bottom