Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Waliopeleka vyombo anga la mbali sio NASA peke yao mkuu
Yapo mataifa kama Russia ambayo yanapingana kwa kila kitu na USA wasinge kubali kuendeleza uongo huu

Mimi mara zote kabla sijaingia kwenye huu mjada napenda kujua kwanza wewe unadhani kwanini NASA idanganye dunia? Kwanini itumie nguvu kubwa nmna hiyo kudanganya dunia?
Ni wakati gani dunia iligundulika ni duara? Na nani aligundua hivyo?

Tukijua sasa kwanini NASA wanadanga ndio tutakuja kuangalia uwezekano wa round au flat
Kujua umbo la Dunia sio lazima shirika au Taifa fulani likuambie....

In the first place,....wewe unaionaje Dunia? NI Tufe?

Linazunguka?

Ukiwa tu unategemea shirika au Taifa fulani likuambie,...that means umeiziba nafasi ya milango yako ya fahamu kutafsiri kile ambacho unaona, unahisi na kusikia kitu ambacho sio kizuri kabisa au naweza kusema ni misuse of resources.
 
Kujua umbo la Dunia sio lazima shirika au Taifa fulani likuambie....

In the first place,....wewe unaionaje Dunia? NI Tufe?

Linazunguka?

Ukiwa tu unategemea shirika au Taifa fulani likuambie,...that means umeiziba nafasi ya milango yako ya fahamu kutafsiri kile ambacho unaona, unahisi na kusikia kitu ambacho sio kizuri kabisa au naweza kusema ni misuse of resources.
Hao hao NASA wanakuambia planet zote zinazunguka jua ,zilikua sayari 9 mara zimebaki 8 Moja imepotea .... Sasa imepotea vp
 
Kujua umbo la Dunia sio lazima shirika au Taifa fulani likuambie....

In the first place,....wewe unaionaje Dunia? NI Tufe?

Linazunguka?

Ukiwa tu unategemea shirika au Taifa fulani likuambie,...that means umeiziba nafasi ya milango yako ya fahamu kutafsiri kile ambacho unaona, unahisi na kusikia kitu ambacho sio kizuri kabisa au naweza kusema ni misuse of resources.
Kaka, tatzo watu tunaamini sana tulichoambiwa shule kuliko tunavyofikiria
 
Kaka, tatzo watu tunaamini sana tulichoambiwa shule kuliko tunavyofikiria
Mkuu bado nasubiri sketch za jua, mwezi na dunia tunakataa kukaririshwa mashuleni kwa kujifunza kutoka kwenu weka sketch hizo
 
Mkuu bado nasubiri sketch za jua, mwezi na dunia tunakataa kukaririshwa mashuleni kwa kujifunza kutoka kwenu weka sketch hizo
N videos zaidi ya 50 za proof , ila Sina mbs za kuniwezesha ku share humu .... Zina mbs nying sana
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Mkuu bado nasubiri sketch za jua, mwezi na dunia tunakataa kukaririshwa mashuleni kwa kujifunza kutoka kwenu weka sketch hizo
Alafu why umeng'ang'ania sketch , kwanini usiwaze kama mtu huru ? Kwanini usifanye reasoning? Nmeuliza pia baadhi ya maswali Ili yakufunilie upeo wa kufikiria zaid lakin unavunga hauyaoni
 
Mkuu bado nasubiri sketch za jua, mwezi na dunia tunakataa kukaririshwa mashuleni kwa kujifunza kutoka kwenu weka sketch hizo
Siku ukiambiwa kua jua litapotea angani wewe si uta amini kisa umeambiwa na umepewa michoro kisa haujataka kushugulisha fikra zako
 
Alafu why umeng'ang'ania sketch , kwanini usiwaze kama mtu huru ? Kwanini usifanye reasoning? Nmeuliza pia baadhi ya maswali Ili yakufunilie upeo wa kufikiria zaid lakin unavunga hauyaoni
Sketch zenu zipo au hazipo?
 
Ukimaliza kuangalia hzo ,anza kujibu hoja zangu ndio tuendelee
20240413_115532.jpg
20240413_012142.jpg
20240413_030508.jpg
20240413_023828.jpg
 
Kujua umbo la Dunia sio lazima shirika au Taifa fulani likuambie....

In the first place,....wewe unaionaje Dunia? NI Tufe?

Linazunguka?

Ukiwa tu unategemea shirika au Taifa fulani likuambie,...that means umeiziba nafasi ya milango yako ya fahamu kutafsiri kile ambacho unaona, unahisi na kusikia kitu ambacho sio kizuri kabisa au naweza kusema ni misuse of resources.
Mkuu naomba usome kwanza quote uliyoni quote kisha naomba ujibu HOJA logically
 
Dunia haikugundulika duara Wala tufe ila iliamuliwa hvo kutoka roman empire kipindi hicho
Alafu kama unasoma biblia
Noah flood isingekua possible kama Dunia ni tufe ,Dunia isingejaa maji
NAWAKILISHA ,lakini pia naomba majibu ya maswali madogo madogo nilioacha ndani ya majibu yangu
Mkuu hebu tulia na usome kwa utuo
Sio Nasa pekee waliokwenda Anga za juu, wameenda mahasimu wao wakuu ambao wanapingana kwa kila kitu kama Russia na China, kwanini hawa nao wendeleze uongo wa NASA na kwa maslahi ya yapi?

Kuna maslahi gani haswa kudanganya dunia ni duara wakati wanajua ni flat

Tuanzie hapa kwanza
 
Waliopeleka vyombo anga la mbali sio NASA peke yao mkuu
Yapo mataifa kama Russia ambayo yanapingana kwa kila kitu na USA wasinge kubali kuendeleza uongo huu

Mimi mara zote kabla sijaingia kwenye huu mjada napenda kujua kwanza wewe unadhani kwanini NASA idanganye dunia? Kwanini itumie nguvu kubwa nmna hiyo kudanganya dunia?
Ni wakati gani dunia iligundulika ni duara? Na nani aligundua hivyo?

Tukijua sasa kwanini NASA wanadanga ndio tutakuja kuangalia uwezekano wa round au flat
Kaka ,kama Bado una amini kua mataifa makubwa duniani ni maadui basi Kuna kazi kubwa sana kukuelewesha ,ila Kwa ufupi Iko hivi
Nchi A atapita hku nchi B atapita huku ila lengo lao ni Moja
 
Kaka ,kama Bado una amini kua mataifa makubwa duniani ni maadui basi Kuna kazi kubwa sana kukuelewesha ,ila Kwa ufupi Iko hivi
Nchi A atapita hku nchi B atapita huku ila lengo lao ni Moja
Bado hujajibu swali
Kwanini waudanganye ulimwengu kuhusu shape ya dunia? Kwa maslahi yapi

Kama wewe unaamini Russia na USA ni kitu kimoja au USA na China ni kitu kimoja au USA na Iran ni kitu kimoja nitaheshimu mawazo yako

Sisi tujikite kwanza na motive behind huu uongo hadi mahasimu hawa wanakaa na kukubaliana kwa maslahi yapi?
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Ukisema kuhusu NASA kwanini wanaficha sana hizi ishu basi hapo tunarudi kwenye conspiracy theories
1. Wakisema Dunia ni flat basi Kuna sehem kubwa ya Dunia Bado haijafikiwa ambayo ni beyond Atlantic, expedition ya ku explore hizo sehem Iko banned Kwa ajili ya interest zao ( topic nyingine hio)
2. Unarud had Roman empire kama sikosei ,Kuna mfalme aliamuru Kila mtu aamini kua Dunia ni tufe ( biblical na political)
Nmekujibu hapa.... Alafu sijasema hayo mataifa ni kitu kimoja ila Wana serve purpose Moja
 
Mfano kwanini hatufeel movement yeyote ?
Nini source ya energy inayofanya Dunia ifanye rotation na iendelee ku revolve endlessly?
Jua ni main component kwenye solar system Kwa tulivo soma , je source ya mwanga kwenye sayari kama mars na Jupiter ni jua hilo Moja? Je sayari hzo nyingine Zina seasons au usiku na mchana ?
Ndio maana hii topic ni nzito na ngumu mno , kutype vitu vyote sio rahisi lakini jaribu kujenga hoja kuanzia hapo

1- Hatuwezi kufeel movement kwasababu speed ipo constant,

2-Source ya energy inayofanya rotation ya Dunia iendelee....Nadhani ungejiuliza kwanza wewe kwa nadharia yako ni source ipi ya energy inafanya Jua kuzunguka kama mnavyosema ?

3-Jibu ni ndio, Source ya mwanga kwenye sayari ya Mars na Jupiter ni Jua.
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Acha uongo bhana maelezo uyatolee wapi?

Hayo maelezo unayosema eti hatua Kwa hatua jinsi solar eclipse inavyotokea in short sina kama vile ambavyo wewe huna.

Kitu kidogo ambacho akili yako inashindwa kuelewa ni kwamba umbo la Dunia halihusiani kabisa na Eclipses,... yaani kimsingi hoja yako ni irrelevant ukipambana kukimbia hoja ya msingi Kwamba Dunia si Tufe na haizunguki kama ulivyoaminishwa bila ya ushahidi wowote.
Umeishiwa hoja, Unataka kubishana.
 
Flat earth sio nadharia..... it's a truly observable shape of the earth Tufe ndiyo nadharia.

animation hakuna,..... inaonekana upo affected sana na CGI's pamoja na katuni nyingine.
Acha siasa siasa, Kama majibu hauna nlisema ni bora uwe unasema.
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Ukisema kuhusu NASA kwanini wanaficha sana hizi ishu basi hapo tunarudi kwenye conspiracy theories
1. Wakisema Dunia ni flat basi Kuna sehem kubwa ya Dunia Bado haijafikiwa ambayo ni beyond Atlantic, expedition ya ku explore hizo sehem Iko banned Kwa ajili ya interest zao ( topic nyingine hio)
2. Unarud had Roman empire kama sikosei ,Kuna mfalme aliamuru Kila mtu aamini kua Dunia ni tufe ( biblical na political)
Kwa majibu haya maana yake ni kwamba HUJUI .........., Basi sawa tuendelee

Naamini unaujua vizuri “uongo” wa dunia duara
Sasa Tuanze na kipengele gani ili tukijadili unishawishi kuwa dunia ni flat?
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Back
Top Bottom