abdulrahman Said
JF-Expert Member
- Sep 11, 2019
- 719
- 952
Mtu ambaye hata kuandika Maarifa hawezi kila kitu ataona anaongopewa tu, sioni point ya kukueleweshaMi ni mmoja wa wanaoamini dunia ni tambarare duara. Maswali yako yote yana majibu.
Huwa nashindwa kuyajibu kwasababu moja kubwa, wengi wa wanaopinga huu uhalisia huwa hawapo tayari kujifunza au kutafiti wao binafsi kwakutumia maharifa yao au wanayoyapata, na hii inatokana na Elimu tuliyoipata juu ya umbo la dunia tangu utotoni tulipoanza kufundishwa mpaka tumekua,
so akili kubadilika kupitia huu uzi wenye elimu isiyofikia hata saa moja ni ngumu kupingana na elimu iliyotumia miaka katika kujifunza umbo la dunia.
Huu uzi ukiuchukulia kama sehemu yakutafakari upi ni ukweli hakika utaitafuta elimu yake na majibu ya maswali yako yote utayapata na utayahoji kulingana na usahihi wake, kinyume na hapo utaendelea kubishana mpaka mshindi apatikane na ndio maana kumewekwa hadi Kura ili kuwajua washindi na washindwa.
Kubwa la kuanza kujiuliza
. Je Ni Kwanini tumefundishwa juu ya Umbo la Dunia?
. Je Ni vitu gani tungefeli maishani kwasababu ya kutokujua Umbo la Dunia?
. Na mwisho Ni kwanini tuambiwe Jua limesimama ilhali tunaona linatembea kama Mwezi?
Wengi wanahoji ninnini sasa Sababu ya kudanganywa juunya Umbo la Dunia?
Jibu lake ni Somo lingine Pana zaidi na linalohitaji Utulivu Sana ili uweze kujua Vita vya Ulimwengu wa Kiroho. Na Silaha moja wapo ni Namna ya kumpotosha Mwanadamu juu ya Ukweli wa Uumbaji Wa Muumba vyote ambapo itamfanya mwanadamu awe mbali na Kumuamini Anepingana Nae.
"TUNAANGAMIA KWA KUKOSA MAHARIFA"