The celebrity
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 1,972
- 559
Jibu Kwa hoja acha kusema nimekariri, ulichoandika hapo mwisho umekielewa au umekopi na kupaste tu?Wewe umekariri vya kuambiwa ila kushughulisha akili yako hutaki,...yaani ingewezekana tuwe ana kwa ana kisha tuchukue Mpira nikuonyeshe physically & practically kwamba mpira una ukomo nadhani ungeacha ubishi usioingia akilini.
Tafakari,..