Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
We jamaa uchinjwe Xmass😀😀, yaani Ujinga ni kuamini Sayansi inapinga uwepo wa Mungu.
Wakati uhalisia ni kwamba sayansi inafocus na natural world, observation, experimentation, na evidence bila kujali kama hivo vitu vimeumbwa ama la!!

Wakati Vitabu vya Imani kama biblia na Quran vinaelezea uwepo wa nguvu iliyojuu kushinda vyote na iliyoumba vyote vilivyo katika ulimwengu.

Sasa mfano science inaongelea formation ya Dunia inatokana Bing Bang, we unaona hapo imepinga uwepo wa MUNGU? Singularity ilihitaji uwepo wa energy fulani Ili kuwezesha hiyo Bing Bang je kama ndio jinsi alivyoamua kuiumba Dunia hivyo?

Mfano mwingine ni Evolution na chimbuko la binadamu. Science imefanya tafiti zake Kwa kutumia data na mbinu za kisayansi Kwa kuangali mfanano wa DNA structure na mambo mengine.
Sayansi ilibaini Kuna uwezekano mkubwa kuwa binadamu na chimpanzee wanatokana na ancestor mmoja[Hominids Ancestor](common ancestor), na Wala sio kwamba tunatokana na chimpanzee. Sasa hapo imepinga wapi Uwepo wa MUNGU? Je kama Adam na Eva ndo hao Hominids?
upo mtupu hata kwenye hiyo Sayansi ya BingBang, hiyo energy inaelezewa hadi inapotokea au ilipotokea. si kwamba ni unknowing energy. na Mungu hajahusishwa. kila inapokosa chanzo Sayansi inaforce kua lazima kuna chanzo ambacho ni hiki. Kama ingeamini kuna Nguvu za Mungu tafiti zisingekuwepo maana hivyo vitabu vya Mungu vinathibitisha yeye Hatafitiki.

hao machimpanzee tumesoma walivyokua wanabadilika hadi kua binadamu, vipi muendelezo wake, umeishia wapi? na hadi wazungu wametokana na hiyo theory?

kuna natural things gani ambavyo havijaumbwa na vipo hapa duniani?
 
vizuri kama ulivyofundishwa au kwakutaka kufundishwa?
Sio kunifundisha au nilivyofundishwa, elezea ueleweke. Sasa kusema tu Jua ni dogo kuliko Dunia ndo inafanya hiki kitokee unaona umeeleweka? Tatizo lako unataka nionekane kama natafta ushindi Bali mm nataka uelezee ni kivipi kwenye umbo duara.

main-qimg-b87dbc2626b68231a38e35866a863761-lq.jpeg
 
hao machimpanzee tumesoma walivyokua wanabadilika hadi kua binadamu, vipi muendelezo wake, umeishia wapi? na hadi wazungu wametokana na hiyo theory?
Unaona hata hujui hiyo Theory!! Wapi sayansi inasema chimpanzee alibadirika akawa binadamu?
 
@hatreb NkumbiSon

Mkiweza kunijibu haya maswali mawili tu Kwa ufasaha ntaanza kuamini Kuna uwezekano wa Dunia kuwa tambarare.

1. Swali nililouliza awali kuhusu hii picha

main-qimg-b87dbc2626b68231a38e35866a863761-lq.jpeg


2. Uwepo wa Gravity, flat earhers wanapinga kuwa hakuna gravity na zaidi wanadai vitu vinafall Kwa sababu ya density Kwa maana ya kwamba chenye density Kubwa kitashuka chini na chenye density ndogo kitapanda juu that's right.

Swali langu: je ni nini kinaamua au ni force Gani unafanya kitu hicho(high dense) kishuke chini na sio pembeni(left or right) na Wala sio juu? Kwa maana sehemu zote hizo ni less dense ukicompare na hiyo object.
Mfano ukiweka kitu kwenye hewa hakikai hapo kitashuka chini(fall) kwann kisiende juu? Au kisiende pembeni(left or right) maana hata pembeni au juu ya hicho kitu Kuna air ambayo ni less dense pia?

Nikijibiwa haya maswali Kwa ufasaha Kwa Logic ntaanza kuamini kuwa Kuna uwezekano wa Dunia kuwa duara. Asante.
 
kwani wewe hiyo picha unaielewaje?
Naielewa kuwa Jua linaonekana half na half nyingine ikiwa behind the horizon kutokana na Dunia kuwa duara. Haya maelezo ni kutokana na nilivyosoma na kifundishwa na actually inamake sense.

So, nachotaka mnipe Elimu nyingine mliyonayo kwenye flat Earth. Nazani nimeeleweka unaweza kujibu swali sasa.
 
Sayansi ni Shetani maana inapingana na Uumbaji kwa sehemu kubwa.
1. Mungu aliumba Jua lizunguke tujue masaa, Sayansi Ikatengeneza saa kwahesabu za Jua ili tusiamini Kilichoumbwa na Tukiamini kilichotengenezwa.
Hata Mungu mwenyewe atakuwa anakushangaa!! Kabla ya kuwepo Kwa saa, watu walikuwa hawana system ya kujua saa Bali majira. Ila saa imeleta system ya namba mfano saa 2:45 huwezi kuijua Kwa kuangali Jua na hii imesaidia sana mfano unampango wa kuamka saa 9:15 usiku utaangalia GIZA? Ila ukiwa na saa ni Rahisi tu kujua.

Yaani kumgombanisha Mungu na Sayansi huo ni uchawi mkubwa sana. Sayansi sio Elimu inayohusu Imani ya aina yoyote, Bali ni elimu ya watu wote wanaoamini Mungu, wasioamini Mungu na wasioamini uwepo wa Mungu. Kwa sababu sayansi ni nature, the way vitu vipo na vinavyotokea bila kujali kuwa vilitengenezwa na MUNGU au lah! Zaidi sayansi itaangalia formation yake tu kama hicho kitu kimetengenezwa na vitu fulani na fulani basi.
 
Na shika hili, UJENZI WA SAFINA YA NUHU, umeaibisha Sayansi Uliyoisooma Darasani katika nyanja nyingi. Je Nuhu aliongozwa na Newton au na Mungu kuifanya safina ielee?
Tumeumbiwa maarifa na Mungu, Sayansi kupitia Shetani Ilichofanya ni kuyaandika tuu na watu kujipa sifa wao ndio wagunduzi.
Unastaajabisha sana!!! Kwahy Ili vitu vielee lazima Newton ausike? Au kabla ya Newton kuwepo vitu vilikuwa havifall down? Ni kivipi SAFINA iliaibisha Sayansi au inasupport sayansi?
 
Naielewa kuwa Jua linaonekana half na half nyingine ikiwa behind the horizon kutokana na Dunia kuwa duara. Haya maelezo ni kutokana na nilivyosoma na kifundishwa na actually inamake sense.

So, nachotaka mnipe Elimu nyingine mliyonayo kwenye flat Earth. Nazani nimeeleweka unaweza kujibu swali sasa.


 
Ndio nini hiki?
Humo kuna explanations nyingi sana ikiwemo illusionary effect inayokufanya uone as Jua linaibuka na kuzama kitu ambacho kinasababishwa na REFRACTION,.(Kasome zaidi,. naamini utaelewa).





The celebrity Can you take water and conform it into a ball that spins.......?
 
Humo kuna explanations nyingi sana ikiwemo illusionary effect inayokufanya uone as Jua linaibuka na kuzama kitu ambacho kinasababishwa na REFRACTION,.(Kasome zaidi,. naamini utaelewa).
Kwann usiexplain hapa? How refraction inafanya Jua lionekane half? Na Kwa madai ya flat earth mnasema Jua huwa linaenda mbali na ndio maana tunaona limepotea na kunakuwa usiku, sawa; lakini swali la kujiuliza tu kama ni kweli Jua linaenda mbali kwann lisipungue SIZE as we know kitu kikiwa mbali zaidi size yake inapungua lakini upande wa Jua halipungui size Bali linaonekana kinazama kama lilivyo Naomba maelezo hapa kusoma nimeshasoma.

main-qimg-b87dbc2626b68231a38e35866a863761-lq.jpeg

Picha: mfano wa Jua likionekana half

Na naomba majibu ya swali la pili pia.Asante.
 
Back
Top Bottom