Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Msimamo sio kukosea kitu alafu ung'ang'anie, Kwa mfano ww ulikataa hujasema uzito unavuta chini, nilipokuonesha uliposema umeparuka hujajibu Kwa uoga.
Nilichokisema mimi hakiharibu context ya hoja, ni kweli ukibeba vitu viwili vyenye uzito tofauti chenye uzito mkubwa kitakuelemea zaidi na kushuka chini compared na chenye uzito uzito mdogo.


Statement uliyotoa wewe ni mzizi wa hoja hii,..that's what makes the difference.
 
Wewe unaona ulikosea?

Mimi ndiyo nakufahamisha kwamba hukukosea,. ulikua sahihi Uzito ndiyo umebatizwa jina na kuitwa gravity,...
no uzito = no gravity.
Mimi ndio nilieandika na huna mamlaka ya kusema nilichosema si sahihi wakatm ndo nimesema.

Na nilichosahihisha ni kauli ya weight=gravity basiiiii

Hiyo kauli ya no uzito=no gravity ipo sahihi maana mm nimesema no gravity =no uzito,,
 
Nilichokisema mimi hakiharibu context ya hoja, ni kweli ukibeba vitu viwili vyenye uzito tofauti chenye uzito mkubwa kitakuelemeza zaidi na kushuka chini compared na chenye uzito uzito mdogo.


Statement uliyotoa wewe ni mzizi wa hoja hii,..that's what makes the difference.
Mbona umerekebisha????? Kuelemeza from kuvutia 😀😀
 
hateeb10
Mpaka Sasa napaswa nijipongeze sana, nimekuelimisha sana.😀😀

Nimekutoa kwenye upumbavu wa density uliokuwa unasema mpaka Sasa upo kwenye point ya weight na ume admit kuwa weight Ina ACT downward (hii nzuri sana).

Na umesema sababu ya weight ya kitu ku act in downward direction ni "NATURAL LAW" which is correct 💯,

ila tu unadai hiyo natural law sio FORCE, hapa sasa ndo Kunaugumu, science inakupa uwanja ww utuambie ni nini?

Einstein pia alikuja na hoja yake yenye mashiko zaidi akidai "GRAVITY is not a force" zingatia "GRAVITY is not a force"
Tofauti kidogo na madai yako unasema hakuna gravity, ila Einstein anasema gravity ipo ila sio force kama Newton alivyoelezea.

Kwann Einstein alisema GRAVITY sio Force? Nakuja kukupa elimu.

Nimeamka kudeal na vitu vidogo vidogo kwanza kabla ya kuanza kukuambia Dunia ni duara na inazunguka maana hutonielewa kama huelew vitu vidogo.
Naona unazunguka tu, je mpaka hapa k a haya maelezo tupo pamoja???
 
Kwanza kabisa, mass is always conserved( neither created nor destroyed) but it can be transformed to energy. so unaposema udestroy kitu(mass) unakosea.

Pili, nilikupa mfano wa sumaku, je ukiondoa chuma kisiwepo usumaku wa sumaku utakuwa haupo?

Tatu, kujibu swali lako; huwezi kuvuta kitu ambacho hakipo, kitu kisipokiwepo hakuna nguvu itakayotumika kuvuta, kwahy ukivuta "non existing thing" hakuna nguvu itakayokuwepo, ila haipotezi maana ya kwamba unavuta....
Niliposema ku destroy namaanisha kadri ninavyopunguza particles za kwenye object husika na uzito wa hiyo object utapungua,.. na ndiyo maana nikakuambia uzito ni internal force and not external.


Wewe umekaririshwa kwamba uzito ni external force,............ hizo formula zimewekwa ili kuifanya nadharia ya gravity ionekane legit while kiuhalisia hai play part kwenye hilo uzito wa kitu na wala haivuti vitu chini.
 
Mimi ndio nilieandika na huna mamlaka ya kusema nilichosema si sahihi wakatm ndo nimesema.

Na nilichosahihisha ni kauli ya weight=gravity basiiiii

Hiyo kauli ya no uzito=no gravity ipo sahihi maana mm nimesema no gravity =no uzito,,
Hahh mamlaka ninayo,.. nipo hapa kukuelimisha, sasa ukienda wrong kwanini nisikuweke sawa?
 
Niliposema ku destroy namaanisha kadri ninavyopunguza particles za kwenye object husika na uzito wa hiyo object utapungua,.. na ndiyo maana nikakuambia uzito ni internal force and not external.
Bado Niko pale pale na mfano wa sumaku japo unauruka hahaha😀.

Nilikwambia ukichukua chuma Cha 1kg ukaweka karibu na sumaku, halafu then hicho chuma ukakipungizia uzito mpk 200g je ni chuma Gani kitavutwa Kwa nguvu zaidi?? Chenye 1kg au 200g???

Unapopunguza particles kwenye hicho kitu unapunguza pia nguvu ya uvuto kwasabab gravity inavuta izo particles za hicho kitu, more particles uvuto zaidi few particles uvuto mdogo.

Ni sawa naww tu, kati ya kitu kizito na chepesi kipi utatumia nguvu Kubwa kukivuta??
 
Wewe umekaririshwa kwamba uzito ni external force,............ hizo formula zimewekwa ili kuifanya nadharia ya gravity ionekane legit while kiuhalisia hai play part kwenye hilo uzito wa kitu na wala haivuti vitu chini.
Sijakalilishwa Mimi, unajua maana ya internal force kwanza???
 
Hahh mamlaka ninayo,.. nipo hapa kukuelimisha, sasa ukienda wrong kwanini nisikuweke sawa?
Pinga kauli, nimerekebisha kauli yangu Pinga kauli yangu ya Sasa Kwa hoja Ili kuonesha kauli yangu ya awali ilikuwa sahihi
 
Bado Niko pale pale na mfano wa sumaku japo unauruka hahaha😀.

Nilikwambia ukichukua chuma Cha 1kg ukaweka karibu na sumaku, halafu then hicho chuma ukakipungizia uzito mpk 200g je ni chuma Gani kitavutwa Kwa nguvu zaidi?? Chenye 1kg au 200g???

Unapopunguza particles kwenye hicho kitu unapunguza pia nguvu ya uvuto kwasabab gravity inavuta izo particles za hicho kitu, more particles uvuto zaidi few particles uvuto mdogo.
Kwanza unajichanganya hata nikijibu swali lako utashindwa kupata kile ulichokusudia,... Labda nikukumbushe kwamba 1kg ni kubwa kuliko 200g.........rekebisha then uliza tena.
 
Kwanza unajichanganya hata nikijibu swali lako utashindwa kupata kile ulichokusudia,... Labda nikukumbushe kwamba 1kg ni kubwa kuliko 200g.........rekebisha then uliza tena.
😀😀😀😀 Ndo ilivyo hivyo hivyo usipaniki!!
 
Nilikuuliza uzito usipokuwepo gravity itakuwepo,?.............ukisema gravity itakuepo.


Tuambie itakuepo wapi,..na uthibitishe.

The celebrity
 
Back
Top Bottom