The celebrity
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 1,972
- 559
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli mfano wako haupo direct,,. ili tuseme beseni ni closed system inatakiwa hiyo system isiruhusu kiumbe chochote kutoka ndani ya Beseni hilo,.hateeb10
Au nikupe mfano lakin haupo direct sana, chukulia maji kwenye beseni, kitu chochote kilicho kwenye hayo maji(ndani) maana yake kipo kwenye closed system ya hayo maji, kikitoka nje ya hayo maji maana yake kimetoka nje ya system hiyo na kita experience halibya tofaut
Hapa still ChatGPT haijaelezea vizuri,. ishu ni kwamba object ambayo inaweza ku move away from earth's ground huwezi ukasema object hiyo ina move along with the Earth,...Maana hiyo object ikishajinasua toka kwenye ardhi ya Dunia hakuna namna unaweza kusema still hiyo object ina move together with the Earth.hateeb10
Unapochukulia maji kwenye beseni kama mfumo, unamaanisha kwamba unazingatia tu kile kinachotokea ndani ya beseni.
Ndani ya mfumo: Kitu chochote kilicho ndani ya maji (kama vile jiwe, samaki mdogo, au barafu) kiko ndani ya mfumo uliofungwa wa maji. Kitu hicho kinaathiriwa na maji na kinaweza kuathiri maji, lakini hakuna kitu kikubwa kinachoingia au kutoka nje ya mfumo huo (kwa mfano, hakuna maji mengine yanayoongezwa au kupungua kwa kiasi kikubwa).
Nje ya mfumo: Kitu kikiondolewa nje ya maji (kwa mfano, ukichukua jiwe kutoka kwenye maji), kinatoka nje ya mfumo uliofungwa wa maji na kinaanza kuathiriwa na mazingira mengine (kwa mfano, hewa, ardhi, au nguvu ya uvutano kwa namna tofauti).
Uhusiano na Dunia kama mfumo uliofungwa (kwa kiasi kikubwa):
Mfano huu unafanana na jinsi tunavyoichukulia Dunia kama mfumo uliofungwa (kwa kiasi kikubwa) kwa habari ya mata (matter):
Ndani ya mfumo wa Dunia: Vitu vyote vilivyo Duniani (ardhi, maji, hewa, viumbe hai) viko ndani ya mfumo huo. Mata huzunguka ndani ya mfumo huu (kwa mfano, mzunguko wa maji, mzunguko wa kaboni), lakini kiasi kikubwa cha mata hakitoki wala kuingia kutoka nje ya Dunia
Nje ya mfumo wa Dunia: Kiasi kidogo sana cha mata huingia Duniani kutoka angani (kama vile vimondo na vumbi la anga) na kiasi kidogo sana hutoka (kama vile gesi nyepesi kama hidrojeni na heliamu). Lakini kiasi hiki ni kidogo sana kulinganisha na mata yote yaliyopo Duniani, ndiyo maana tunasema Dunia ni mfumo uliofungwa kwa kiasi kikubwa kwa habari ya mata.
Kadri kiasi (Mass) cha vitu kinavyoongezeka ndiyo uzito unaongezeka kwasababu kila maada ina uzito na uzito unatengeneza force ndani yake,. sasa huo uzito ndiyo unasababisha msukumo ambao utaelekea downward mpaka pale ambapo utakutana na resistance ya object yenye uzito kuliko object husika,... Umeuliza kwanini hiyo movement iwe downward na si pembeni/Juu,.. ipo hivi kiasili Object yoyote Uzito wake upo relative na kitu kilichopo chini yake & that's why ikitokea kitu kilichopo chini kina uzito mdogo compared na object husika utaona Object yenye uzito mkubwa inashuka chini.,.😃😃, kwahy neno uvuto linakukera sanaa?? Haya uwingi wa kitu(mass) unasababishaje msukumo?? Na kumbuka Mass ni scalar quantity
Jibu lako la kwanza nitakuuliza swali lingine baadae ( nahifadhi )1. Mtu anaesema Dunia ni tofauti na vile tunavyoona ndiyo anatakiwa alete uthibitisho, Kwani wewe huoni kwamba Dunia ipo flattened & stationary? primarily huwezi ukasema Dunia sio flat wakati hicho ndiyo unachokiona mbele yako......
2. Hapana,.. Ninaposema Dunia ipo flattened namaanisha Dunia nzima na sio sehemu ndogo,.... miongoni mwa vitu vinavyoonyesha wazi kwamba Dunia ni flat ni jinsi Ndege zinavyosafiri horizontally kwenye anga cause Dunia ingekua sio flat hata Ndege zisinge move kwa mtindo huo bali ungeziona ziki move vertically kuelekea destinations tofauti tofauti 🌎 .
Vikitoka nje ya beseni vinakuwa nje ya mfumo, huelewi nn??kwa mfano let's assume Beseni linazunguka,,.. ikitokea kuna viumbe ndani ya Beseni vina uwezo wa kuruka na kutoka nje kabisa ya Beseni hapo tunapata tafsiri zifuatazo 1. Movement ya hivyo viumbe itakua independent ya mzunguko wa beseni 2. Hivyo viumbe hatuwezi tena kusema vina move along na Beseni kwa kuzingatia kwamba beseni lipo open linaruhusu viumbe hivyo kutoka nje ya mfumo wake.
Sasa kwenye flat earth unaona hili linawezekana???😃😃A Great Circle route is the shortest path between two points on earth,.This path is commonly used in air and sea navigation to minimize distance and, as a result, save time and fuel.
Hivi unaposoma huwa unaelewaa???👇👇Hapa still ChatGPT haijaelezea vizuri,. ishu ni kwamba object ambayo inaweza ku move away from earth's ground huwezi ukasema object hiyo ina move along with the Earth,...Maana hiyo object ikishajinasua toka kwenye ardhi ya Dunia hakuna namna unaweza kusema still hiyo object ina move together with the Earth.
Lakini unatakiwa ujue Dunia ni kama closed system, gravity imeshikilia vitu vyote vilivyo ardhini mpaka kwenye atmosphere yake
Aina Gani ya force inayotengenezwa ndani ya matter? Na inatengenezwa vipi?Kadri kiasi (Mass) cha vitu kinavyoongezeka ndiyo uzito unaongezeka kwasababu kila maada ina uzito na uzito unatengeneza force ndani yake,.
??????sasa huo uzito ndiyo unasababisha msukumo ambao utaelekea downward mpaka pale ambapo utakutana na resistance ya object yenye uzito kuliko object husika,...
YessssssUmeuliza kwanini hiyo movement iwe downward na si pembeni/Juu,..
Hapo kwenye kiasili huna majibu??ipo hivi kiasili Object yoyote Uzito wake upo relative na kitu kilichopo chini yake
Uongo, nishawahi kukupa mfano fulani ntaurudia tena!!& that's why ikitokea kitu kilichopo chini kina uzito mdogo compared na object husika utaona Object yenye uzito mkubwa inashuka chini.,.
Still una lack of knowledge Kubwa sana, lakini naamini kupitia huu mjadala unaelimika sana, na nipo hapa kukupa elimu.Kwa mfano unaona vitu vyote vikianguka vikifika chini kwenye ardhi vinatulia,.wewe kwa akili yako utasema gravity ipo kwenye ardhi ndiyo maana ndiyo maana vinatulia,.. kumbe kiuhalisia hivyo vitu vimekutana na object yenye uzito mkubwa zaidi(ardhi)
ndiyo maana vinakomea hapo,.. siku Ikishuka Object yenye uzito mkubwa kuliko ardhi ya Dunia itaweza ku move even beyond ardhi ya Dunia au kusambaratisha kabisa Dunia.
So how the shortest path between two points can be attaining on a flat earth?A Great Circle route is the shortest path between two points on earth,.This path is commonly used in air and sea navigation to minimize distance and, as a result, save time and fuel.
Hiyo statement niliyo bold hapo juu,..umeielewaje? Ifafanue kwa kuzingatia kwamba ni scenario inayokua observed Jua linapokua umbali mrefu mpaka linapofika ile point tunayo term kwamba linazama/kuchomoza.PERSPECTIVE
Katika matumizi ya kawaida Perspective Refers to a point of VIEW or a way of looking things.
•Parallel lines appear to converge into the distance
hateeb10 Chosen Rich Poor Brain
Parallel line: two or more lines that are always the same distance apart and never intersect, even if they are extended infinitely in both directions.Hiyo statement niliyo bold hapo juu,..umeielewaje? Ifafanue kwa kuzingatia kwamba ni scenario inayokua observed Jua linapokua umbali mrefu mpaka linapofika ile point tunayo term kwamba linazama/kuchomoza.
Hiyo statement niliyo bold hapo juu,..umeielewaje?
Uwe unasoma👇👇Ifafanue kwa kuzingatia kwamba ni scenario inayokua observed Jua linapokua umbali mrefu mpaka linapofika ile point tunayo term kwamba linazama/kuchomoza.
👇👇VIPI KUHUSU JUA?
Katika mazingira ya kawaida huwa tuna observe wakati Jua 'linazama'wakati wa jioni au 'kuchomoza' wakati wa asubuhi.
Je huwa tunaona Jua likiwa na size ndogo?
👇👇Jibu ni hapana!!!! Tunaona Jua likichomoza likiwa na size Kubwa(Ile ile) kitu ambacho hakiendani na dhana nzima ya perspective kama FLAT EARTHERS wengi wanavyodai.
Perspective is how three-dimensional scenes are represented on a two-dimension surface and seen by the human eye.
•Closer objects appear larger than more distant objects.
•Parallel lines appear to converge into the distance