Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Hahahaa🤣🤣 ila unakubali kuwa mirage inafanya meli zionekane zipo juu na sio kama unavyodai ww ??
Mimi nimedai nini?
mirage inafanya Meli ionekane either juu/chini zaidi kuliko uhalisia wake,..... au sijasema hivyo?
 
🤣🤣🤣 Usiseme tumeelewa sawa, kwahy unamaanisha nitakachokielezea ndio naww unamaanisha hivo hivo??

Sasa ww unaona upo sawa?? Huoni kama unakuwa unaharibu dfn, dfn imesema kwenye sphere surface ww unakuja kusema hata kwenye flat surface🤣🤣

Kwani Kuna ramani ambayo sio flat 🤣🤣🤣 au upo uwezekano wa kuchora ramani Moja na ikaonesha mabara yote na hiyo raman isiwe flat???

Sasa hii sio maana ya great circle, na ndio maana nikasema we hujui maana ya great circle, mfano nilikuuliza swali👇👇
Huo msitari mwekundu ndio great circle na huo yellow ni rhumb line Sasa je ni route gan kati ya hizo zinaonekana ndefu katika hiyo picha?? Hukujibu🤣
View attachment 3198682

Hii sio maana ya great circle, hujasoma geametry na ndio maana huelewi
hateeb10 etiiii 🤣🤣
 
Rudi kwenye mada juu, ujibu maswali yote uliyoulizwa achana na hili tulio la picha ya fata morgana
Maswali yote nishamaliza,...

Hakuna hata moja linalothibitisha Dunia ni tufe na inazunguka,
Gravity tumekubaliana haipo,

Mjadala umeisha,..its all over!
 
🤣🤣🤣 Usiseme tumeelewa sawa, kwahy unamaanisha nitakachokielezea ndio naww unamaanisha hivo hivo??

Sasa ww unaona upo sawa?? Huoni kama unakuwa unaharibu dfn, dfn imesema kwenye sphere surface ww unakuja kusema hata kwenye flat surface🤣🤣

Kwani Kuna ramani ambayo sio flat 🤣🤣🤣 au upo uwezekano wa kuchora ramani Moja na ikaonesha mabara yote na hiyo raman isiwe flat???

Sasa hii sio maana ya great circle, na ndio maana nikasema we hujui maana ya great circle, mfano nilikuuliza swali👇👇
Huo msitari mwekundu ndio great circle na huo yellow ni rhumb line Sasa je ni route gan kati ya hizo zinaonekana ndefu katika hiyo picha?? Hukujibu🤣
View attachment 3198682

Hii sio maana ya great circle, hujasoma geametry na ndio maana huelewi
Sasa kama ramani unayotumia kuonyesha route husika ni flat,..kwanini unasema haiwezekani kwenye flat surface? just asking,
 
Umekubaliana na nani ?
Nimekubaliana na wewe pamoja na The celebrity kwamba:
1. Hakuna uthibitisho wa kwamba Dunia ni tufe na inazunguka (Nilisema ulete video na u zoom,...umeshindwa)

2. Gravity haipo,.. mtaalamu wa gravity Professor The celebrity kasema kwenye tafiti zake za kina hajawahi kuhisi akivutwa na gravity tokea azaliwe,..(Yaani anaisikia tu na kuisoma kwenye vitabu).
 
Nimekubaliana na wewe pamoja na The celebrity kwamba:
1. Hakuna uthibitisho wa kwamba Dunia ni tufe na inazunguka (Nilisema ulete video na u zoom,...umeshindwa)

2. Gravity haipo,.. mtaalamu wa gravity Professor The celebrity kasema kwenye tafiti zake za kina hajawahi kuhisi akivutwa na gravity tokea azaliwe,..(Yaani anaisikia tu na kuisoma kwenye vitabu).
Oh okay,

Nna swali hapa..Kwa nadharia yako ni nini chanzo cha kupwa na kujaa kwa maji kwenye bahari ?
 
Sasa kama ramani unayotumia kuonyesha route husika ni flat,..kwanini unasema haiwezekani kwenye flat surface? just asking,
Ndo nikakuuliza swali na huwa hukujibu! Kuna ramani ambayo unaweza kuichora na isiwe kwenye flat surface?? Na ikaonesha mabara yote🤣
 
Nimekubaliana na wewe pamoja na The celebrity kwamba:
1. Hakuna uthibitisho wa kwamba Dunia ni tufe na inazunguka (Nilisema ulete video na u zoom,...umeshindwa)
Maneno yako hayo
2. Gravity haipo,.. mtaalamu wa gravity Professor The celebrity kasema kwenye tafiti zake za kina hajawahi kuhisi akivutwa na gravity tokea azaliwe,..(Yaani anaisikia tu na kuisoma kwenye vitabu).
Siasa
 
🤣🤣🤣 Usiseme tumeelewa sawa, kwahy unamaanisha nitakachokielezea ndio naww unamaanisha hivo hivo??

Sasa ww unaona upo sawa?? Huoni kama unakuwa unaharibu dfn, dfn imesema kwenye sphere surface ww unakuja kusema hata kwenye flat surface🤣🤣

Kwani Kuna ramani ambayo sio flat 🤣🤣🤣 au upo uwezekano wa kuchora ramani Moja na ikaonesha mabara yote na hiyo raman isiwe flat???

Sasa hii sio maana ya great circle, na ndio maana nikasema we hujui maana ya great circle, mfano nilikuuliza swali👇👇
Huo msitari mwekundu ndio great circle na huo yellow ni rhumb line Sasa je ni route gan kati ya hizo zinaonekana ndefu katika hiyo picha?? Hukujibu🤣
View attachment 3198682

Hii sio maana ya great circle, hujasoma geametry na ndio maana huelewi
Hili swali hujibu kabisaa🤣🤣
 
Mimi nimedai nini?
mirage inafanya Meli ionekane either juu/chini zaidi kuliko uhalisia wake,..... au sijasema hivyo?
Swali langu ambalo hujajibu, kama ndivyo unavyodai, kwann hata kwenye bahari ambazo ni very cold Bado the same observation inaappear?? (Ship disappearing)
 
Nimekubaliana na wewe pamoja na The celebrity kwamba:
1. Hakuna uthibitisho wa kwamba Dunia ni tufe na inazunguka (Nilisema ulete video na u zoom,...umeshindwa)

2. Gravity haipo,.. mtaalamu wa gravity Professor The celebrity kasema kwenye tafiti zake za kina hajawahi kuhisi akivutwa na gravity tokea azaliwe,..(Yaani anaisikia tu na kuisoma kwenye vitabu).
Ulishatoka nduki

Maswali yamekuzidi uwezo
 
Back
Top Bottom