Siri kubwa ya wapemba na wachaga kumpisha Mkinga ni mkinga kuuza kwa faida ndogo, umoja, bidii, kuheshimu wateja na nidhamu ya matumizi ya fedha

Siri kubwa ya wapemba na wachaga kumpisha Mkinga ni mkinga kuuza kwa faida ndogo, umoja, bidii, kuheshimu wateja na nidhamu ya matumizi ya fedha

Wabena na wakinga ni kama hawana utofauti Sana wote wanamiliki uchumi mkubwa na familia bora
Mbena ndugu zake ni wahehe maana hata lugha hazipishani sana.

hao wabena nimekaa nao sana kuanzia kina mwajombe, lugenge, kivambe, n.k.

wabena wenyewe miji yao ya njombe na makambako, mkinga kameza hapo mbena anaangalia tu, kwa wabena labda ni dada zao tu wana sifa ya wife material, kwa biashara hapo ni mkinga.

ni vile tu kwa sasa mkinga kaja kwa kasi kwa hio wabena huwa wana tabia ya kujipendekeza sana kwa wakinga kwamba wao ni ndugu 😂😂.
 
Mbena ndugu zake ni wahehe maana hata lugha hazipishani sana.

hao wabena nimekaa nao sana kuanzia kina mwajombe, lugenge, kivambe, n.k.

wabena wenyewe miji yao ya njombe na makambako, mkinga kameza hapo mbena anaangalia tu, kwa wabena labda ni dada zao tu wana sifa ya wife material, kwa biashara hapo ni mkinga.

ni vile tu kwa sasa mkinga kaja kwa kasi kwa hio wabena huwa wana tabia ya kujipendekeza sana kwa wakinga kwamba wao ni ndugu 😂😂.
Huwezi kumlinganisha mbena na mhehe wabena wanamiliki biashara za Kati mhehe ni mgaya shida achana na wabena waliobakia huko njombe
 
Hii issue ni kama chadema na ccm lakini ccm si ndio iliyo tangulia na wameshika dola kwa hiyo chaga ni sawa ni ccm wameshika dola alafu wakinga ni chadema na makabila mengine ndio nccr mageuzi,tadea,uma,cuf,tlp, cc wazalendo n.k .Unapo mlinganisha mchanga na mkinga ujue mchaga ndiye ameshika dola. Kila taasisi ya serikali iwe shule hospital tra ,polisi ,uhamiaji ,jeshini ,bot ,bandarini ,maliasili , na n.k lazima awepo mchaga kwenye nafasi nyeti .
 
Wale ambao wakilewa wanakua malimbukeni ni Wabena au Wakinga?
 
Kuna siku natoka zangu Mbezi nimetoka mkoa Alfajiri nikapanda daladala naelekea Home kufika Tabata akapanda Mkinga kalewa full kuropokwa si akatoa burungutu lahela anawaonyesha abiria alafu anacheka Hahahaaa mm ndo mkinga bana sasa ole wake mtu aniibia nashuka Tabata Darajani mm siangaiki nae nakuua alafu nakufanya msukule nakueka kwenye Duka langu la kariakoo pale kazi yako kuita wateja Njoo njooo[emoji23][emoji23].

Wakinga na biashara zao namafanikio yao waacheni km walivyo[emoji38][emoji23][emoji1787]
Mkuu umeongea ukweli mtupu
 
Kuna siku natoka zangu Mbezi nimetoka mkoa Alfajiri nikapanda daladala naelekea Home kufika Tabata akapanda Mkinga kalewa full kuropokwa si akatoa burungutu lahela anawaonyesha abiria alafu anacheka Hahahaaa mm ndo mkinga bana sasa ole wake mtu aniibie nashuka Tabata Darajani mm siangaiki nae nakuua alafu nakufanya msukule nakueka kwenye Duka langu la kariakoo pale kazi yako kuita wateja Njoo njooo[emoji23][emoji23].

Wakinga na biashara zao namafanikio yao waacheni km walivyo[emoji38][emoji23][emoji1787]
Mimi ningeweza kumnyang'anya na asifanye kitu na akijaribu kufanya anaumia yeye vilevile; sema tu kuogopa kesi mahakamani. Si kila mtu anaweza kutishiwa nyau kwa uchawi
 
Nimezunguka siku 32 Tanzania nzima kwenye miji mikuu na midogo inayofikika kwa lami kasoro Kigoma na Kagera
Nilikuwa na Kampuni moja hivi ya nje kwenye reaserch flani

Na nikafanya reaserch ya siri mimi nilitaka nione kama ni kweli wachaga wamesambaa Kila mahali na wanafanya vizuri kuliko watu wengine Nikakuta sio kweli

1. Kariakoo. Nilikuta wamekutana na upinzani mkali wamezidiwa na Wakinga

2. Tanga , Lushoto na Handeni ...ni mchanganyiko Kila mtu anapambana
Kama lushoto wenyeji wako moto sana ndio wakulima wakubwa wa Matunda na mboga mboga na wasafirishaji pia.

3. Handeni ..Mchanganyiko kidogo ila nimeona mchaga mmoja ni Mama mwenye duka kubwa la agrovet ndio aliyechangamka pale wengine ni Mchanganyiko

3. Lindi. Kondeboys wanafanya vizuri na wabena ingawa huu mji nao sijakuelewa vizuri
Pamepoa sana.

4.Masasi. Pako vizuri sana. Wafanyabiasha wakubwa hapa ni wabena na Wakinga na Kondeboys kidogo wanajitahidi.

5. Mtwara yote hii Wakinga / Wabena

6. SONGEA. Wakinga/ wabena
Labda huyu mwenye La chazz night club
Sijamjua Challes Hilary ni kabila gani

7. Njombe. Wenyeji wako very active Wakinga / Wabena
Mahotel mazuri, lodges nzuri wanatawala vizuri
8. Makambako . Wahehe/ Wakinga

9. Iringa. Vile vile ila niliingia kwenye bar moja ya mchaga inafanya vizuri

10.Mafinga. Wakinga. Na ndio Fredy vunja bei amekita mzizi kama home na kuweka Chachu kwa vijana wengi

11. Mbeya . Changanyikeni wachaga wapo, wanyakyusa wapo wahehe , wabena, Kila mtu yupo huko

12. Tunduma. Wakinga / Wabena na Mchanganyiko

13. Sumbawanga. Hakuna bingwa biashara kubwa zimeshikwa na waarabu wa Tawakall
Hawa wenye Dew Drop Kampuni ya maji

14. Mpanda. Pamechangamka sana ila hakuna bingwa Kila mtu anagusa kidogo kidogo maendeleo yanakuja

15. Tabora. Mji mkongwe ....sijaona chochote kilichonivutia

16. Nzega. Lodge nyingi tu ..Na vijana wengi kutoka singida wanyaturu na wanyiramba ndio wapambanaji hapa

17. Kahama. Hapa ni amazing. Kila kabila lipo na Kila mchunguli fursa.
Nililala submarine hotel nikafeel kama Niko Arusha uchumi ni kunyang'anyana hakuja shujaa

18.Singida. Wachaga wamevamia kidogo kwa Kasi hata manyoni hapo wapo Nililala Narumu hotel ni ya mchaga

19.Dodoma.
Ngoma droo Kila mtu anazama pango jipya

20.Moro. Changanyikeni

Wacha nipumzuke kidogo nitarudi tumalizie ziwani.
Ukikuta sehemu mchagga, mhindi au mwarabu hawapo ujue mahali pale kuna kitu ambacho siyo kizuri kilishwakimbiza. Hawa watu ni symbol ya biashara hapa Tanzania. Mhindi na mwarabu wakati mwingine wao huwa wako selectivekidogo kwa mazingira lazima yawe yale ambayo ni ya mjini; wakati mchagga yeye hata kijijini utamkuta yupo, provided kuna biashara inayoendelea mahali pale.

Ukikuta mahali hawa watatu hawapo wakati sehemu hiyo ni centre ya biashara, jua kuwa mahali hapo kuna kasoro kubwa imepelekea wao kutokuwepo hapo. Mahali ambapo pana bisahara nzuri mchagga huwa hawezi kutokuwepo, na asipokuwepo ujue kuna shida kubwa!

Kwa hiyo mchagga ni indicator nzuri sana ya kukufanya uamue kukaa au kutokukaa sehemu, pale unapokuwa upo kwenye mkakati wa kutafuta sehemu ya kufanya kazi zako
 
Yani mbena utamjua tu kwenye hii mijadala, penye wakinga wanapenda juweka "wakinga / wabena" yani ukimkuta mbena atatumia nguvu kubwa sana ionekane mkinga na mbena ni kitu kimoja [emoji23][emoji23].

wabena waache starehe wafanye kazi aisee.

nipo mbeya huku nawajua wakinga na Dar naowajua ni wakinga, kuna wakunga sio awkinga / wabena [emoji23]
Haha ni kama wapare wanavyopenda kujiweka na wachaga yaani wanatembelea nyota za wachaga kisa tu wanatoka mkoa mmoja wakati tunajua wapare wabahili tu ila kwenye kutafuta pesa hawako vizuri sana. Bora mchaga mbahili ila kutafuta pesa anajua ila mpare mbahili na siyo mtafutaji kivile.
 
Nimezunguka siku 32 Tanzania nzima kwenye miji mikuu na midogo inayofikika kwa lami kasoro Kigoma na Kagera
Nilikuwa na Kampuni moja hivi ya nje kwenye reaserch flani

Na nikafanya reaserch ya siri mimi nilitaka nione kama ni kweli wachaga wamesambaa Kila mahali na wanafanya vizuri kuliko watu wengine Nikakuta sio kweli

1. Kariakoo. Nilikuta wamekutana na upinzani mkali wamezidiwa na Wakinga

2. Tanga , Lushoto na Handeni ...ni mchanganyiko Kila mtu anapambana
Kama lushoto wenyeji wako moto sana ndio wakulima wakubwa wa Matunda na mboga mboga na wasafirishaji pia.

3. Handeni ..Mchanganyiko kidogo ila nimeona mchaga mmoja ni Mama mwenye duka kubwa la agrovet ndio aliyechangamka pale wengine ni Mchanganyiko

3. Lindi. Kondeboys wanafanya vizuri na wabena ingawa huu mji nao sijakuelewa vizuri
Pamepoa sana.

4.Masasi. Pako vizuri sana. Wafanyabiasha wakubwa hapa ni wabena na Wakinga na Kondeboys kidogo wanajitahidi.

5. Mtwara yote hii Wakinga / Wabena

6. SONGEA. Wakinga/ wabena
Labda huyu mwenye La chazz night club
Sijamjua Challes Hilary ni kabila gani

7. Njombe. Wenyeji wako very active Wakinga / Wabena
Mahotel mazuri, lodges nzuri wanatawala vizuri
8. Makambako . Wahehe/ Wakinga

9. Iringa. Vile vile ila niliingia kwenye bar moja ya mchaga inafanya vizuri

10.Mafinga. Wakinga. Na ndio Fredy vunja bei amekita mzizi kama home na kuweka Chachu kwa vijana wengi

11. Mbeya . Changanyikeni wachaga wapo, wanyakyusa wapo wahehe , wabena, Kila mtu yupo huko

12. Tunduma. Wakinga / Wabena na Mchanganyiko

13. Sumbawanga. Hakuna bingwa biashara kubwa zimeshikwa na waarabu wa Tawakall
Hawa wenye Dew Drop Kampuni ya maji

14. Mpanda. Pamechangamka sana ila hakuna bingwa Kila mtu anagusa kidogo kidogo maendeleo yanakuja

15. Tabora. Mji mkongwe ....sijaona chochote kilichonivutia

16. Nzega. Lodge nyingi tu ..Na vijana wengi kutoka singida wanyaturu na wanyiramba ndio wapambanaji hapa

17. Kahama. Hapa ni amazing. Kila kabila lipo na Kila mchunguli fursa.
Nililala submarine hotel nikafeel kama Niko Arusha uchumi ni kunyang'anyana hakuja shujaa

18.Singida. Wachaga wamevamia kidogo kwa Kasi hata manyoni hapo wapo Nililala Narumu hotel ni ya mchaga

19.Dodoma.
Ngoma droo Kila mtu anazama pango jipya

20.Moro. Changanyikeni

Wacha nipumzuke kidogo nitarudi tumalizie ziwani.

Utafiti wako mzuri
 
Yani mbena utamjua tu kwenye hii mijadala, penye wakinga wanapenda juweka "wakinga / wabena" yani ukimkuta mbena atatumia nguvu kubwa sana ionekane mkinga na mbena ni kitu kimoja [emoji23][emoji23].

wabena waache starehe wafanye kazi aisee.

nipo mbeya huku nawajua wakinga na Dar naowajua ni wakinga, kuna wakunga sio awkinga / wabena [emoji23]

Mbena kwenye ramani ya biashara hayupo Tanzania huyu mbena hata kwa mkurya hagusi top three zangu wapambanaji ni Wachaga, Wakinga, Waha hao naona vinara lakini makabila yote wanapambana siku hizi hakuna alielala kuna Wandali huko mbalizi sio wakuwabeza, halafu na kuna Wanyantuzu wasukuma hawa wa bariadi wako kahama habari yao sio ya kitoto na wanyantuzu ndio wachimbaji wa dhahabu sana
 
Haha ni kama wapare wanavyopenda kujiweka na wachaga yaani wanatembelea nyota za wachaga kisa tu wanatoka mkoa mmoja wakati tunajua wapare wabahili tu ila kwenye kutafuta pesa hawako vizuri sana. Bora mchaga mbahili ila kutafuta pesa anajua ila mpare mbahili na siyo mtafutaji kivile.

Kabisa mpare anatembelea nyota ya mchaga sawa na watu wa singida wanyiramba na wanyituru wanavopenda kutembelea nyota ya watu wa Arusha au kujifanya wachaga tena nje ya singida ukimuita mangi mnyaturu anakupa chochote utachotaka, hii tabia ya kabila fulani kutembelea nyota ya kabila la mkoa mmoja lililofanikiwa naona ni uboya sana
 
Wakinga wanatumia kanuni za Wachina.
WACHINA wanaamini katika
1.Uza bei ya chini uuze mara nyingi upate faida nyingi.
2.Uaminifu na ushirika.
Mchina akipata tenda ugawa kwa Wachina wenzake yupo atakaepewa tenda ya maji, kokoto, vifaa vya ujenzi, tofali, umeme nk.
Wachina wakikuamini umetoboa. Ukiwa mwaminifu ni rahisi kukukopesha. Ukilipa gari moja cash lingine unapewa mkopo.

Mtanzania Katu hawezi endelea sababu hana uaminifu, uwaza kupiga tu ale leo.
 
Mimi ningeweza kumnyang'anya na asifanye kitu na akijaribu kufanya anaumia yeye vilevile; sema tu kuogopa kesi mahakamani. Si kila mtu anaweza kutishiwa nyau kwa uchawi
Mwee mwee acha mambo yako kwahiyo usingeogopa maana watu waliufyata nakubaki kucheka tena around milion au inakaribia anarudi kula bata.
 
Back
Top Bottom