THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Teh teh teh!
Hio inaitwa ukiskia Paaa! Ujue imempata.
Nimekuwekea wazi Huu utumbo wako Unajifanya Ati Umetunga! Tumbaff wahed.
Unadhani Mipasho hii uliozoe kwenye vijiwe vya bangi?
Shule hujaenda unadai Una kipaji!
Mwenye kipaji asie na Elimu Angejua siasa za Kimarekani bila Copy and paste?
We ndo nyapi kweli kweli.
Bahati mbaya una sura mbovu tu au mlevi Nicholas angebeba mazima.
Teh teh teh
Mkuu usikute huyu mtu kama padre matumbo au gwajima hawamuachi huyu...
Teh teh teh
Si unamuona anavyopenda penda vya bure??
Teh teh teh
Last edited by a moderator:
