mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
Nishakuta kesi sehemu Kuna Mzee wa watu miaka kama 60 hivi,,
Ni mgeni amekuja kutembea kwa ndugu,, akalala na vijana chumba kimoja,,
Mzee alipoona nii vijana wa miaka kama 22 akajiamini akalala na msuli..
Mzee asubuhi anashtuka anajikuta msuli upo kichwani halafu ameingiliwa ,,
Na wale vijana hawapo wameshatoka asubuhi Sana,
Mzee akaomba wale vijana waitwe aongee Nao,,vijana hawapokek simu.,.
Kila akiulizwa na wenyeji zake haelezi tatizo analia tu...yeye shida yake wale vijana 2 aliolala nao usiku.,
Mwishowe akaamua kufunguka yaliyomkuta,
Sometimes hawa Popobawa wanakuwa wachonganishi Sana,,
Sasa haikueleweka Mzee alitafunwa na nani? Popo Bawa au Popo nundu..Au wale vijana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni mgeni amekuja kutembea kwa ndugu,, akalala na vijana chumba kimoja,,
Mzee alipoona nii vijana wa miaka kama 22 akajiamini akalala na msuli..
Mzee asubuhi anashtuka anajikuta msuli upo kichwani halafu ameingiliwa ,,
Na wale vijana hawapo wameshatoka asubuhi Sana,
Mzee akaomba wale vijana waitwe aongee Nao,,vijana hawapokek simu.,.
Kila akiulizwa na wenyeji zake haelezi tatizo analia tu...yeye shida yake wale vijana 2 aliolala nao usiku.,
Mwishowe akaamua kufunguka yaliyomkuta,
Sometimes hawa Popobawa wanakuwa wachonganishi Sana,,
Sasa haikueleweka Mzee alitafunwa na nani? Popo Bawa au Popo nundu..Au wale vijana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]