Sisi ambao hatutekwi na Wahubiri Waongo wa Miujiza ndiyo hatuna Akili au waliotekwa nao ndiyo hawana kabisa Akili?

Sisi ambao hatutekwi na Wahubiri Waongo wa Miujiza ndiyo hatuna Akili au waliotekwa nao ndiyo hawana kabisa Akili?

Hiv hizo sadaka unazoongea hapa unajua ni sh ngap?
Kanisa zima lina watu zaid ya 1000 sadaka sometime haifik hata 3m au 2m...utasema si wanatoa zaka..michango mingne..jiulize hzo shule hospitali nchi nzima znajengewa matope..hayo makanisa yanayochomoza yanajengewa matope..huduma ya maisha kwa taasis ya kanisa inaendeshwa kwa matope...? Tho kuna hela inapigwa..ila sio kama huo upande wa pil ambako mchungaj ndio kila kitu na wana utajiri binafsi wa kukithiri na waumin wakitazama tu....

Unasema waumin katolik wanafaidika vip...umeonyesha ubinafsi wa hal ya juu hapa..na kanisa la kwel haliko hvyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sema Wewe sasa Umefaidika Vipi Na Hizo Sadaka na Michango unayotoa. Au kanisa Linajilimbikizia Mali na Maeneo ya Kuwekeza...

Je kanisa Lilishawahi kusema Basi Waumini 500 kila Mwaka Watapata Bima za Afya kwa Mwaka mzima. Maana Mnatoa Pesa Ila Mbona hazirudi kwenye Jamii husika Directly
 
Hivi siku hizi Wakatoliki wanagawiwa mali au pesa wakienda kanisani? Au katoliki hakuna sadaka mbalimbali?

Maana naona imetajwa kama wale wapenda kelele wao wana hasara sababu hata wakitoka kanisani, hukosa hadi nauli vile wamedondosha mapene kwa sadaka...
 
Sema Wewe sasa Umefaidika Vipi Na Hizo Sadaka na Michango unayotoa. Au kanisa Linajilimbikizia Mali na Maeneo ya Kuwekeza...

Je kanisa Lilishawahi kusema Basi Waumini 500 kila Mwaka Watapata Bima za Afya kwa Mwaka mzima. Maana Mnatoa Pesa Ila Mbona hazirudi kwenye Jamii husika Directly
Kiukwel kanisa la sasa limeingiwa na ushetan..kuna upigaj wa waz na usio wa waz..well...huku kwenye ukatolik kufaidika na sadaka zako physicaly kiukwel hakuna huo mfumo na haujawai tokea..labda ndo ujadiliwe...na kama ndo hvyo sasa kama usemavyo..manake ishu ya sadaka is wrong fro the begining of this new church..tofaut na mantik ya sadaka aliyoagiza mungu..yaan tumeanza kupigwa mda mref sana kama ndo hvyo kwamba lazima sadaka imfaidishe muumin..ila kama sivyo ..basi sjui nin kifanyike...ila sasa kwa wenzetu ni soo direct sana..yaan tunaziona sadaka nje nje zikinunua ma hammer na ma vx na mitume na manabii kujigamba..ila huku kwwnye ukaatolik..atleast tunaona shule. Hospital etc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenzako wapo hapa JamiiForums Kuchangia Mada mbalimbali na Kuonyesha Uwezo wao wa Akili Wewe Kutwa upo Kunishambulia tu GENTAMYCINE ambaye una Hasira Kali na Mimi baada ya Kukataa KUKUINGILIA KINYUME NA MAUMBILE baada ya Kunihitaji kwa muda mrefu.

Unajitahidi mno kuja na Multiple ID's zako hapa JamiiForums na Kunishambulia kwa kila namna ukidhani utanichafua au Kuushusha Umaarufu wangu ila kuna Kitu umesahau kuwa GENTAMYCINE ni Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer halafu Wakongo ( zamani Wazaire ) wameniongezea Jina lingine na sasa naitwa Le Ange Adorable ( Malaika Muabudiwa )

Na namalizia kwa Kusisitiza tena Kwako kuwa Mimi Michezo hiyo ya KUWAINGILIA KINYUME NA MAUMBILE WANAUME WENZANGU kama UTAKAVYO na UNISUMBUAVYO sina hivyo endelea Kuwashobokea Wanaume wengine hapa ili WAKUKANDE vizuri na uache Kunisumbua Mimi sawa?
Naona unanitafutia BAN,Maana unanijua vzuri.Nimewahi kukaa nje ya JF kwa mda wa wiki nzma (niliona kama mwaka)kwa sababu yako.Saivi ngoja nikae kmya kwanza
 
Kiukwel kanisa la sasa limeingiwa na ushetan..kuna upigaj wa waz na usio wa waz..well...huku kwenye ukatolik kufaidika na sadaka zako physicaly kiukwel hakuna huo mfumo na haujawai tokea..labda ndo ujadiliwe...na kama ndo hvyo sasa kama usemavyo..manake ishu ya sadaka is wrong fro the begining of this new church..tofaut na mantik ya sadaka aliyoagiza mungu..yaan tumeanza kupigwa mda mref sana kama ndo hvyo kwamba lazima sadaka imfaidishe muumin..ila kama sivyo ..basi sjui nin kifanyike...ila sasa kwa wenzetu ni soo direct sana..yaan tunaziona sadaka nje nje zikinunua ma hammer na ma vx na mitume na manabii kujigamba..ila huku kwwnye ukaatolik..atleast tunaona shule. Hospital etc

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio kitu cha kujiuliza kwa sasa. Upigaji umekuwa mkubwa na haumnufaishi muumini. Ukiacha Sadaka kuna michango mikubwa mikubwa zaidi ya Sadaka na Hairudi hata Asilimia 5 kwa Muumini wanajilimbikizia Mali na Utajiri kwa migongo ya Kusema Zinaenda kwa Mungu

Wakati tunajua Mungu ni Mkamilifu Haitaji Hayo
 
Kiukwel kanisa la sasa limeingiwa na ushetan..kuna upigaj wa waz na usio wa waz..well...huku kwenye ukatolik kufaidika na sadaka zako physicaly kiukwel hakuna huo mfumo na haujawai tokea..labda ndo ujadiliwe...na kama ndo hvyo sasa kama usemavyo..manake ishu ya sadaka is wrong fro the begining of this new church..tofaut na mantik ya sadaka aliyoagiza mungu..yaan tumeanza kupigwa mda mref sana kama ndo hvyo kwamba lazima sadaka imfaidishe muumin..ila kama sivyo ..basi sjui nin kifanyike...ila sasa kwa wenzetu ni soo direct sana..yaan tunaziona sadaka nje nje zikinunua ma hammer na ma vx na mitume na manabii kujigamba..ila huku kwwnye ukaatolik..atleast tunaona shule. Hospital etc

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi Ingekuwa Vyema. Kanisa Katoliki lishakuwa na Mizizi mikubwa Lina Miradi mikubwa Basi Waumini wake wangepewa Faida Zinazotoka Huko

Kanisa Lingekuwa linatoa Misaada Kwa Waumini wake hata Wazee Waliozeeka Wangepewa Kiinua Mgongo cha Kuwa Waumini mpka Wamezeeka Wakiwa Bado ni Wakatoliki. Ila Wapi wanaacha Mpaka Wanakufa Wanakuja Mapadri wanawazika Huku Wakiwa Masikini na Walilitumikia Kanisa Mpka Umauti umewakuta
 
Hata wewe kuna watu unawatajirisha. Kuna mdau (muumini mwenzako) kaleta uzi humu akilalamika vile vilivyopatikana kwa michango na sadaka visivyo wanufaisha nyinyi waumini.

Tueleze hizo shule,vyuo, hospital za kanisa ambazo zimepatikana na sadaka zako zinakunufaisha vipi wewe muumini tofauti na asiye muumini wa hilo kanisa au wewe kusali pamoja na CDF imetosha?
Swali la msingi Sana.
 
Hata wewe kuna watu unawatajirisha. Kuna mdau (muumini mwenzako) kaleta uzi humu akilalamika vile vilivyopatikana kwa michango na sadaka visivyo wanufaisha nyinyi waumini.

Tueleze hizo shule,vyuo, hospital za kanisa ambazo zimepatikana na sadaka zako zinakunufaisha vipi wewe muumini tofauti na asiye muumini wa hilo kanisa au wewe kusali pamoja na CDF imetosha?
Kuna Kanisa kila Wiki ya Jumapili tunatoa Mil 2,3 mpka 4 kama Sadaka hapo Achana Na Sadaka za Shukrani na Bahasha

Pembeni kuna Shule Wamejenga na Pembeni kuna Hospitali pia. Sasa Jipeleke Sema Mimi ni Muumini naomba Basi hata Katika Matibabu haya Nipate punguzo la Asilimia 10 ya Kumuona Daktari au Hata Asilimia 10 katika Ada. Hupewi halafu Kanisani wanakuambia Unampa Mungu

Tumepumbazwa Sana
 
Naona unanitafutia BAN,Maana unanijua vzuri.Nimewahi kukaa nje ya JF kwa mda wa wiki nzma (niliona kama mwaka)kwa sababu yako.Saivi ngoja nikae kmya kwanza
Sindano imeshapenya Mfupani Kwako!!!
 
Basi Ingekuwa Vyema. Kanisa Katoliki lishakuwa na Mizizi mikubwa Lina Miradi mikubwa Basi Waumini wake wangepewa Faida Zinazotoka Huko

Kanisa Lingekuwa linatoa Misaada Kwa Waumini wake hata Wazee Waliozeeka Wangepewa Kiinua Mgongo cha Kuwa Waumini mpka Wamezeeka Wakiwa Bado ni Wakatoliki. Ila Wapi wanaacha Mpaka Wanakufa Wanakuja Mapadri wanawazika Huku Wakiwa Masikini na Walilitumikia Kanisa Mpka Umauti umewakuta
Na saa nyingne wanagoma kuwazika sabab hawajaenda kwenye jumuia au kutoa zaka..hahaha..dini hizi aisee..sikuhiz kama hutoi zaka au kwenda kwenye jumuia huzikw na ibada wala padre haj na pia hufung ndoa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka 2013 nilichaguliwa chuo ngazi ya diploma, sikuwa na kitu, mimi ni Rc na baba angu ni mwenyekiti wa jumuiya tangu 1990 mpk leo nilimfuata ba paroko anipe msaada niliambulia laki moja tu kati ya gharama mil 1.5 zinazohitajika, nikaenda chuo na laki na nusu nikatimuliwa nikaja saidiwa na mama wa kiislam mppk nikamaliza chuo tangu hapo swez kushabikia udini maana najua ni tamaduni tu tumeletewa ila hakuna uMungu wala nn. Kilichoniuma parokia yng ni tajiri nadhani kwa mkoa hkn inayofikia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimwcheka sana, khaaah
 
Unawaona Walokole Wametekwa Na Muhubiri. Je hujuioni wewe Mwenyewe Umetekwa ila Kwa Njia za Upole. Mimi ni RC pia ila Kujivunia Bila RC ku affect maisha Yangu Moja Kwa Moja Sioni Umuhimu wake. Tumepotea Wote hakuna Mwenye uAfadhali wowote. RC wanamiliki maeneo kibao,Vyuo, Mahospitali n.k wakati Waumini wake pia ni Masikini wanarudi Nyumbani Bila Chochote

Utasema Bora hao wanatoa huduma. Ila Hizo huduma hazijalishi ww ni Muumini au si Muumini unatoa Kama Vile ni Mpagani tu wa Kawaida unatafuta Huduma
Wewe how do you log in na hii ID? 😂
 
Back
Top Bottom