Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe una uzoefu gani wa kumzidi Rais Samia?Samia ni Kiongozi ,kwanza mswahili, alafu akapata Washauri wabovuuuuu kwelikweli, wengi wa Washauri wa Samia, ni walamba Asali.
Huna akili kabisaMsaada wetu kwa uturuki umechelewa sana .. tunaanza kucheza wakati mziki umeisha ! Sisi hatutakiwi kutoa msaada wa kifedha kwa wale jamaa .. Bali tulitakiwa kupeleka kikosi Cha uokoaji kwenda kusaidia uokozi kwenye majengo yaliyoporomoka na kukalia watu!! Tulikuwa wapi kutoa msaada wa aina hii mapema? Mahitaji makubwa ya uturuki haikuwa fedha Bali vikosi vya uokozi
Hile hela ukifuatilia utakuta ni namna ya watu kupiga,pale wataalamu wa Money laundering wamepeleka fedha zaidi ya iyo Dola milioni moja na Balozi kaambiwa vijana watakuja kuzichukua!
Tanzania kusaidia Uturuki kifedha kweli???
Kikosi kipi cha uokoaji.... Au wangempeleka Majaliwa...!!Msaada wetu kwa Uturuki umechelewa sana, tunaanza kucheza wakati mziki umeisha!
Sisi hatutakiwi kutoa msaada wa kifedha kwa wale jamaa, bali tulitakiwa kupeleka kikosi cha uokoaji kwenda kusaidia uokozi kwenye majengo yaliyoporomoka na kukalia watu.
Tulikuwa wapi kutoa msaada wa aina hii mapema? Mahitaji makubwa ya Uturuki haikuwa fedha, bali vikosi vya uokozi.
Hayo ni maoni yako ya kibinafsiMsaada wetu kwa Uturuki umechelewa sana, tunaanza kucheza wakati mziki umeisha!
Sisi hatutakiwi kutoa msaada wa kifedha kwa wale jamaa, bali tulitakiwa kupeleka kikosi cha uokoaji kwenda kusaidia uokozi kwenye majengo yaliyoporomoka na kukalia watu.
Tulikuwa wapi kutoa msaada wa aina hii mapema? Mahitaji makubwa ya Uturuki haikuwa fedha, bali vikosi vya uokozi.
Dunia inaenda kasi sana, leo hii chadema hawaonekani tena kupinga serikali ila sukuma gang ndio wamekuwa wapinzani.Watu wa kundi lile wana roho mbaya na za kimasikini
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Roho za kimaskini eti sawa!Watu wa kundi lile wana roho mbaya na za kimasikini
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Kashiba githeri yupo hapa kututolea sulphur plus methane gas.Wewe una uzoefu gani wa kumzidi Rais Samia?
pengine tangu uzaliwe hujawahi kuongoza walau kikundi cha watu 10 hata kwny kuokota kuni lakini unajifanya mjuaji wa masuala ya kimataifa!
Wewe ndio labda umelewa mvinyo ya mfalme ila kiuhalisia umeelewa what I meanWangepeleka kikosi mngekuja na ngonjera zingine,watu kama wewe hua hamna jema PINGA PINGA FC
Hata wangepeleka kikosi cha uokoaji si ajabu ungeanzisha mada na kuuliza tumepeleka kikosi gani na tulishindwa kuokoa abiria kwenye ile ajali ya Ndege?
Mkuu, msaada unaweza kuwa wa hali, mali ama vyote viwili. Msaada hauna kipimo kwa mtoaji ama mpokeaji, kwani hutolewa kwa kadiri ya mtu anavyojiweza.Msaada wetu kwa Uturuki umechelewa sana, tunaanza kucheza wakati mziki umeisha!
Sisi hatutakiwi kutoa msaada wa kifedha kwa wale jamaa, bali tulitakiwa kupeleka kikosi cha uokoaji kwenda kusaidia uokozi kwenye majengo yaliyoporomoka na kukalia watu.
Tulikuwa wapi kutoa msaada wa aina hii mapema? Mahitaji makubwa ya Uturuki haikuwa fedha, bali vikosi vya uokozi.
Swali ni kwanini watu wangapi wangepona au wangeokolewa ikiwa tungetuma kikosi wakati ule ule kuliko kusubiri watu wamekufa shughuli imeisha ndio tunapeleka helaMkuu, msaada unaweza kuwa wa hali, mali ama vyote viwili. Msaada hauna kipimo kwa mtoaji ama mpokeaji, kwani hutolewa kwa kadiri ya mtu anavyojiweza.
Jambo jema limefanyika, na limepokelewa kwa mikono miwili kwa kuwa fedha zilizotolewa zitasaidia kufanyika kwa kitu fulani kwa wahanga. Ingalikuwa ni aibu kwa serikali kujikausha na kutokufanya kitu chochote kile.
Pesa zetu zenyewe tulizopeleka huko tumezikopa.Msaada wetu kwa Uturuki umechelewa sana, tunaanza kucheza wakati mziki umeisha!
Sisi hatutakiwi kutoa msaada wa kifedha kwa wale jamaa, bali tulitakiwa kupeleka kikosi cha uokoaji kwenda kusaidia uokozi kwenye majengo yaliyoporomoka na kukalia watu.
Tulikuwa wapi kutoa msaada wa aina hii mapema? Mahitaji makubwa ya Uturuki haikuwa fedha, bali vikosi vya uokozi.