Sisi hatukupaswa kutoa msaada wa fedha Uturuki, tulitakiwa kutuma kikosi cha uokoaji

Sisi hatukupaswa kutoa msaada wa fedha Uturuki, tulitakiwa kutuma kikosi cha uokoaji

Hongera sana Mama umeupiga mwingi mnooooo,
Yale maono ya Hayati Magufuli aliyosema Tanzania tunakwenda kua 'Dona Kantri' yanaanza kutimia, nani angedhani siku moja Tanzania yangu ingetoa msaada wa kifedha kwa Nchi kama Turkey? ila leo umetuthibitisha inawezekana,

Piga kazi Mama achana na maneno ya Pinga Pinga Fc

#Tanzaniaiposalamachiniyauongoziwamamasamia#
 
Mama Tozo kapeleka Rambi rambi , Sio Msaada wa uokoaji, Kwani Shida iko Wapi ¿
 
Uajabu huu hamkuuona wakati magufuli anauwa na kuteka wakosoaji?
Kama wasingekuwepo wakosoaji wakati huo basi watu wasingeuliwa ila walikuwepo wakosoaji wakati huo, na sasa hivi hakuna hayo mauwaji mnayodai yalikuwepo kipindi cha Magu ila wakosoaji pekee wa serikali ni sukuma gang tu basi.
 
Wewe elewa tu kuwa kwa sasa kama wasingekuwepo sukuma gang inchi ingekuwa haina wakosoaji wa serikali, ingekuwa nchi ya ajabu sana.
Leo ndio munaona umuhimu wa upinzani? Muli kuwa munawatwanga risasi hadharani wakina Lissu, kupoteza Sanane , Azory, kuteka ,kuua,kununua wapinzana feki n.k nyie mavi tuu
 
Leo ndio munaona umuhimu wa upinzani? Muli kuwa munawatwanga risasi hadharani wakina Lissu, kupoteza Sanane , Azory, kuteka ,kuua,kununua wapinzana feki n.k nyie mavi tuu
Ndio maana nimemuuliza huyo mpumbavu hapo juu
 
Leo ndio munaona umuhimu wa upinzani? Muli kuwa munawatwanga risasi hadharani wakina Lissu, kupoteza Sanane , Azory, kuteka ,kuua,kununua wapinzana feki n.k nyie mavi tuu
Sawa sie mavi ila ndio watu pekee tunao kosoa serikali sasa hivi.
 
Back
Top Bottom