Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani fedha za kwako? Msaada bado unahitajika licha ya kwamba tulichotoa ni mdogo sana.Msaada wetu kwa Uturuki umechelewa sana, tunaanza kucheza wakati mziki umeisha!
Sisi hatutakiwi kutoa msaada wa kifedha kwa wale jamaa, bali tulitakiwa kupeleka kikosi cha uokoaji kwenda kusaidia uokozi kwenye majengo yaliyoporomoka na kukalia watu.
Tulikuwa wapi kutoa msaada wa aina hii mapema? Mahitaji makubwa ya Uturuki haikuwa fedha, bali vikosi vya uokozi.
Changamoto ya kuwaza kwa kutumia tumbo badala ya kichwa! Ukishakuwa chawa, huwezi kuwa na ushauri wa maanaSamia ni Kiongozi ,kwanza mswahili, alafu akapata Washauri wabovuuuuu kwelikweli, wengi wa Washauri wa Samia, ni walamba Asali.
Hapo ndo unapokosea!Kwani fedha za kwako? Msaada bado unahitajika licha ya kwamba tulichotoa ni mdogo sana.
Aina ya mawaziri wake tu utajua aina ya raisi tuliokuwa naye mfano february na nepiSamia ni Kiongozi ,kwanza mswahili, alafu akapata Washauri wabovuuuuu kwelikweli, wengi wa Washauri wa Samia, ni walamba Asali.
Acha uchawa, fanya kazi halali, utaonekana tuWewe una uzoefu gani wa kumzidi Rais Samia?
pengine tangu uzaliwe hujawahi kuongoza walau kikundi cha watu 10 hata kwny kuokota kuni lakini unajifanya mjuaji wa masuala ya kimataifa!