Sisi hatukupaswa kutoa msaada wa fedha Uturuki, tulitakiwa kutuma kikosi cha uokoaji

Sisi hatukupaswa kutoa msaada wa fedha Uturuki, tulitakiwa kutuma kikosi cha uokoaji

Yani hata kuokoa tu watu kwenye ndege iliyodumbukia ziwani partially wameshindwa ndio hao ulitaka waende uturuki?
 
mtoa mada hiyo ni dalili kuwa unaroho mbaya.
Muombe sana Mungu akusaidie uondokane na huo ugonjwa wa roho mbaya.
 
mtoa mada hiyo ni dalili kuwa unaroho mbaya.
Muombe sana Mungu akusaidie uondokane na huo ugonjwa wa roho mbaya.
Sina roho mbaya ila wewe ndio hujui kinachoendelea Huko ndanj
 
Msaada wetu kwa Uturuki umechelewa sana, tunaanza kucheza wakati mziki umeisha!

Sisi hatutakiwi kutoa msaada wa kifedha kwa wale jamaa, bali tulitakiwa kupeleka kikosi cha uokoaji kwenda kusaidia uokozi kwenye majengo yaliyoporomoka na kukalia watu.

Tulikuwa wapi kutoa msaada wa aina hii mapema? Mahitaji makubwa ya Uturuki haikuwa fedha, bali vikosi vya uokozi.

Unakitu mkuu utafika mbali
 
Unafikiria kichwa Cha chini bro
Wewe unafikiri kwa makalio
JamiiForums663665719.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Msaada wetu kwa Uturuki umechelewa sana, tunaanza kucheza wakati mziki umeisha!

Sisi hatutakiwi kutoa msaada wa kifedha kwa wale jamaa, bali tulitakiwa kupeleka kikosi cha uokoaji kwenda kusaidia uokozi kwenye majengo yaliyoporomoka na kukalia watu.

Tulikuwa wapi kutoa msaada wa aina hii mapema? Mahitaji makubwa ya Uturuki haikuwa fedha, bali vikosi vya uokozi.
Hayo ni mawazo yako. Si lazima mambo yatendwe kadri ya uonavyo wewe. Halafu unaongelea jambo liliokwishafanyika tayari, hivyo hoja yako haina msaada zaidi ya kuchangamsha kijiwe.
 
Msaada wetu kwa Uturuki umechelewa sana, tunaanza kucheza wakati mziki umeisha!

Sisi hatutakiwi kutoa msaada wa kifedha kwa wale jamaa, bali tulitakiwa kupeleka kikosi cha uokoaji kwenda kusaidia uokozi kwenye majengo yaliyoporomoka na kukalia watu.

Tulikuwa wapi kutoa msaada wa aina hii mapema? Mahitaji makubwa ya Uturuki haikuwa fedha, bali vikosi vya uokozi.
Hapa sawa ila sio wanaopinga Moja kwa Moja..

Kuna Washauri hovyo huko Serikalini na hili la maafa liko chini ya PM sijui Huwa anawaza nini..
 
Swali ni kwanini watu wangapi wangepona au wangeokolewa ikiwa tungetuma kikosi wakati ule ule kuliko kusubiri watu wamekufa shughuli imeisha ndio tunapeleka hela
Jibu ni kuwa waliotuma wakoaji walisaidia kwa hali, hali sisi kifedha tumesaidia kwa mali. Lakini lazima nikupe angalizo tu kuhusu umahiri wa vikosi vyetu vya uokoaji katika majanga yaliyojitokeza hapa nchini hivi karibuni, mathalani tetemeko la ardhi Bukoba, ajali ya Precision Air na MV Bukoba.

Kwa kigezo cha umahiri wao na hata uthubutu wao wa kukabiliana na majanga, kweli unaweza kung'ang'ania kuwa vinafaa kutumika kusaidia uokozi kule kwa wenzetu wakati uzoefu wao hapa nchini bado unatia shaka.

Kumbuka ukubwa wa tetemeko kule kwao ilikuwa 7.4 Ritcher scale, na hapa kwetu ilikuwa 6.3 Ritcher scale, ndipo uweze kupata picha ya uharibifu uliotokea na tahadhari juu ya uokoaji.
 
Msaada wetu kwa Uturuki umechelewa sana, tunaanza kucheza wakati mziki umeisha!

Sisi hatutakiwi kutoa msaada wa kifedha kwa wale jamaa, bali tulitakiwa kupeleka kikosi cha uokoaji kwenda kusaidia uokozi kwenye majengo yaliyoporomoka na kukalia watu.

Tulikuwa wapi kutoa msaada wa aina hii mapema? Mahitaji makubwa ya Uturuki haikuwa fedha, bali vikosi vya uokozi.
Hii ndiyo Tanzania, pambafu sana. Ni maafa, yanatugusa na upambafu watu tunatoa msaada. Pia kuna yule pambafu Karume akatugomboa utumwa wa Waarabu. Na Nyerere kawagomboa Msumbiji Angola Zambia Zimbabwe Sychelles na South Afrika wote matajiri kuliko sisi. Ni urithi wa TANU na Afro, very proud. Kama mtakumbuka na Mkapa alitoa $1m/= kwa India kwenye mafuriko yao. ZFZMWCCM
 
Back
Top Bottom