Sisi Simba SC na wachambuzi uchwara tumemponza Fei Toto

Mkataba wa fei hauwezi kuisha 2024 sababu hajautumikia utamdai huko mbele kifupi ni kwamba ameyakanyaga

Kivipi ebu fafanua mkuu maana yanga washasema fei arudi kazini bado ni mchezaji wao means yanga wataendelea kumlipa mshahara ,lakini bado ashavuta mkwanja wa azam 400m ambayo inampa jeuri...inakuwaje ale kote kote? Hakuna chance ya fei kukatisha mshahara huku akiwa bado mchezaji wao?
 
Uthibitisho gani wakati dogo anafanya uhuni kisa analipwa hizo 4m bila kuifanyia kazi? Kalamba 400m ya azam na huku yanga bado anabunya huo ni uhuni fei anaoufanya.
Katika kesi kila kitu ni ushahidi. Yanga ikiamua kutomlipa Feisal inamaana itakuwa imekiuka mkataba tayari ni kama na wao wameufyata kuuvunja mkataba kwasababu hautekelezi yaliyomo kwenye mkataba. Hivyo wanachokifanya ni kwanza kuandika barua kwa Feisal kumuhitaji kazini, ili badae waje kumbana Feisal kwa sheria. TFF walishakiri kuwa Feisal ni mchezaji wa Yanga, Feisal hakujiunga na timu. Yanga wanamlipa mshahara lakini Feisal hajajiunga na timu. Yanga wanaandika barua kama kumbukumbu kumtaka arejee kazini ila amekaidi. Hivyo Yanga ikikusanya ushahidi wa kutosha, inaweza kuchukua hatua zinazofuata kisheria.
 
Mkataba una run pale mtu anapo kua eneo lake la kazi, unless otherwise mwajiri wake ana taarifa za udhuru, kama haupo kazizni unahesabika mtoro hivyo utakapo rudi kazini itabidi uzitumikie zile siku ambazo haukua eneo la kazi , Yanga wanamlipa ili asije kusema hakulipwa ndio maana aligoma na hata akibadili account number wao wana deposit tu ile hela itakaa kama mtego huko anakotaka kwenda itamuletea shida maana ataulizwa kwanini amebadili details za bank bila kuwasiliana na mwajiri wake atajibu nini?
 
Mkataba una run pale mtu anapo kua eneo lake la kazi, unless otherwise mwajiri wake ana taarifa za udhuru, kama haupo kazizni unahesabika mtoro hivyo utakapo rudi kazini itabidi uzitumikie zile siku ambazo haukua eneo la kazi , Yanga wanamlipa ili asije kusema hakulipwa ndio maana aligoma na hata akibadili account number wao wana deposit tu ile hela itakaa kama mtego huko anakotaka kwenda itamuletea shida maana ataulizwa kwanini amebadili details za bank bila kuwasiliana na mwajiri wake atajibu nini?
 
unaelewa maana ya kupujwa? mbona akili unazo ila unajitoa fahamu?
Bora mimi akili ninazo ila nazipumzisha kwa matumizi ya baadae, wewe huna akili kabisa. Kwani mimi ndiye niliyesema Feisal anapunjwa mshahara au ni kauli ya Feisal mwenyewe?
 
Bora mimi akili ninazo ila nazipumzisha kwa matumizi ya baadae, wewe huna akili kabisa. Kwani mimi ndiye niliyesema Feisal anapunjwa mshahara au ni kauli ya Feisal mwenyewe?
kumbe nmekupa heshima ambayo huna samahani kumbe akili huna, mtu ane pujwa alipata wapi hizo million 114 ? nmekuuliza unaelewa maana ya kupujwa wewe mkosa akili?
 
kumbe nmekupa heshima ambayo huna samahani kumbe akili huna, mtu ane pujwa alipata wapi hizo million 114 ? nmekuuliza unaelewa maana ya kupujwa wewe mkosa akili?
Wewe taahira mbona unajiuliza na kujijibu mwenyewe? Huu upuuzi wako shirikisha wajinga wenzako hapo utopoloni. Huna akili.
 

Makundi yepi tofautisha bas maana kunamakundi mawili tofauti
 
Hautakiwi kwenda kwenye vita ambayo unajua kabisa unashindwa.

Fei alichemka sana labda azam wamuachie hizo 400m aendelee kuzibunya huku kiwango kikishuka ,waje kumkata 2024 huko mkataba wake ukiisha.

Yanga wasimpe Mshahara kabisa.
Wasipo mpa mshahara mnakuwa mmekiuka masharti ya mkataba.
 
Kitendo cha yeye kubadilisha account ni mtego kwa yanga ili mshindwe kumlipa apate sababu nzuri ya kuwabamiza atapo enda cas.
 
Kitendo cha yeye kubadilisha account ni mtego kwa yanga ili mshindwe kumlipa apate sababu nzuri ya kuwabamiza atapo enda cas.
Hahaha bush lawyer

Sasa mkataba wake wa awal aliosain na yanga aliwapa akaunt ya kupokea mshahara wake Kama amebadilisha s kosa la yanga n yeye mwenyewe kaamua yanga watasimama na mkataba wa awali

Sawa nawe n mtumish wa umma akaunt ya mshahara unaiblock unadhan mwajir wako taumia Zaid atafurahia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…