Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Product zipi za hao waliofaoji vyeti bado tunazitumia? Maana walishasimama kazi na walipaswa kufungwa. Huyo mjomba wako anayedai mil 10 anaishi Mozambique?Hao waliofanya kosa la jinai miaka yote mbona products walizozitoa mlizpokea na mnaendelea kuzitumia ? Mbona hamkuziita ni za jinai?, mbona mpka leo mjomba wangu anadai zaidi ya milion sita za Korosho alizotapeliwa?..
Hujibu hoja una mihemko ya kisiasaProduct zipi za hao waliofaoji vyeti bado tunazitumia? Maana walishasimama kazi na walipaswa kufungwa.
Huyo mjomba wako anayedai mil 10 anaishi Mozambique?
Katazo la kubomoa nyumba lilikuwa halali? Nani alikashaifu wahanga wa janga la tetemeko kama sio kushabikia uzandiki wa kipuuzi?
Duuh mkuu, huwa najiuliza hawa wanaomshabikia huyu jamaa haya hawayajui?? Wanaishi wapi hawa hata hawaguswi na mambo haya??
Wanapata wapi ujasiri wa kumuamini mtu huyu ambaye ametutenda kiasi hiki??
Hakuna nyodo wala dharau. Serikali haiwezi kudhulumu mtu kama anastahili kulipwa fidia. Sehemu nyingi tu ambapo barabara zinajengwa wanaostahili fidia huwa wanalipwa kama wapo nje ya hifadhi ya barabara.Hujibu hoja una mihemko ya kisiasa
Wewe uko safi mana ingekua wazee wako wamevunjiwa nyumba sijui kama ungekua na uwezo wa kuongea kwa dharau hii, au baba yako au mama yako angekua mkulima wa korosho na hajalipwa sijui ksma ungekua unaongea kwa nyodo kiasi hiki,
Bukoba hela zilizotumika kukarabati shule na miundombinu ni kidogo sana kuliko jumla ya pesa zote zilizochangwa wakati wa maafaa.Na zingetosha kuwajengea nyumba wahanga wote wa tetemeko nyumba za kisasa na umeme juu.
Mwanza wavuvi hawana hamu wamechomewa nyavu zao kwa uonevu,wacongo ndio waliokuwa wakileta pesa mwanza wote awapo sababu ya uonevu hivo ni wakati sahihi wa kulipiza kisasi October, nje ya hapo tumekwiisha
Naomba ulete taarifa yenye source inayosema wakulima wa korosho wamelipwa na waliovunjiwa nyumba walilipwa fidia.Hakuna nyodo wala dharau. Serikali haiwezi kudhulumu mtu kama anastahili kulipwa fidia. Sehemu nyingi tu ambapo barabara zinajengwa wanaostahili fidia huwa wanalipwa kama wapo nje ya hifadhi ya barabara.
Wakulima wa korosho wamelipwa na hili lipo wazi. Labda ungesema pesa zilikuwa zinachelewa sababu kulikuwa na mambo mengi hasa uhakiki. Kwa hiyo acha kushabikia upuuzi na uongo kisa tu mmekosa hoja za kuibana CCM.
Nimesema waliovunjiwa nyumba wamelipwa? Kama husomi magazeti na kuangalia Tv, nenda kanyonye maana unasumbua watu.Naomba ulete taarifa yenye source inayosema wakulima wa korosho wamelipwa na waliovunjiwa nyumba walilipwa fidia.
ninyi ndio mnaaminishwa hivi na mnaingia kingi!Sasa hiyo ndege ya mizigo si ndiyo itakayoleta fedha za kuchimba visima upate maji safi maana huna utamaduni wa kulipa kodi.
Kuna waliobomolewa nyumba na Kuna waliodhulumiwa malipo ya korosho hao ni watu tofauti tofauti lakini Wana sifa moja ya U Tanzania.Usime sisi, bali sema mimi!..
Hiyo nyumba yako uliyobomolewa hapo kimara mimi huku kijijjni inanihusu nini?
Sisi tulifuata sheria katika kujenga nyumba zetu nyinyi ambao mlitumia pesa zenu za wizi kuvunja sheria ndiyo maana mnahangaika kwelikweli na mtaendelea kuhangaika tena tu.Duuh mkuu, huwa najiuliza hawa wanaomshabikia huyu jamaa haya hawayajui?? Wanaishi wapi hawa hata hawaguswi na mambo haya??
Wanapata wapi ujasiri wa kumuamini mtu huyu ambaye ametutenda kiasi hiki??
Mpuuzeni huyu katibu tawala. Anapambania tumboSisi tulifuata sheria katika kujenga nyumba zetu nyinyi ambao mlitumia pesa zenu za wizi kuvunja sheria ndiyo maana mnahangaika kwelikweli na mtaendelea kuhangaika tena tu.
Sasa huyo mwenye vyeti fake ulitaka asaidiweje? Kwanza alisababisha wengine wasipate kazi hiyo wakati wametumia uwezo wao na pesa zao kusoma yeye anatumia njia ya uongo hata Mungu hapendi ndiyo maana akayapata hayo aliyoyapata!Huu ujumbe unaumiza sana. Poleni watanzania wenzetu. Najua kila mmoja ameguswa kwa namna yake. Tukiorodhesha hapa kila mtu ataangua vilio. Kuna rafiki yangu aliachishwa kazi kwa vyeti feki alishindwa kumlipia matibabu mtoto wake alifariki. Ni huzuni, tupo nchi ya huzuni.