t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Sijui hata Kama ulikuwa unajua road reserve ya morogogo ilikuwa inaishia wapi!Sisi tulifuata sheria katika kujenga nyumba zetu nyinyi ambao mlitumia pesa zenu za wizi kuvunja sheria ndiyo maana mnahangaika kwelikweli na mtaendelea kuhangaika tena tu.
By the way morogoro road inakaribia kuisha, utagundua Kuna eneo hata halijatumika kwa ajili ya barabara