Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Hizi mila nazo buana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna familia iliyo perfect hapa dunianiSijui hii imekaaje katika mila yenu. Kuoana ndugu wa tumbo moja inaweza ikawa na changamoto kiasi,,
Mfano kama familia ina historia ya magonjwa ya kurithi (Mfano Kifafa, Sickle cell anemia, n.k, n.k) na mkaoana ndugu, haya magonjwa yataendelea kusumbua familia kwasababu vinasaba ni vile vile (DNA).
😂😂😂 Bila picha ni uzushi mzee babaSiku hizi tunamenya haya madudu yatu marefu mapana
Sisi hatuoani dada na kaka bali tunaona shemeji wa kikeUnaweza kutembea na mwanaume / mwanamke yoyote ila sio kaka / dada yako wa damu.
Unataka nikuoneshe yangu?😂😂😂 Bila picha ni uzushi mzee baba
Sawa naomba nione zinavokua, sijawahi kuona.... ahsante natanguliza shukrani.Unataka nikuoneshe yangu?
Long live samia Rais bora africa na dunia kwajumla.kwa kuishinda corona.Kinachowafanya Wapinzani waweseke ni Kwasababu Rais Samia ame wa outsmart kwa kila kitu.
Hizi maktaba alizojenga Rais Samia viunga vya udsm si mchezo nimejaribu kufanya Uchaguzi wa muda mfupi sioni maktaba bora kama hizi kwa bara la Africa.Long live samia Rais bora africa na dunia kwajumla.kwa kuishinda corona.
Miaka mitano tu Rais Samia ametupeleka uchumi wa kati miaka mitano ijayo, Rais Samia atatufanya tuwe kama QatarHizi maktaba alizojenga Rais Samia viunga vya udsm si mchezo nimejaribu kufanya Uchaguzi wa muda mfupi sioni maktaba bora kama hizi kwa bara la Africa.
Kama Rais Samia ameweza kutupeleka uchumi wa kati kwa miaka mitano tu basi haitachukua muda kumfikia USA Hongera SamiaMiaka mitano tu Rais Samia ametupeleka uchumi wa kati miaka mitano ijayo, Rais Samia atatufanya tuwe kama Qatar
Acha ujinga biblia iliwakuta na mila hiyo..sisi waafrika.Kanda ya ziwa kuna wanaojiita ni wakristo lakini wanamitala kama yote,
Wakati agizo ndoa ni kuwa ya mke mmoja na mume mmoja,
Hivi huko mnafundishwa kwa kutumia Biblia gani ?
Je huwa mnajifikiria hatima yenu kuwa vipi?
Tusipende kupapatikia saaana vya wageni na kuamua kutekeleza kabisa yale ya kwetu yenye maana.Acha ujinga biblia iliwakuta na mila hiyo..sisi waafrika.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Walivyo wajinga wanaona ndoa za mitaala dhambi..ila ushoga ni haki za binadamu..mapungu hao..mimi kama muafrika lazima nioe ndoa ya mitala.Tusipende kupapatikia saaana vya wageni na kuamua kutekeleza kabisa yale ya kwetu yenye maana.
Kama uchumi unaruhusu mkuu, mbona mitala ni safi sana.Walivyo wajinga wanaona ndoa za mitaala dhambi..ila ushoga ni haki za binadamu..mapungu hao..mimi kama muafrika lazima nioe ndoa ya mitala.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Zamani ulikuwa unaruhusiwa kumlithi mke wa kaka au mdogo wako kama amefariki. Kwa sasa haiwezekani kutokana na magonjwaDuuuh, mpaka wahaya wanaoa mtu na dada yake wa tumbo moja?
Mimi ninaongelea kuoa dada na mdogo wake wote wakiwa bado haiZamani ulikuwa unaruhusiwa kumlithi mke wa kaka au mdogo wako kama amefariki. Kwa sasa haiwezekani kutokana na magonjwa
Utafiti umefanyika Samia anakubalika kwa zaidi ya 90% Ccm inakubalika kwa 70% Hii unamaanisha kuwa Rais Samia kwa uchapakazi wake amevuta watu wengi sana kujiunga na Ccm.Kama Rais Samia ameweza kutupeleka uchumi wa kati kwa miaka mitano tu basi haitachukua muda kumfikia USA Hongera Samia
Asante Rais Samia wa ushujaa wako na Mafisadi lazima yanuneUtafiti umefanyika Samia anakubalika kwa zaidi ya 90% Ccm inakubalika kwa 70% Hii unamaanisha kuwa Rais Samia kwa uchapakazi wake amevuta watu wengi sana kujiunga na Ccm.
Hongera Rais Samia kwa kutupeleka uchumi wa katiUtafiti umefanyika Samia anakubalika kwa zaidi ya 90% Ccm inakubalika kwa 70% Hii unamaanisha kuwa Rais Samia kwa uchapakazi wake amevuta watu wengi sana kujiunga na Ccm.